Sababu za kiroho kwanini watu wengi walitamka kwamba utawala wa Mwendazake hautafika mbali

Sababu za kiroho kwanini watu wengi walitamka kwamba utawala wa Mwendazake hautafika mbali

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Wakati wa mwendazake karibu Kila mtu alikuwa akitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali.

Ilikuwa unaweza ukakutana na kajamaa kametoka kijijini kwako huko Isungachupi , hakajui chochote kuhusu utabiri lakini kanakwambi Kwa confidence kabisa kwamba " Ndugu yangu wee huyu jamaa utawala wake hautofika mbali."


Je unajua Sababu ni Nini?

Watu walikuwa wakitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali Kwa Sababu Mungu alikuwa amewapa ufunuo kupitia nature.

Yes God speak through the nature.

When God want to communicate his massage to his people he sent the message to the nature and the nature communicate the same message to the people through what is known as telepathy.

Telepathy is simply communication without talking.

Telepathy can involve an individual person and sometime it can involve a group of people , the whole nation or the whole universe..

Telepathy can be from a person to a person, from God to humans, From human to God, from spirits to persons etc.

Ukitaka kujua how telepathy works tafakari tukio la kupigwa mwizi na wanachi wenye hasira Kali.

Huwaga unaenda kumpiga mwizi bila kuambiwa na mtu nenda kampige huyo mwizi. Mnajikuta kundi la watu mnampiga mtu mmoja ambae mnaamini ni mwizi. Ni kwamba nafsi zenu zinakuwa zime wasiliana kwamba mnapaswa kumpiga mwizi huyo wakati Huo.

Watu karibu wote mashuhuri duniani walipata revelations kubwa kubwa duniani through nature. ( Eg Budha )


Mara nyingi Sana nature huwa inazungumza na Sisi lakini Kwa Sababu tunakuwa hatujaliweka Hilo akilini( kwamba nature inazungumza Na Sisi ) basi Jambo Hilo hupita bila kujua.

Kwa ufupi nature huzungumza na wewe kupitia Sauti yako ya ndani ambayo is nothing but your guardian angel.


KWA HABARI YA MWENDAZAKE, nature ilizungumza na mamilioni ya watanzania kwamba mwendazake hakuwa kiongozi sahihi Na kwamba utawala wake ungeishia njiani.

TUKIO LA KWANZA : KUPOOZA KWA TANZANIA MARA BAADA YA MWENDAZAKE KUTANGAZWA KUWA RAIS.( Hakukuwa shamra kabisa kama ilivyo kuwa imezoeleka miaka yote . Yani Ni Sawa Na siku ya harusi halafu ukumbi mzima upooze Kwa huzuni kuu badala ya shamra shamra)

Nakumbuka hadi hapa Jf Kuna Mwamba alileta Uzi akihoji Nini mantiki ya kupooza Kwa nchi nzima mara baada ya mwendazake KUTANGAZWA kuwa Rais?

Watu wengi wali relate nae lakini baadhi ya MATAGA wakamjibu Kwa kejeli kwamba " familia yake ndio imepooza".

2. Miaka michache baada mwendazake kuingia madarakani watu wengi Sana mitaani wakawa wanasema huyu jamaa utawala wake hautofika mbali.

Unaweza kufikiri ni kama vile walikuwa wanamlaani lakini kiukweli ni kwamba walikuwa Wana tafsiri Kwa maneno Kile ambacho nature ilikuwa inazungumza nao..

3. KAULI YA LEMA HAIKUWA NA MAAJABU SANA : Lema aliposema kwamba ameota Rais atakufa, he was saying nothing but translating what the nature was speaking to him through his inner voice.

Inawezekana Kweli alioteshwa Kwa Sababu nature inapokuwa inaleta ujumbe wake Kwa watu halafu wafu mnakuwa mnashindwa kupata ujumbe wake basi inaleta ujumbe huo Kwa njia ya ndoto..

HATA WAPIGA ZUMARI WA MWENDAZAKE NATURE ILIZUNGUMZA NAO PIA.

Lakini hawakuweza kutafsiri sauti ya Mungu ndani Yao. Wataka kujaribu KUPAMBANA Na sauti ya Mungu ndani yao. Ndio maana wakaanza kampeni ya kutaka mwendazake aongezewe muda wa kutawala..

