Sababu za kiroho kwanini watu wengi walitamka kwamba utawala wa Mwendazake hautafika mbali

Sababu za kiroho kwanini watu wengi walitamka kwamba utawala wa Mwendazake hautafika mbali

Kama kuna ukweli wa hiyo telepathy ambayo umeizungumza hapo basi watu tusingekuwa tunakosea kufanya mambo maana hata kabla ya kutenda jambo basi hiyo telepathy ingekuwa inatuambia kuwa usifanye hilo jambo..
Na pia inamaana hiyo telepathy ilikuwa inawapata wananchi tu na siyo mtawala ambae alikuwa anatabiriwa na hizo mambo inamaan mkuu wa nchi nae ni mwananchi kwa nn hiyo telepathy ya kumuambia utawala wake hauta dumu hakuipata,hapo mkuu naona kama tunataka kueleza mambo ya utabiri wa mambo magumu ambayo siyo ya upeo wetu..
Nisahishishe kama nimekinzana na mada yako
Nature ilikuwa inamwambia kuwa yeye sio Rais na kwamba utawala wake utakuwa wa kipindi kimoja tu, ndio maana:

1. Alibana wapinzani na kuwanyima hata haki zao za kikatiba kwa sababu alidhani labda ndio watachukua nchi.


2. Alituma watu wake akina Juma Nkamia na Ndugai kunena bungeni kwamba aongezewe muda wakati ndio kwanza alikuwa na miaka miwili ( Hapo alikuwa ana jaribu kuisurpress sauti nature kwa sababu ilikuwa ina mshuhudia kwamba ataongoza kwa muda mchache sana so alivyo kuwa ana watuma watu wake waseme aongezewe muda ni kama vile alikuwa ana plead to the nature kwamba " please niongeze muda wa kutawala tafadhali miaka minne haitoshi"

3. Mara kwa mara alikuwa anasikika akisema " Mimi ndio Rais" kwa sababu nature ilikuwa inamwambia kwamba yeye sio Rais na amekaa kwenye kitu ambacho sio kiti chake so alikuwa anajaribu pia kui surpress sauti ya nature.


4. Wakati wa kampeni za uchaguzi aliwahi kusikika akisema " Mzee Mwingi ametawala vipindi viwili, Mzee Mkapa vipindi viwili, Mzee Kikwete vipindi viwili halafu Mimi ndio mnataka nitawale kipindi kimoja? Hapo alikuwa anazungumza na nature kwa sababu nature ilikuwa inamshuhudia kwamba atatawala kipindi kimoja.
 
Nature ilikuwa inamwambia kuwa yeye sio Rais na kwamba utawala wake utakuwa wa kipindi kimoja tu, ndio maana:

1. Alibana wapinzani na kuwanyima hata haki zao za kikatiba kwa sababu alidhani labda ndio watachukua nchi.


2. Alituma watu wake akina Juma Nkamia na Ndugai kunena bungeni kwamba aongezewe muda wakati ndio kwanza alikuwa na miaka miwili ( Hapo alikuwa ana jaribu kuisurpress sauti nature kwa sababu ilikuwa ina mshuhudia kwamba ataongoza kwa muda mchache sana so alivyo kuwa ana watuma watu wake waseme aongezewe muda ni kama vile alikuwa ana plead to the nature kwamba " please niongeze muda wa kutawala tafadhali miaka minne haitoshi"

3. Mara kwa mara alikuwa anasikika akisema " Mimi ndio Rais" kwa sababu nature ilikuwa inamwambia kwamba yeye sio Rais na amekaa kwenye kitu ambacho sio kiti chake so alikuwa anajaribu pia kui surpress sauti ya nature.


4. Wakati wa kampeni za uchaguzi aliwahi kusikika akisema " Mzee Mwingi ametawala vipindi viwili, Mzee Mkapa vipindi viwili, Mzee Kikwete vipindi viwili halafu Mimi ndio mnataka nitawale kipindi kimoja? Hapo alikuwa anazungumza na nature kwa sababu nature ilikuwa inamshuhudia kwamba atatawala kipindi kimoja.
Tufanyie telepathy ya Samia au unasubiri atoke madarakani?
 
