Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Huu mnyororo lazima ulikuwa mrefu ili kufanikisha yote hayo kwahio ni wengi ingebidi wawajibike..., ila Sheria zinazotegemea majira na nyakati unategemea nini ? Tunahitaji Taasisi imara, mtu imara pekee hatoshi sababu kesho au keshokutwa akija mpuuzi mwingine mtondogoo tutakuwa tunaongea haya haya...
 
Hakimu ambaye hatopitisha ama Adhabu ya Kifungo cha Maisha kwa Ole Sabaya au cha Kunyongwa ( Kuuliwa kabisa ) ambacho GENTAMYCINE ndiyo nakiombea 24/7 hakika ' Laana ' yangu itampata na Kumtesa mno tu.

TAKUKURU mkamateni upesi Makonda.
Yaan kifungo Cha Maisha aendelee kula ugari wetu? Huyu ahukumiwe kunyongwa Tena wamlete taifa afungwe katikati ya uwanja kila Mwenye jiwe afanye mazoezi ya viungo
 
Jeff anayetambuliwa na TRA,Wizara ya Viwanda na Biashara,TBS na Brela.
Mkuu achana naye huyu dogo Emmanuel Kasomi anatumiwa sana na kina Sabaya kuna Mada nyingi anazileta za kuwatetea wahalifu hao kwa kuwakandamiza wenye anajifanya yupo Hai mara Ikwiriri huyu ndio wale vibauncer vya Sabaya
Huyu Mmasai Sabaya hata akitoka ajue tulimuombea ANYONGWE au maisha yaani Uraiana hakumfai
alikuja kwenye Mazishi Tengeru Ogaden estate wilayani Arumeru walijuta kumkaribisha Mic km Mkuu wa Wilaya jirani yaani ni toto jinga lilijiona halitaguswa wala kuanguka
 
Ndiyo yule aliyekutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti
Yaani mkuu tangu nikutelekeze na huyo mtoto umenichukia sana.
Mbona wanaume wapo wengi sana unaweza tafuta mwingine kwa sasa mimi nina mke
 
Hivi ni kwamba serekali ilikuwa haiyoni hayo yote, mpaka kiwanda kinafungwa TRA, TBS, BRELA, Wizara ya viwanda wako wapi?

Kwa haraka haraka Sabaya alikuwa juu ya waziri mkuu he was untouchable
Na nguvu hizo alipewa na dhalimu Mkuu aliyeko motoni.
 
So Sad
 
Huu moto hatok mtu

Ww ni mmoja ya watu waliokuwa wakitetea udhalimu kipindi cha kiongozi muovu kwa kichaka cha uzalendo. Huyo Sabaya alikuwa mpaka na nyumba ya kutesea huko Hai aliyoiita Golgota! Alifanya yote hayo kwa kushirikiana na vyombo vya dola hasa ocd wa Hai.
 
kwny hili kuilamu ccm ni kuwaonea, maana na wao walikuwa wakichezeshwa n'guu upandeee n'guu rejesha..

kila alicho kiamua
kila alicho kisema, ccm ilikuwa na task moja tu amabyo waliifanya kwa ufanisi, kusifia na kumpongeza. Nje ya hapo atakayepianga kuikiona..

hata michango ya wabunge, kila alienyanyua mdomo, alianza kwa kumpongeza na kumsifia mwendazake, na kulitaja jina lake loote mara kumi kumi.
 
Wale wapuuzi wanaomtetea Sabaya wake hapa
 
Kile kitabu kinasema:, Nitampiga mchungaji, na mbuzi watatawanyika.
Sijui zaburi ngapi.. Vileee
 
Balaa zito, Sabaya anapaswa kuwalipa fidia hawa watu kawapotezea rasilimali zao kwa kiasi kikubwa. Pole sana ndugu.
Lakini alifanya haya yote idara zote nyeti za serikali zikimwangalia- Ndo maana tunasema suluhisho ni katiba mpya- Watu walikuwa wakimwangalia kwa sababu bosi wake hajasema chochote japo walikuwa na mamlaka mikononi mwao
 
Hawa waliyopewa nafasi naona walitumia pia vyeo vyao kupora watu fedha na mali zao
Wengine hadi kuchukua wake za watu

Ova
Acha tu mkuu watu wamefanya maombi na zaidi ya maombi watu wamedhulumiwa na kunyanyaswa kijisia 100% mwendazake Alikuwa ana juwa
 
Pole Sana Bwana JEFFREY MMBUNGU hakika sabaya ni zaidi ya mwendazake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…