3. MWENDAZAKE ALI ISIKIA SAUTI YA NATURE LAKINI HAKUIJUA NDIO MAANA AKAJARIBU KUPAMBANA NAYO JAMBO AMBALO NI KOSA KUBWA SANA.

Waliosema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu walikuwa wanamaanisha hiki ninacho kisema hapa. Kama watu wengi wanasema Jambo Fulani basi tafsiri yake ni kwamba nature ndio ime wadirect waseme hivyo. And nature is the only true messenger of God.

So naamini sauti hii hata Mwendazake aliisikia. Sauti ya ndani kabisa ambayo hutoka Kwa Mungu na kuja kwenye nafsi zetu kupitia nafsi. Sauti iliyo mwambia kwamba " Wewe sio Rais wa Tanzania" kiti ulicho kalia sio kiti chako etc.

Inawezekana sauti hiyo ilijirudia rudia Sana ndani ya nafsi yake kiasi cha kumfanya aipe umuhimu wake.

Inawezekana yeye alitafsiri sauti hiyo kama machale kwamba Kuna watu hawataki yeye awe Rais wa Tanzania.

Ndio maana mara Kwa mara Alisikika akisema " MIMI NDIO RAIS"

Hapa Kwa mtazamo wangu Nina amini Mwendazake hakuwa akizungumza na mtu yoyote Yule.Alikuwa akizungumza na sauti yake ya ndani ambayo ilikuwa ikimwambia kwamba yeye sio Rais na kwamba atatawala kwa kipindi kimoja tu.

Rais wa nchi Hana Sababu yoyote ya kutamka hadharani mara Kwa mara kwamba " Mimi ndio Rais"

Ni Sawa Na Baba, baba haitaji kujitambulisha nyumbani Kwa watoto wake kwamba yeye ndio baba,majukumu ndio yanayo mtambulisha kwamba yeye ndio baba. Ukiona baba anajitambulisha Kwa watoto wake basi something is missing.


MWENDAZAKE ANA ANZISHA MAPAMBANO DHIDI YA SAUTI YA MUNGU NDANI YAKE.

Kwa kuwabana wapinzani , kununua wabunge wa upinzani n.k . Lengo ni kujaribu kuizima sauti Ile ya ndani ambayo Ni sauti ya Mungu. Huwezi kuzima sauti ya Mungu ambayo Ni spiritual Kwa kutumia mamlaka ambayo jurisdiction yake ipo kwenye physical universe.


SAUTI YA NDANI BADO INAENDELEA KUMTESA

Inawezekana pamoja na kufanya jitihada zote lakini bado sauti Ile ya ndani iliendelea kumwambia kwamba wewe sio Rais wa nchi hii.

Wakati WA uchaguzi WA 2020 Kuna siku Alisikika akisema " MZEE MWINYI KAONGOZA VIPINDI VIWILI, MZEE MKAPA VIPINDI VIWILI, MZEE KIKWETE VIPINDI VIWILI, MIMI NDIO MNATAKA NIONGOZE KIPINDI KIMOJA"

Hapo mwendazake hakuwa akizungumza na wewe Wala Mimi Wala MTU yoyote Yule katika ulimwengu WA nyama . Hapo mwendazake alikuwa akizungumza Na sauti ya Mungu iliyo kuwa ikiendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais na kwamba atatawala kwa kipindi kimoja tu.


ANAENDELEA DESPERATELY KUPAMBANA NA SAUTI YA NDANI.

Kwa Sababu sauti iliendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais akaona kutumia mamlaka yake kwenye uchaguzi WA 2020 Kwa kufanya alicho kifanya kwenye uchaguzi ambao ccm walichukua nchi nzima kuanzia udiwani Hadi urais..

MWISHO SAUTI INAJIDHIHIRISHA KATIKA ULIMWENGU WA NYAMA...

SOMO: SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU.


MTU MMOJA AKIKWAMBIA WEWE NI PUNDA ACHANA NAE HUYO AMEKUTUKANA TU.

LAKINI WATU KUMI KILA MMOJA KWA WAKATI WAKE WAKIKUITA WEWE NI PUNDA, MY BROTHER BASI JUA WEWE NI PUNDA KWELI, ANZA KUPIGA WATU MATEKE.


Funzo kuu: usisindane Na sauti yako ya ndani. Sauti yako ya ndani ni sauti ya Mungu. Ni Mungu mwenyewe. Hata unaposikia wanasema " Sauti ya Mungu ikawambia Yona uende ninawi" usifikiri Yona akisikia suati ya Mungu live hapana ilikuwa ni sauti ya ndani. God always speak in silence.