Summarize uzi wako unachosha kusoma.
Ingekuwa ya kuhusiana na mapenzi ama ngono jinsi jamaa alivyokula mbususu usingesema ama kuongea icho ama nakosea. Yaani ingekuwa ndefu Mara kumi zaidi ungesoma na unaulizia muendelezo vipi. Brain inapenda pleasure asikuambie mtu
 
Mawazo ya kishirikina
Abraham Lincolin aliuwawa mapema sana na hadi leo ni moja ya maraisi wanaopendwa Marekani.Hadi leo ikulu ya Marekani kumetundikwa picha mbili tu moja ya muasisi wa America George Washington na ya Abraham Lincolin
Hilo nalo unaliongeleaje?
 
Mawazo ya kishirikina
Abraham Lincolin aliuwawa mapema sana na hadi leo ni moja ya maraisi wanaopendwa Marekani.Hadi leo ikulu ya Marekani kumetundikwa picha mbili tu moja ya muasisi wa America George Washington na ya Abraham Lincolin
Hilo nalo unaliongeleaje?
Ishu sio kuuwawa mapema hata sokoine akiwa bado mdogo usichanganye madesa kijana
 
Wakati wa mwendazake karibu Kila mtu alikuwa akitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali.

Ilikuwa unaweza ukakutana na kajamaa kametoka kijijini kwako huko Isungachupi , hakajui chochote kuhusu utabiri lakini kanakwambi Kwa confidence kabisa kwamba " Ndugu yangu wee huyu jamaa utawala wake hautofika mbali."


Je unajua Sababu ni Nini?

Watu walikuwa wakitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali Kwa Sababu Mungu alikuwa amewapa ufunuo kupitia nature.

Yes God speak through the nature.

When God want to communicate his massage to his people he sent the message to the nature and the nature communicate the same message to the people through what is known as telepathy.

Telepathy is simply communication without talking.

Telepathy can involve an individual person and sometime it can involve a group of people , the whole nation or the whole universe..

Telepathy can be from a person to a person, from God to humans, From human to God, from spirits to persons etc.

Ukitaka kujua how telepathy works tafakari tukio la kupigwa mwizi na wanachi wenye hasira Kali.

Huwaga unaenda kumpiga mwizi bila kuambiwa na mtu nenda kampige huyo mwizi. Mnajikuta kundi la watu mnampiga mtu mmoja ambae mnaamini ni mwizi. Ni kwamba nafsi zenu zinakuwa zime wasiliana kwamba mnapaswa kumpiga mwizi huyo wakati Huo.

Watu karibu wote mashuhuri duniani walipata revelations kubwa kubwa duniani through nature. ( Eg Budha )


Mara nyingi Sana nature huwa inazungumza na Sisi lakini Kwa Sababu tunakuwa hatujaliweka Hilo akilini( kwamba nature inazungumza Na Sisi ) basi Jambo Hilo hupita bila kujua.

Kwa ufupi nature huzungumza na wewe kupitia Sauti yako ya ndani ambayo is nothing but your guardian angel.


KWA HABARI YA MWENDAZAKE, nature ilizungumza na mamilioni ya watanzania kwamba mwendazake hakuwa kiongozi sahihi Na kwamba utawala wake ungeishia njiani.

TUKIO LA KWANZA : KUPOOZA KWA TANZANIA MARA BAADA YA MWENDAZAKE KUTANGAZWA KUWA RAIS.( Hakukuwa shamra kabisa kama ilivyo kuwa imezoeleka miaka yote . Yani Ni Sawa Na siku ya harusi halafu ukumbi mzima upooze Kwa huzuni kuu badala ya shamra shamra)

Nakumbuka hadi hapa Jf Kuna Mwamba alileta Uzi akihoji Nini mantiki ya kupooza Kwa nchi nzima mara baada ya mwendazake KUTANGAZWA kuwa Rais?

Watu wengi wali relate nae lakini baadhi ya MATAGA wakamjibu Kwa kejeli kwamba " familia yake ndio imepooza".

2. Miaka michache baada mwendazake kuingia madarakani watu wengi Sana mitaani wakawa wanasema huyu jamaa utawala wake hautofika mbali.

Unaweza kufikiri ni kama vile walikuwa wanamlaani lakini kiukweli ni kwamba walikuwa Wana tafsiri Kwa maneno Kile ambacho nature ilikuwa inazungumza nao..

3. KAULI YA LEMA HAIKUWA NA MAAJABU SANA : Lema aliposema kwamba ameota Rais atakufa, he was saying nothing but translating what the nature was speaking to him through his inner voice.

