Yaan kifungo Cha Maisha aendelee kula ugari wetu? Huyu ahukumiwe kunyongwa Tena wamlete taifa afungwe katikati ya uwanja kila Mwenye jiwe afanye mazoezi ya viungoHakimu ambaye hatopitisha ama Adhabu ya Kifungo cha Maisha kwa Ole Sabaya au cha Kunyongwa ( Kuuliwa kabisa ) ambacho GENTAMYCINE ndiyo nakiombea 24/7 hakika ' Laana ' yangu itampata na Kumtesa mno tu.
TAKUKURU mkamateni upesi Makonda.
Mkuu achana naye huyu dogo Emmanuel Kasomi anatumiwa sana na kina Sabaya kuna Mada nyingi anazileta za kuwatetea wahalifu hao kwa kuwakandamiza wenye anajifanya yupo Hai mara Ikwiriri huyu ndio wale vibauncer vya SabayaJeff anayetambuliwa na TRA,Wizara ya Viwanda na Biashara,TBS na Brela.
Yaani mkuu tangu nikutelekeze na huyo mtoto umenichukia sana.Ndiyo yule aliyekutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti
Na nguvu hizo alipewa na dhalimu Mkuu aliyeko motoni.Hivi ni kwamba serekali ilikuwa haiyoni hayo yote, mpaka kiwanda kinafungwa TRA, TBS, BRELA, Wizara ya viwanda wako wapi?
Kwa haraka haraka Sabaya alikuwa juu ya waziri mkuu he was untouchable
So SadMkuu achana naye huyu dogo Emmanuel Kasomi anatumiwa sana na kina Sabaya kuna Mada nyingi anazileta za kuwatetea wahalifu hao kwa kuwakandamiza wenye anajifanya yupo Hai mara Ikwiriri huyu ndio wale vibauncer vya Sabaya
Huyu Mmasai Sabaya hata akitoka ajue tulimuombea ANYONGWE au maisha yaani Uraiana hakumfaiYanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum
YANAYOENDELEA WILAYA YA HAI NI MKAKATI MAALUMU UMEPANGWA Kwanza Niseme Jambo Moja Mliopo Nje Ya Wilaya Ya Hai Hamjui Kinachoendelea Huku Haya Masuala Naomba Mzingumze Kisiasa Sisi Wananchi Tunaoishi Hai Ndio Tunajua Chanzo Ni Nini kuhusu Yanayoendelea Na Nitoe Pongezi Zangu Sana Kwa DC Sabaya...www.jamiiforums.com
alikuja kwenye Mazishi Tengeru Ogaden estate wilayani Arumeru walijuta kumkaribisha Mic km Mkuu wa Wilaya jirani yaani ni toto jinga lilijiona halitaguswa wala kuanguka
Usihamishe magoli uliyemuulizia ndiye alikutatua marinda.Yaani mkuu tangu nikutelekeze na huyo mtoto umenichukia sana.
Mbona wanaume wapo wengi sana unaweza tafuta mwingine kwa sasa mimi nina mke
Huu moto hatok mtu
Ni zaidi ya ujambazi, walikuwa watu waovu na madhalimu wakiongozwa na aliyekuwa namba moja.Tulikabidhi nchi majambazi
kwny hili kuilamu ccm ni kuwaonea, maana na wao walikuwa wakichezeshwa n'guu upandeee n'guu rejesha..Hili ni moja ya doa kubwa utawala uliopita. Huu uchafu si sawa kutupiwa ombwe lisiloshikika "awamu ya 5" bali CCM kwa ujumla. Hivi CCM wanajivuaje kwenye haya?
Kitu kinachotuponza sana ni kila upuuzi kuipa awamu yake huku awamu mpya ikijivika upya! CCM itatawala milele kama tukiendelea kufurumsha lawama kwa watu badala ya chama chenyewe.
Wale wapuuzi wanaomtetea Sabaya wake hapaMwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John.
Mwezi February mwaka huu, aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya alimpigia Jeff na kumwambia kuwa CCM itafanya maadhimisho ya miaka 44 tangu kuanzishwa, na yeye ni miongoni mwa wanakamati wanaoandaa maadhimisho hayo.
Akataka kiwanda hicho kichangie TZS 10M kufanikisha maadhimisho hayo. Jeff akamwambia hana uwezo wa kuchangia 10M, lakini akaahidi kuchangia 1M. Sabaya akamnanga kwamba serikali ya CCM ndiyo iliyomuwekea mazingira mazuri ya kibiashara hadi akaweza kufungua kiwanda, kwahiyo kuchangia 1M ni dharau kwa chama, anatakiwa achangie kiasi kisichopungua 10M.
Jeff akamwambia hana pesa hiyo. Sabaya akamwambia nimepitia transaction zako TRA najua unafanya mauzo ya mamilioni ya shilingi. Jeff akamwambia bado kiwanda ni kichanga na hakijaanza kujiendesha kwa faida kiasi cha kumpa Sabaya 10M.