Watu wengi wameangamia Kwa kuipuuzia sauti Yao ya ndani. Sauti ya ndani inakwambia achana Na huyo mwanamke/ mwanaume wewe unangangania mwisho wake unaenda kuangukia pua.

Sauti ya ndani inakwambia achana na hiyo biashara ila unalazimisha. Matokeo unaishia kupata hasara.


UPDATE

Nime screen shot comment ya mdau Kalunya hapa chini👇

Screenshot_20220309-210813.png
 
Isumbachupi ni kijiji cha wapi
 
Hapa Tanzania ni Kama JPM ndio binadam wa Kwanza kufa au binadam pekee aliyekuwa si mkamilifu.

Kufika mbali ni general term na hata binadamu kufa wengi huamini ni adhabu but trust me kufa si adhabu but it is an end Kwa kila kiumbe Chenye uhai.

Rest easy ngosha.

Site njia yetu NI moja.
 
Vipi utawala wa trump kuishia miaka minne, sauti ya nature ilisikikaje? Paul Biya, 90 yrs, anahudumu kama Rais wa Cameroun toka 1982.Ktk Utawala uliojaa ghasia,uasi na vinyongo Mbona umefika mbali, hiyo nature haijakupa ufunuo
 
Wakati wa mwendazake karibu Kila mtu alikuwa akitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali.

Ilikuwa unaweza ukakutana na kajamaa kametoka kijijini kwako huko Isungachupi , hakajui chochote kuhusu utabiri lakini kanakwambi Kwa confidence kabisa kwamba " Ndugu yangu wee huyu jamaa utawala wake hautofika mbali."


Je unajua Sababu ni Nini?

Watu walikuwa wakitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali Kwa Sababu Mungu alikuwa amewapa ufunuo kupitia nature.

Yes God speak through the nature.

When God want to communicate his massage to his people he sent the message to the nature and the nature communicate the same message to the people through what is known as telepathy.

Telepathy is simply communication without talking.

Telepathy can involve an individual person and sometime it can involve a group of people , the whole nation or the whole universe..

Telepathy can be from a person to a person, from God to humans, From human to God, from spirits to persons etc.

Ukitaka kujua how telepathy works tafakari tukio la kupigwa mwizi na wanachi wenye hasira Kali.

Huwaga unaenda kumpiga mwizi bila kuambiwa na mtu nenda kampige huyo mwizi. Mnajikuta kundi la watu mnampiga mtu mmoja ambae mnaamini ni mwizi. Ni kwamba nafsi zenu zinakuwa zime wasiliana kwamba mnapaswa kumpiga mwizi huyo wakati Huo.

Watu karibu wote mashuhuri duniani walipata revelations kubwa kubwa duniani through nature. ( Eg Budha )


Mara nyingi Sana nature huwa inazungumza na Sisi lakini Kwa Sababu tunakuwa hatujaliweka Hilo akilini( kwamba nature inazungumza Na Sisi ) basi Jambo Hilo hupita bila kujua.

Kwa ufupi nature huzungumza na wewe kupitia Sauti yako ya ndani ambayo is nothing but your guardian angel.


KWA HABARI YA MWENDAZAKE, nature ilizungumza na mamilioni ya watanzania kwamba mwendazake hakuwa kiongozi sahihi Na kwamba utawala wake ungeishia njiani.

TUKIO LA KWANZA : KUPOOZA KWA TANZANIA MARA BAADA YA MWENDAZAKE KUTANGAZWA KUWA RAIS.( Hakukuwa shamra kabisa kama ilivyo kuwa imezoeleka miaka yote . Yani Ni Sawa Na siku ya harusi halafu ukumbi mzima upooze Kwa huzuni kuu badala ya shamra shamra)

Nakumbuka hadi hapa Jf Kuna Mwamba alileta Uzi akihoji Nini mantiki ya kupooza Kwa nchi nzima mara baada ya mwendazake KUTANGAZWA kuwa Rais?

Watu wengi wali relate nae lakini baadhi ya MATAGA wakamjibu Kwa kejeli kwamba " familia yake ndio imepooza".

2. Miaka michache baada mwendazake kuingia madarakani watu wengi Sana mitaani wakawa wanasema huyu jamaa utawala wake hautofika mbali.

