Sababu za Simba kushinda Jumamosi ni hizi hapa. Yanga acheni Polimi Lai!!

Sababu za Simba kushinda Jumamosi ni hizi hapa. Yanga acheni Polimi Lai!!

Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.

1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.

2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.

4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.

5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.

6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Sawa
 
Nunio homeless kaona unaleta Polimi Lai. Hebu weka hayo majina wajuvi wayadadavue!!
Hamna mmoja kati yetu aliyethibitisha madai yake. Kwakuwa mimi nimepiga Polimi lai, yeye angeweka vikosi hivyo viwili, ili tuweke kumbukumbu sawa!
 
Ni Wydad unayoizungumzia hapa lakini! Wachezaji wake tisa wamecheza nusu fainali ya WC.

Timu iliyofika 5 bora klabu bingwa dunia.

Mi nadhani historia ina nguvu kati ya timu zinazolingana au kukaribiana uwezo, sio kwa Wydad na Simba.

Simba haina deni msimu huu, kila la kheri.
Wydad alifungwq na Rivers United kule Nigeria. Hilo unabidi ukumbuke

Kufungwa na Wydad kuna asilimia nyingi ila haimaanishi wao hawawezekaniki kufungwa.

Na ishu hapa ni kufuzu, anaweza akafungwa ila sio katika viwango vya kumfanya asifuzu.

So sisi ambition yetu ni kushinda kwanza hapa home, huko kwao tutamuachia Allah
 
Namba 5 hapo ndo main point Simba inacheza kitimu zaidi.
Simba atashinda hii mechi na atafuzu Inshallah.
 
Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.

1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.

2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.

4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.

5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.

6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Namba 3 sijakuelewa, umeitoa wapi hiyo
 
Kombe la walio feri hilo, hata ukinya uwanjani sawa, hakuna heshima huko, CAFCL ndio kombe mengine ni utapeli tu
Na ndilo kombe ambalo linaifanya Simba ionekane kalabu yenye mambo ya kishirikina zaidi Kwa Africa na Tanzania.

Ndilo kombe ambalo kupitia Simba watanzania tumeonekana watu washirikina zaidi katika ukanda huu wa Africa.

Ndilo kombe Lililo hitimisha zile tetesi za kuwa ikiwa inacheza uwanja wa nyumbani Simba inatumia mbinu chafu Ili kupata matokeo katika mpira wa miguu.

Ndilo kombe linalo ifanya Simba iogopwe na wapinzani wake Kwa Ushirikina zaidi kuliko uwezo wa uwanjani katika soka.
 
Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.

1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.

2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.

4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.

5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.

6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.

Game inaweza isha kwa sare ya magoli au lunyasi akashinda magoli kiduchu
Trust me lunyasi anakwenda kufia Stade Mohammed V
 
Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.

1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.

2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.

4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.

5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.

6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Ni mechi ya robo fainali...punguza mahaba, pia Simba atafungwa zaidi ya goli 3....

Ikae hivyo.
 
Timu ilijiandaa na Wydad ghafla akakatiza nzi, akala kibano.
Wazee wa Polimi Lai, bado wanakariri, semaji la zama za mawe za kale lilishawaasa ila hawasikiii

Guvu Moya.
 
Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.

1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.

2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.

4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.

5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.

6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Ungeweka na Sababu ya Simba kufungwa na Raja na vipi ambavyo vimerekebishwa kutoka kwenye hizo sababu.
 
Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.

1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.

4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.
Hizo point mbili umejichanganya. Kwenye namba 1 haina hofu, lakini kwenye namba 4 ina deni la kuzuia kuabika!
Hilo deni ndilo litawatia hofu - ila naamini wanaweza kushinda
 
Back
Top Bottom