Inawezekana Kweli alioteshwa Kwa Sababu nature inapokuwa inaleta ujumbe wake Kwa watu halafu wafu mnakuwa mnashindwa kupata ujumbe wake basi inaleta ujumbe huo Kwa njia ya ndoto..

HATA WAPIGA ZUMARI WA MWENDAZAKE NATURE ILIZUNGUMZA NAO PIA.

Lakini hawakuweza kutafsiri sauti ya Mungu ndani Yao. Wataka kujaribu KUPAMBANA Na sauti ya Mungu ndani yao. Ndio maana wakaanza kampeni ya kutaka mwendazake aongezewe muda wa kutawala..

3. MWENDAZAKE ALI ISIKIA SAUTI YA NATURE LAKINI HAKUIJUA NDIO MAANA AKAJARIBU KUPAMBANA NAYO JAMBO AMBALO NI KOSA KUBWA SANA.

Waliosema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu walikuwa wanamaanisha hiki ninacho kisema hapa. Kama watu wengi wanasema Jambo Fulani basi tafsiri yake ni kwamba nature ndio ime wadirect waseme hivyo. And nature is the only true messenger of God.

So naamini sauti hii hata Mwendazake aliisikia. Sauti ya ndani kabisa ambayo hutoka Kwa Mungu na kuja kwenye nafsi zetu kupitia nafsi. Sauti iliyo mwambia kwamba " Wewe sio Rais wa Tanzania" kiti ulicho kalia sio kiti chako etc.

Inawezekana sauti hiyo ilijirudia rudia Sana ndani ya nafsi yake kiasi cha kumfanya aipe umuhimu wake.

Inawezekana yeye alitafsiri sauti hiyo kama machale kwamba Kuna watu hawataki yeye awe Rais wa Tanzania.

Ndio maana mara Kwa mara Alisikika akisema " MIMI NDIO RAIS"

Hapa Kwa mtazamo wangu Nina amini Mwendazake hakuwa akizungumza na mtu yoyote Yule.Alikuwa akizungumza na sauti yake ya ndani ambayo ilikuwa ikimwambia kwamba yeye sio Rais na kwamba atatawala kwa kipindi kimoja tu.

Rais wa nchi Hana Sababu yoyote ya kutamka hadharani mara Kwa mara kwamba " Mimi ndio Rais"

Ni Sawa Na Baba, baba haitaji kujitambulisha nyumbani Kwa watoto wake kwamba yeye ndio baba,majukumu ndio yanayo mtambulisha kwamba yeye ndio baba. Ukiona baba anajitambulisha Kwa watoto wake basi something is missing.


MWENDAZAKE ANA ANZISHA MAPAMBANO DHIDI YA SAUTI YA MUNGU NDANI YAKE.

Kwa kuwabana wapinzani , kununua wabunge wa upinzani n.k . Lengo ni kujaribu kuizima sauti Ile ya ndani ambayo Ni sauti ya Mungu. Huwezi kuzima sauti ya Mungu ambayo Ni spiritual Kwa kutumia mamlaka ambayo jurisdiction yake ipo kwenye physical universe.


SAUTI YA NDANI BADO INAENDELEA KUMTESA

Inawezekana pamoja na kufanya jitihada zote lakini bado sauti Ile ya ndani iliendelea kumwambia kwamba wewe sio Rais wa nchi hii.

Wakati WA uchaguzi WA 2020 Kuna siku Alisikika akisema " MZEE MWINYI KAONGOZA VIPINDI VIWILI, MZEE MKAPA VIPINDI VIWILI, MZEE KIKWETE VIPINDI VIWILI, MIMI NDIO MNATAKA NIONGOZE KIPINDI KIMOJA"

Hapo mwendazake hakuwa akizungumza na wewe Wala Mimi Wala MTU yoyote Yule katika ulimwengu WA nyama . Hapo mwendazake alikuwa akizungumza Na sauti ya Mungu iliyo kuwa ikiendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais na kwamba atatawala kwa kipindi kimoja tu.


ANAENDELEA DESPERATELY KUPAMBANA NA SAUTI YA NDANI.

Kwa Sababu sauti iliendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais akaona kutumia mamlaka yake kwenye uchaguzi WA 2020 Kwa kufanya alicho kifanya kwenye uchaguzi ambao ccm walichukua nchi nzima kuanzia udiwani Hadi urais..

MWISHO SAUTI INAJIDHIHIRISHA KATIKA ULIMWENGU WA NYAMA...

SOMO: SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU.