Unaweza kufikiri ni kama vile walikuwa wanamlaani lakini kiukweli ni kwamba walikuwa Wana tafsiri Kwa maneno Kile ambacho nature ilikuwa inazungumza nao..

3. KAULI YA LEMA HAIKUWA NA MAAJABU SANA : Lema aliposema kwamba ameota Rais atakufa, he was saying nothing but translating what the nature was speaking to him through his inner voice.

Inawezekana Kweli alioteshwa Kwa Sababu nature inapokuwa inaleta ujumbe wake Kwa watu halafu wafu mnakuwa mnashindwa kupata ujumbe wake basi inaleta ujumbe huo Kwa njia ya ndoto..

HATA WAPIGA ZUMARI WA MWENDAZAKE NATURE ILIZUNGUMZA NAO PIA.

Lakini hawakuweza kutafsiri sauti ya Mungu ndani Yao. Wataka kujaribu KUPAMBANA Na sauti ya Mungu ndani yao. Ndio maana wakaanza kampeni ya kutaka mwendazake aongezewe muda wa kutawala..

3. MWENDAZAKE ALI ISIKIA SAUTI YA NATURE LAKINI HAKUIJUA NDIO MAANA AKAJARIBU KUPAMBANA NAYO JAMBO AMBALO NI KOSA KUBWA SANA.

Waliosema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu walikuwa wanamaanisha hiki ninacho kisema hapa. Kama watu wengi wanasema Jambo Fulani basi tafsiri yake ni kwamba nature ndio ime wadirect waseme hivyo. And nature is the only true messenger of God.

So naamini sauti hii hata Mwendazake aliisikia. Sauti ya ndani kabisa ambayo hutoka Kwa Mungu na kuja kwenye nafsi zetu kupitia nafsi. Sauti iliyo mwambia kwamba " Wewe sio Rais wa Tanzania" kiti ulicho kalia sio kiti chako etc.

Inawezekana sauti hiyo ilijirudia rudia Sana ndani ya nafsi yake kiasi cha kumfanya aipe umuhimu wake.

Inawezekana yeye alitafsiri sauti hiyo kama machale kwamba Kuna watu hawataki yeye awe Rais wa Tanzania.

Ndio maana mara Kwa mara Alisikika akisema " MIMI NDIO RAIS"

Hapa Kwa mtazamo wangu Nina amini Mwendazake hakuwa akizungumza na mtu yoyote Yule.Alikuwa akizungumza na sauti yake ya ndani ambayo ilikuwa ikimwambia kwamba yeye sio Rais.

Rais wa nchi Hana Sababu yoyote ya kutamka hadharani mara Kwa mara kwamba " Mimi ndio Rais"

Ni Sawa Na Baba, baba haitaji kujitambulisha nyumbani Kwa watoto wake kwamba yeye ndio baba,majukumu ndio yanayo mtambulisha kwamba yeye ndio baba. Ukiona baba anajitambulisha Kwa watoto wake basi something is missing.


MWENDAZAKE ANA ANZISHA MAPAMBANO DHIDI YA SAUTI YA MUNGU NDANI YAKE.

Kwa kuwabana wapinzani , kununua wabunge wa upinzani n.k . Lengo ni kujaribu kuizima sauti Ile ya ndani ambayo Ni sauti ya Mungu. Huwezi kuzima sauti ya Mungu ambayo Ni spiritual Kwa kutumia mamlaka ambayo jurisdiction yake ipo kwenye physical universe.


SAUTI YA NDANI BADO INAENDELEA KUMTESA

Inawezekana pamoja na kufanya jitihada zote lakini bado sauti Ile ya ndani iliendelea kumwambia kwamba wewe sio Rais wa nchi hii.

Wakati WA uchaguzi WA 2020 Kuna siku Alisikika akisema " MZEE MWINYI KAONGOZA VIPINDI VIWILI, MZEE MKAPA VIPINDI VIWILI, MZEE KIKWETE VIPINDI VIWILI, MIMI NDIO MNATAKA NIONGOZE KIPINDI KIMOJA"

Hapo mwendazake hakuwa akizungumza na wewe Wala Mimi Wala MTU yoyote Yule katika ulimwengu WA nyama . Hapo mwendazake alikuwa akizungumza Na sauti ya Mungu iliyo kuwa ikiendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais..


ANAENDELEA DESPERATELY KUPAMBANA NA SAUTI YA NDANI.

