Sababu za ndani kabisa 'nilizopenyezewa' ambazo ndizo 'zimemfukuzisha' Kazi Kocha wa Yanga SC Zlatko ni hizi hapa....

Wazungu ndio huita blacks ni nyani, ukiona wewe ni black na unashabikia kauli za hivi jua kichwa hakikusaidii vizuri zaidi ya kubeba meno ya kutafuna chakula. Akina Eto, Balotteli walikuwa wanatupiwa ndizi kabisa.
Wakat anachukyliwa haya hayakujulkna? Hapo ndipo UNYANI ulipo
 
Inaonekana unapenda Sana kupenyezewa. Nipe na Mimi nikupenyezee basi.
 
Sio tu minyani pia aliwaita mi mbwa. Kaz yenu kubwekabweka tu
Cool, but kwa ujinga wenu mnadhani Yanga wameitwa "nyani" kutokana na rangi za jezi zao. Malofa hawatokwisha.
 
Habari za kibarua chake kuota nyasi zilijulikana mapema sana,timu wananchi wa jangwani tunafeli wapi?
 
Morrison anaendeleaje huko??
Mchezaji yeyote wa kikosi cha kwanza cha Yanga akija Simba anaanzia benchi.
Ref. Niyonzima, Gadieli, Ajibu, Morrisoni, Kakolanya, Moro alishindwa majaribio Simba.
Nk.
Mwamnyeto alilijua hili akakimbilia Yanga mapema la naye angeanza na Benchi.
Au wewe mtaje yoyote aliyepo sasa hivi anayeweza kuanza kikosi cha kwanza cha Simba.
Ni kwamba hayupo.
 
Mtu mweusi kushangilia neno hilo ni ujuha ws hali ya juu. Hili ni tudi la kibaguzi kwa WATU WEUSI, kwa sababu ya umbumbumbu wako unadhani wametukanwa wanayanga tu. Hivyo kabisa
ndio maana nikasema ushabiki wa simba na yanga umekuwa wa kipumbavu.... fikiria mtu mweusi anamwita mweusi mwenzake nyani.....imagine... huu ni upumbavu wa hali ya juu.......kisa mpira tu unafanya waafrika tunadhalilishana na kutukanana... huu ni upumbavu wa kiwango cha juu.
 
Mtu mweusi kushangilia neno hilo ni ujuha ws hali ya juu. Hili ni tudi la kibaguzi kwa WATU WEUSI, kwa sababu ya umbumbumbu wako unadhani wametukanwa wanayanga tu. Hivyo kabisa
ndio maana wazungu wanatudharau sana. mzungu katukana waafrika wote, halafu kuna miafrika mipumbavu inasapoti, mambo mengine yanasikitisha sana.
 
Umejichanganya kwa Mwamnyeto....wakati anakuja Yanga hakuwa mchezaji wa Yanga...fikiri kabla ya kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…