MTU MMOJA AKIKWAMBIA WEWE NI PUNDA ACHANA NAE HUYO AMEKUTUKANA TU.

LAKINI WATU KUMI KILA MMOJA KWA WAKATI WAKE WAKIKUITA WEWE NI PUNDA, MY BROTHER BASI JUA WEWE NI PUNDA KWELI, ANZA KUPIGA WATU MATEKE.


Funzo kuu: usisindane Na sauti yako ya ndani. Sauti yako ya ndani ni sauti ya Mungu. Ni Mungu mwenyewe. Hata unaposikia wanasema " Sauti ya Mungu ikawambia Yona uende ninawi" usifikiri Yona akisikia suati ya Mungu live hapana ilikuwa ni sauti ya ndani. God always speak in silence.

Watu wengi wameangamia Kwa kuipuuzia sauti Yao ya ndani. Sauti ya ndani inakwambia achana Na huyo mwanamke/ mwanaume wewe unangangania mwisho wake unaenda kuangukia pua.

Sauti ya ndani inakwambia achana na hiyo biashara ila unalazimisha. Matokeo unaishia kupata hasara.


UPDATE

Nime screen shot comment ya mdau Kalunya hapa chini[emoji116]

View attachment 2144893
Walijua atauawa kwa kuwa alikuwa anagusa maslahi ya mafia wa ndani na nje ya Tz.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna ukweli wa hiyo telepathy ambayo umeizungumza hapo basi watu tusingekuwa tunakosea kufanya mambo maana hata kabla ya kutenda jambo basi hiyo telepathy ingekuwa inatuambia kuwa usifanye hilo jambo..
Na pia inamaana hiyo telepathy ilikuwa inawapata wananchi tu na siyo mtawala ambae alikuwa anatabiriwa na hizo mambo inamaan mkuu wa nchi nae ni mwananchi kwa nn hiyo telepathy ya kumuambia utawala wake hauta dumu hakuipata,hapo mkuu naona kama tunataka kueleza mambo ya utabiri wa mambo magumu ambayo siyo ya upeo wetu..
Nisahishishe kama nimekinzana na mada yako
Hujataka kuielewa mada,umepita pembeni yake,halafu kwa makusudi.
 
Wakati wa mwendazake karibu Kila mtu alikuwa akitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali.

Ilikuwa unaweza ukakutana na kajamaa kametoka kijijini kwako huko Isungachupi , hakajui chochote kuhusu utabiri lakini kanakwambi Kwa confidence kabisa kwamba " Ndugu yangu wee huyu jamaa utawala wake hautofika mbali."


Je unajua Sababu ni Nini?

Watu walikuwa wakitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali Kwa Sababu Mungu alikuwa amewapa ufunuo kupitia nature.

Yes God speak through the nature.

When God want to communicate his massage to his people he sent the message to the nature and the nature communicate the same message to the people through what is known as telepathy.

Telepathy is simply communication without talking.

Telepathy can involve an individual person and sometime it can involve a group of people , the whole nation or the whole universe..

Telepathy can be from a person to a person, from God to humans, From human to God, from spirits to persons etc.

Ukitaka kujua how telepathy works tafakari tukio la kupigwa mwizi na wanachi wenye hasira Kali.

Huwaga unaenda kumpiga mwizi bila kuambiwa na mtu nenda kampige huyo mwizi. Mnajikuta kundi la watu mnampiga mtu mmoja ambae mnaamini ni mwizi. Ni kwamba nafsi zenu zinakuwa zime wasiliana kwamba mnapaswa kumpiga mwizi huyo wakati Huo.

Watu karibu wote mashuhuri duniani walipata revelations kubwa kubwa duniani through nature. ( Eg Budha )


Mara nyingi Sana nature huwa inazungumza na Sisi lakini Kwa Sababu tunakuwa hatujaliweka Hilo akilini( kwamba nature inazungumza Na Sisi ) basi Jambo Hilo hupita bila kujua.

Kwa ufupi nature huzungumza na wewe kupitia Sauti yako ya ndani ambayo is nothing but your guardian angel.


KWA HABARI YA MWENDAZAKE, nature ilizungumza na mamilioni ya watanzania kwamba mwendazake hakuwa kiongozi sahihi Na kwamba utawala wake ungeishia njiani.