Kwa Sababu sauti iliendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais akaona kutumia mamlaka yake kwenye uchaguzi WA 2020 Kwa kufanya alicho kifanya kwenye uchaguzi ambao ccm walichukua nchi nzima kuanzia udiwani Hadi urais..

MWISHO SAUTI INAJIDHIHIRISHA KATIKA ULIMWENGU WA NYAMA...

SOMO: SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU.


MTU MMOJA AKIKWAMBIA WEWE NI PUNDA ACHANA NAE HUYO AMEKUTUKANA TU.

LAKINI WATU KUMI KILA MMOJA KWA WAKATI WAKE WAKIKUITA WEWE NI PUNDA, MY BROTHER BASI JUA WEWE NI PUNDA KWELI, ANZA KUPIGA WATU MATEKE.


Funzo kuu: usisindane Na sauti yako ya ndani. Sauti yako ya ndani ni sauti ya Mungu. Ni Mungu mwenyewe. Hata unaposikia wanasema " Sauti ya Mungu ikawambia Yona uende ninawi" usifikiri Yona akisikia suati ya Mungu live hapana ilikuwa ni sauti ya ndani. God always speak in silence.

Watu wengi wameangamia Kwa kuipuuzia sauti Yao ya ndani. Sauti ya ndani inakwambia achana Na huyo mwanamke/ mwanaume wewe unangangania mwisho wake unaenda kuangukia pua.

Sauti ya ndani inakwambia achana na hiyo biashara ila unalazimisha. Matokeo unaishia kupata hasara.
Sauti ya ndani inaniambia mzee Putin hivi karibuni anaelekea kupinduliwa uraisi na watu wake wa karibu,wanajitangazia madaraka,halafu wanaiomba msamahajuiya ya kimataifa kwa uvamizi wa Russia huko Ukraine,nashindwa kubishana na sauti hii.
 
Mungu usikia maombi ya wengi yafananayo, pale Mungu anaposikia kelele za vilio vya wengi utuma malaika zake kuchunguza kisha nae utimiza hitaji la moyo wao. Ilikuwa ni sahihi yona atoswe bahari kuliwa na samaki Ili meli ifike salama ng'ambo.
 
Wakati wa mwendazake karibu Kila mtu alikuwa akitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali.

Ilikuwa unaweza ukakutana na kajamaa kametoka kijijini kwako huko Isungachupi , hakajui chochote kuhusu utabiri lakini kanakwambi Kwa confidence kabisa kwamba " Ndugu yangu wee huyu jamaa utawala wake hautofika mbali."


Je unajua Sababu ni Nini?

Watu walikuwa wakitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali Kwa Sababu Mungu alikuwa amewapa ufunuo kupitia nature.

Yes God speak through the nature.

When God want to communicate his massage to his people he sent the message to the nature and the nature communicate the same message to the people through what is known as telepathy.

Telepathy is simply communication without talking.

Telepathy can involve an individual person and sometime it can involve a group of people , the whole nation or the whole universe..

Telepathy can be from a person to a person, from God to humans, From human to God, from spirits to persons etc.

Ukitaka kujua how telepathy works tafakari tukio la kupigwa mwizi na wanachi wenye hasira Kali.

Huwaga unaenda kumpiga mwizi bila kuambiwa na mtu nenda kampige huyo mwizi. Mnajikuta kundi la watu mnampiga mtu mmoja ambae mnaamini ni mwizi. Ni kwamba nafsi zenu zinakuwa zime wasiliana kwamba mnapaswa kumpiga mwizi huyo wakati Huo.

Watu karibu wote mashuhuri duniani walipata revelations kubwa kubwa duniani through nature. ( Eg Budha )


Mara nyingi Sana nature huwa inazungumza na Sisi lakini Kwa Sababu tunakuwa hatujaliweka Hilo akilini( kwamba nature inazungumza Na Sisi ) basi Jambo Hilo hupita bila kujua.

Kwa ufupi nature huzungumza na wewe kupitia Sauti yako ya ndani ambayo is nothing but your guardian angel.


KWA HABARI YA MWENDAZAKE, nature ilizungumza na mamilioni ya watanzania kwamba mwendazake hakuwa kiongozi sahihi Na kwamba utawala wake ungeishia njiani.

