permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Wazungu ndio huita blacks ni nyani, ukiona wewe ni black na unashabikia kauli za hivi jua kichwa hakikusaidii vizuri zaidi ya kubeba meno ya kutafuna chakula. Akina Eto, Balotteli walikuwa wanatupiwa ndizi kabisa.
Wakat anachukyliwa haya hayakujulkna? Hapo ndipo UNYANI ulipo