TUKIO LA KWANZA : KUPOOZA KWA TANZANIA MARA BAADA YA MWENDAZAKE KUTANGAZWA KUWA RAIS.( Hakukuwa shamra kabisa kama ilivyo kuwa imezoeleka miaka yote . Yani Ni Sawa Na siku ya harusi halafu ukumbi mzima upooze Kwa huzuni kuu badala ya shamra shamra)

Nakumbuka hadi hapa Jf Kuna Mwamba alileta Uzi akihoji Nini mantiki ya kupooza Kwa nchi nzima mara baada ya mwendazake KUTANGAZWA kuwa Rais?

Watu wengi wali relate nae lakini baadhi ya MATAGA wakamjibu Kwa kejeli kwamba " familia yake ndio imepooza".

2. Miaka michache baada mwendazake kuingia madarakani watu wengi Sana mitaani wakawa wanasema huyu jamaa utawala wake hautofika mbali.

Unaweza kufikiri ni kama vile walikuwa wanamlaani lakini kiukweli ni kwamba walikuwa Wana tafsiri Kwa maneno Kile ambacho nature ilikuwa inazungumza nao..

3. KAULI YA LEMA HAIKUWA NA MAAJABU SANA : Lema aliposema kwamba ameota Rais atakufa, he was saying nothing but translating what the nature was speaking to him through his inner voice.

Inawezekana Kweli alioteshwa Kwa Sababu nature inapokuwa inaleta ujumbe wake Kwa watu halafu wafu mnakuwa mnashindwa kupata ujumbe wake basi inaleta ujumbe huo Kwa njia ya ndoto..

HATA WAPIGA ZUMARI WA MWENDAZAKE NATURE ILIZUNGUMZA NAO PIA.

Lakini hawakuweza kutafsiri sauti ya Mungu ndani Yao. Wataka kujaribu KUPAMBANA Na sauti ya Mungu ndani yao. Ndio maana wakaanza kampeni ya kutaka mwendazake aongezewe muda wa kutawala..

3. MWENDAZAKE ALI ISIKIA SAUTI YA NATURE LAKINI HAKUIJUA NDIO MAANA AKAJARIBU KUPAMBANA NAYO JAMBO AMBALO NI KOSA KUBWA SANA.

Waliosema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu walikuwa wanamaanisha hiki ninacho kisema hapa. Kama watu wengi wanasema Jambo Fulani basi tafsiri yake ni kwamba nature ndio ime wadirect waseme hivyo. And nature is the only true messenger of God.

So naamini sauti hii hata Mwendazake aliisikia. Sauti ya ndani kabisa ambayo hutoka Kwa Mungu na kuja kwenye nafsi zetu kupitia nafsi. Sauti iliyo mwambia kwamba " Wewe sio Rais wa Tanzania" kiti ulicho kalia sio kiti chako etc.

Inawezekana sauti hiyo ilijirudia rudia Sana ndani ya nafsi yake kiasi cha kumfanya aipe umuhimu wake.

Inawezekana yeye alitafsiri sauti hiyo kama machale kwamba Kuna watu hawataki yeye awe Rais wa Tanzania.

Ndio maana mara Kwa mara Alisikika akisema " MIMI NDIO RAIS"

Hapa Kwa mtazamo wangu Nina amini Mwendazake hakuwa akizungumza na mtu yoyote Yule.Alikuwa akizungumza na sauti yake ya ndani ambayo ilikuwa ikimwambia kwamba yeye sio Rais na kwamba atatawala kwa kipindi kimoja tu.

Rais wa nchi Hana Sababu yoyote ya kutamka hadharani mara Kwa mara kwamba " Mimi ndio Rais"

Ni Sawa Na Baba, baba haitaji kujitambulisha nyumbani Kwa watoto wake kwamba yeye ndio baba,majukumu ndio yanayo mtambulisha kwamba yeye ndio baba. Ukiona baba anajitambulisha Kwa watoto wake basi something is missing.


MWENDAZAKE ANA ANZISHA MAPAMBANO DHIDI YA SAUTI YA MUNGU NDANI YAKE.

Kwa kuwabana wapinzani , kununua wabunge wa upinzani n.k . Lengo ni kujaribu kuizima sauti Ile ya ndani ambayo Ni sauti ya Mungu. Huwezi kuzima sauti ya Mungu ambayo Ni spiritual Kwa kutumia mamlaka ambayo jurisdiction yake ipo kwenye physical universe.


SAUTI YA NDANI BADO INAENDELEA KUMTESA

Inawezekana pamoja na kufanya jitihada zote lakini bado sauti Ile ya ndani iliendelea kumwambia kwamba wewe sio Rais wa nchi hii.