TUKIO LA KWANZA : KUPOOZA KWA TANZANIA MARA BAADA YA MWENDAZAKE KUTANGAZWA KUWA RAIS.( Hakukuwa shamra kabisa kama ilivyo kuwa imezoeleka miaka yote . Yani Ni Sawa Na siku ya harusi halafu ukumbi mzima upooze Kwa huzuni kuu badala ya shamra shamra)

Nakumbuka hadi hapa Jf Kuna Mwamba alileta Uzi akihoji Nini mantiki ya kupooza Kwa nchi nzima mara baada ya mwendazake KUTANGAZWA kuwa Rais?

Watu wengi wali relate nae lakini baadhi ya MATAGA wakamjibu Kwa kejeli kwamba " familia yake ndio imepooza".

2. Miaka michache baada mwendazake kuingia madarakani watu wengi Sana mitaani wakawa wanasema huyu jamaa utawala wake hautofika mbali.

Unaweza kufikiri ni kama vile walikuwa wanamlaani lakini kiukweli ni kwamba walikuwa Wana tafsiri Kwa maneno Kile ambacho nature ilikuwa inazungumza nao..

3. KAULI YA LEMA HAIKUWA NA MAAJABU SANA : Lema aliposema kwamba ameota Rais atakufa, he was saying nothing but translating what the nature was speaking to him through his inner voice.

Inawezekana Kweli alioteshwa Kwa Sababu nature inapokuwa inaleta ujumbe wake Kwa watu halafu wafu mnakuwa mnashindwa kupata ujumbe wake basi inaleta ujumbe huo Kwa njia ya ndoto..

HATA WAPIGA ZUMARI WA MWENDAZAKE NATURE ILIZUNGUMZA NAO PIA.

Lakini hawakuweza kutafsiri sauti ya Mungu ndani Yao. Wataka kujaribu KUPAMBANA Na sauti ya Mungu ndani yao. Ndio maana wakaanza kampeni ya kutaka mwendazake aongezewe muda wa kutawala..

3. MWENDAZAKE ALI ISIKIA SAUTI YA NATURE LAKINI HAKUIJUA NDIO MAANA AKAJARIBU KUPAMBANA NAYO JAMBO AMBALO NI KOSA KUBWA SANA.

Waliosema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu walikuwa wanamaanisha hiki ninacho kisema hapa. Kama watu wengi wanasema Jambo Fulani basi tafsiri yake ni kwamba nature ndio ime wadirect waseme hivyo. And nature is the only true messenger of God.

So naamini sauti hii hata Mwendazake aliisikia. Sauti ya ndani kabisa ambayo hutoka Kwa Mungu na kuja kwenye nafsi zetu kupitia nafsi. Sauti iliyo mwambia kwamba " Wewe sio Rais wa Tanzania" kiti ulicho kalia sio kiti chako etc.

Inawezekana sauti hiyo ilijirudia rudia Sana ndani ya nafsi yake kiasi cha kumfanya aipe umuhimu wake.

Inawezekana yeye alitafsiri sauti hiyo kama machale kwamba Kuna watu hawataki yeye awe Rais wa Tanzania.

Ndio maana mara Kwa mara Alisikika akisema " MIMI NDIO RAIS"

Hapa Kwa mtazamo wangu Nina amini Mwendazake hakuwa akizungumza na mtu yoyote Yule.Alikuwa akizungumza na sauti yake ya ndani ambayo ilikuwa ikimwambia kwamba yeye sio Rais.

Rais wa nchi Hana Sababu yoyote ya kutamka hadharani mara Kwa mara kwamba " Mimi ndio Rais"

Ni Sawa Na Baba, baba haitaji kujitambulisha nyumbani Kwa watoto wake kwamba yeye ndio baba,majukumu ndio yanayo mtambulisha kwamba yeye ndio baba. Ukiona baba anajitambulisha Kwa watoto wake basi something is missing.


MWENDAZAKE ANA ANZISHA MAPAMBANO DHIDI YA SAUTI YA MUNGU NDANI YAKE.

Kwa kuwabana wapinzani , kununua wabunge wa upinzani n.k . Lengo ni kujaribu kuizima sauti Ile ya ndani ambayo Ni sauti ya Mungu. Huwezi kuzima sauti ya Mungu ambayo Ni spiritual Kwa kutumia mamlaka ambayo jurisdiction yake ipo kwenye physical universe.


SAUTI YA NDANI BADO INAENDELEA KUMTESA

Inawezekana pamoja na kufanya jitihada zote lakini bado sauti Ile ya ndani iliendelea kumwambia kwamba wewe sio Rais wa nchi hii.