Mwezi May mwaka huu Sabaya akavamia kiwanda hicho akiwa na mabaunsa wake. Wakawa-harass sana wafanyakazi waliokuwepo. Sabaya akiongozana na waandishi wa vyombo 11 vya habari akatangaza kukifunga kiwanda hicho kwa madai kinajiendesha bila vibali.
Vyombo vya habari vikaripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa kwa kufanya uzalishaji wa vinywaji vikali bila kuwa na kibali. Jeff akashangaa kwa sababu alikua na vibali vyote.
Ana leseni ya BRELA nambari 142255766 iliyotolewa July mwaka 2020. Ana leseni ya TRA nambari 142255766 iliyolewa July 2020. Ana leseni ya biashara nambari 03356294 iliyotolewa na Halmashauri ya wilaya ya Hai tarehe 25 September 2020.
Ana Leseni ya mkemia mkuu wa serikali nambari B002C000255 iliyotolewa October mwaka 2020, pia ana Leseni ya TBS nambari 3082 iliyotolewa December 2020. Pia kabla ya kuanza uzalishaji alipewa barua ya ruhusa kutoka TBS yenye Kumbukumbu nambari QA/QCCA/3215/17.
Sasa akashangaa imekuaje kiwanda kifungwe kwa kukosa vibali wakati vibali vyote anavyo? Akampigia Sabaya kumuuliza. Akamwambia aende ofisini.
Alipofika ofisini, wakaongea na akamuonesha nakala za vibali. Sabaya akatoka ofisini na kumuacha ndani. Aliporudi akamnyang'anya simu zote, na kumuamuru akae chini. Akaita mabaunsa wake, wakamvua viatu na mkanda na kumpeleka rumande.
Taarifa za kukamatwa kwake zikafika kwa viongozi mbalimbali wa serikali. Wizara ya ya viwanda na biashara ikatoa tamko kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kwa mujibu wa sheria. Wizara ya uwekezaje, ofisi ya Mkemia mkuu wa serikali, Shirika la viwango (TBS), pamoja na ofisi ya BRELA wakaingilia kati na kueleza kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kihalali.
Kesho yake Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro akafanya press na kutoa ufafanuzi kuwa kiwanda hicho kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria. Taarifa hiyo ikaeleza kuwa mwezi April kiwanda hicho kilipewa stika za 200M na kiliweza kuhuisha stika za 93M. Pia kwa siku chache za mwezi May (kabla hakijafungwa) kilikua kimehuisha stika za 13M.
Taarifa ya TRA ikaeleza kuwa kiwanda hicho hakijawahi kuwa na mgogoro wowote na serikali wala hakijawahi kujiendesha bila kuwa na vibali. Ikatangaza kukifungulia kiwanda hicho na kukiruhusu kiendelee na uzalishaji.
Media zote zilizoripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa zilialikwa kwenye Press ya TRA ili ziujulishe umma kwamba taarifa ya Sabaya haikua sahihi, na kwamba kiwanda hicho kimeruhusiwa kuendelea na uzalishaji.
Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?
Tayari Jeff ameshaenda TAKUKURU kuwasilisha ushahidi wake. Pia atawasilisha malalamiko Baraza la habari nchini (MCT) ili media zilizomchafua na zikakataa kumsafisha zichukuliwe hatua, kwa sababu habari ya kiwanda hicho kufungwa imeathiri mauzo kwa kiasi kikubwa!
MatusiMakahaba mnaoliwa makalio mnajulikana tu.
Kile kitabu kinasema:, Nitampiga mchungaji, na mbuzi watatawanyika.Combinatin ilikuwa kali mno - kati ya hawa vijana, Sidhani kuna fursa na Mnyeti kuchomokapo.... hawa wote walipewa JEURI na mwenzake!!
Sasa Mungu wa mbinguni alivyo wa ajabu kamwondoa Mwendazake ili apishe uchunguzi huru... anayedhani Mungu hayupo hapa ulimwenguni sasa ataanza kuamini kwamba ni lazima malipo uyalipe tu hamna namna nyingine.
Hilo Zoezi la 'Kumnyonga' nipewe Mimi.Yaan kifungo Cha Maisha aendelee kula ugari wetu? Huyu ahukumiwe kunyongwa Tena wamlete taifa afungwe katikati ya uwanja kila Mwenye jiwe afanye mazoezi ya viungo
Lakini alifanya haya yote idara zote nyeti za serikali zikimwangalia- Ndo maana tunasema suluhisho ni katiba mpya- Watu walikuwa wakimwangalia kwa sababu bosi wake hajasema chochote japo walikuwa na mamlaka mikononi mwaoBalaa zito, Sabaya anapaswa kuwalipa fidia hawa watu kawapotezea rasilimali zao kwa kiasi kikubwa. Pole sana ndugu.
Acha tu mkuu watu wamefanya maombi na zaidi ya maombi watu wamedhulumiwa na kunyanyaswa kijisia 100% mwendazake Alikuwa ana juwaHawa waliyopewa nafasi naona walitumia pia vyeo vyao kupora watu fedha na mali zao
Wengine hadi kuchukua wake za watu
Ova