Wakati WA uchaguzi WA 2020 Kuna siku Alisikika akisema " MZEE MWINYI KAONGOZA VIPINDI VIWILI, MZEE MKAPA VIPINDI VIWILI, MZEE KIKWETE VIPINDI VIWILI, MIMI NDIO MNATAKA NIONGOZE KIPINDI KIMOJA"

Hapo mwendazake hakuwa akizungumza na wewe Wala Mimi Wala MTU yoyote Yule katika ulimwengu WA nyama . Hapo mwendazake alikuwa akizungumza Na sauti ya Mungu iliyo kuwa ikiendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais na kwamba atatawala kwa kipindi kimoja tu.


ANAENDELEA DESPERATELY KUPAMBANA NA SAUTI YA NDANI.

Kwa Sababu sauti iliendelea kumwambia kwamba yeye sio Rais akaona kutumia mamlaka yake kwenye uchaguzi WA 2020 Kwa kufanya alicho kifanya kwenye uchaguzi ambao ccm walichukua nchi nzima kuanzia udiwani Hadi urais..

MWISHO SAUTI INAJIDHIHIRISHA KATIKA ULIMWENGU WA NYAMA...

SOMO: SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU.


MTU MMOJA AKIKWAMBIA WEWE NI PUNDA ACHANA NAE HUYO AMEKUTUKANA TU.

LAKINI WATU KUMI KILA MMOJA KWA WAKATI WAKE WAKIKUITA WEWE NI PUNDA, MY BROTHER BASI JUA WEWE NI PUNDA KWELI, ANZA KUPIGA WATU MATEKE.


Funzo kuu: usisindane Na sauti yako ya ndani. Sauti yako ya ndani ni sauti ya Mungu. Ni Mungu mwenyewe. Hata unaposikia wanasema " Sauti ya Mungu ikawambia Yona uende ninawi" usifikiri Yona akisikia suati ya Mungu live hapana ilikuwa ni sauti ya ndani. God always speak in silence.

Watu wengi wameangamia Kwa kuipuuzia sauti Yao ya ndani. Sauti ya ndani inakwambia achana Na huyo mwanamke/ mwanaume wewe unangangania mwisho wake unaenda kuangukia pua.

Sauti ya ndani inakwambia achana na hiyo biashara ila unalazimisha. Matokeo unaishia kupata hasara.


UPDATE

Nime screen shot comment ya mdau Kalunya hapa chini👇

View attachment 2144893
Ina maana angeruhusu free and fair election ndani ya ccm angeshindwa na akabaki kuwa raia na asingekufa. Aliweka form ya raisi moja tu.
Alimfukuza membe and the co.
Una maanisha matendo yake yalichochea kifo chake.
Umesahau kauli ya "Niombeeni hata mimi nina damu" .
Hapa ina ashiria kuwa alijitabiria kifo kwani aliwagusa watu wenye mitandao mikali ya kimafia duniani. Mfano kampuni za madini. Na hio kauli ina uoga ndani yake, umeshika dola bado unakuwa muoga.

Hapa najifunza kuwa Raisi SSH hataki kurudia kosa la magufili, tukio baya la mwenzako linakupa busara ya kufanya maamuzi yaliobora.
Watu tunakimbilia Uongozi mkubwa kumbe siri zake ni nzito. Kuna mambo magumu sana ktk uraisi wengi wetu tupo gizani.
Magufili alifuata falsafa ya RAPID CHANGES Badala ya Slow changes ambayo anafanya Samia.
Tukumbike hata Rsis Trump wa marekani alikosa uraisi mara ya pili kutokana na tabia kama za Magufili.
Hii ina maana kwamba mfumo wa kimagufuli kwa dunia ya sasa haikubariki vinginevyo itumike nguvu kubwa sana ya kujilinda.
 
Hapa Tanzania ni Kama JPM ndio binadam wa Kwanza kufa au binadam pekee aliyekuwa si mkamilifu.

Kufika mbali ni general term na hata binadamu kufa wengi huamini ni adhabu but trust me kufa si adhabu but it is an end Kwa kila kiumbe Chenye uhai.

Rest easy ngosha.

Site njia yetu NI moja.
ni rais aliyefia madarakani arifu. Rais wa nchi siyo kawaida. Hata hapo kwenu baba yako, ambaye ni kiongozi wa familia siyo kama WEWE! Umeelewa?
 
Back
Top Bottom