Wakati WA uchaguzi WA 2020 Kuna siku Alisikika akisema " MZEE MWINYI KAONGOZA VIPINDI VIWILI, MZEE MKAPA VIPINDI VIWILI, MZEE KIKWETE VIPINDI VIWILI, MIMI NDIO MNATAKA NIONGOZE KIPINDI KIMOJA"

Hapo mwendazake hakuwa akizungumza na wewe Wala Mimi Wala MTU yoyote Yule katika ulimwengu WA nyama . Hapo mwendazake alikuwa akizungumza Na sauti ya Mungu iliyo kuwa ikiendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais..


ANAENDELEA DESPERATELY KUPAMBANA NA SAUTI YA NDANI.

Kwa Sababu sauti iliendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais akaona kutumia mamlaka yake kwenye uchaguzi WA 2020 Kwa kufanya alicho kifanya kwenye uchaguzi ambao ccm walichukua nchi nzima kuanzia udiwani Hadi urais..

MWISHO SAUTI INAJIDHIHIRISHA KATIKA ULIMWENGU WA NYAMA...

SOMO: SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU.


MTU MMOJA AKIKWAMBIA WEWE NI PUNDA ACHANA NAE HUYO AMEKUTUKANA TU.

LAKINI WATU KUMI KILA MMOJA KWA WAKATI WAKE WAKIKUITA WEWE NI PUNDA, MY BROTHER BASI JUA WEWE NI PUNDA KWELI, ANZA KUPIGA WATU MATEKE.


Funzo kuu: usisindane Na sauti yako ya ndani. Sauti yako ya ndani ni sauti ya Mungu. Ni Mungu mwenyewe. Hata unaposikia wanasema " Sauti ya Mungu ikawambia Yona uende ninawi" usifikiri Yona akisikia suati ya Mungu live hapana ilikuwa ni sauti ya ndani. God always speak in silence.

Watu wengi wameangamia Kwa kuipuuzia sauti Yao ya ndani. Sauti ya ndani inakwambia achana Na huyo mwanamke/ mwanaume wewe unangangania mwisho wake unaenda kuangukia pua.

Sauti ya ndani inakwambia achana na hiyo biashara ila unalazimisha. Matokeo unaishia kupata hasara.
Kumbe nature a.k.a kuroboto mtoto wa Mama said bado mkali ee!!
 
Kama kuna ukweli wa hiyo telepathy ambayo umeizungumza hapo basi watu tusingekuwa tunakosea kufanya mambo maana hata kabla ya kutenda jambo basi hiyo telepathy ingekuwa inatuambia kuwa usifanye hilo jambo..
Na pia inamaana hiyo telepathy ilikuwa inawapata wananchi tu na siyo mtawala ambae alikuwa anatabiriwa na hizo mambo inamaan mkuu wa nchi nae ni mwananchi kwa nn hiyo telepathy ya kumuambia utawala wake hauta dumu hakuipata,hapo mkuu naona kama tunataka kueleza mambo ya utabiri wa mambo magumu ambayo siyo ya upeo wetu..
Nisahishishe kama nimekinzana na mada yako
 
Nimeshindwa kumaliza kusoma hii hadithi yako, huwa mnawezaje kuandika maneno mengi hayo yenye utumbo? Muda mnapata wapi?
 
Kama kuna ukweli wa hiyo telepathy ambayo umeizungumza hapo basi watu tusingekuwa tunakosea kufanya mambo maana hata kabla ya kutenda jambo basi hiyo telepathy ingekuwa inatuambia kuwa usifanye hilo jambo..
Na pia inamaana hiyo telepathy ilikuwa inawapata wananchi tu na siyo mtawala ambae alikuwa anatabiriwa na hizo mambo inamaan mkuu wa nchi nae ni mwananchi kwa nn hiyo telepathy ya kumuambia utawala wake hauta dumu hakuipata,hapo mkuu naona kama tunataka kueleza mambo ya utabiri wa mambo magumu ambayo siyo ya upeo wetu..
Nisahishishe kama nimekinzana na mada yako
Hata yeye ilikuwa inamwambia soma Tena Uzi vizuri
 
Nimeshindwa kumaliza kusoma hii hadithi yako, huwa mnawezaje kuandika maneno mengi hayo yenye utumbo? Muda mnapata wapi?
Unaudharau utumbo mkuu? Bila utumbo hata wewe usingeweza kuja kucomment hapa
 
Back
Top Bottom