Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #21
Tayarisheni mashada basi. Lile kubwa kabisa liandikeni "BEST FRIEND".Piga mipasho hapa ila kiukweli mwendo mmeumaliza.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Unaitaja kama rahisi, wakati tulikuwa wote CAFCL ukaleta Polimi lai ukapigwaKila mwaka robo
Polimi lai huku ulimuweza Zalan tuPiga mipasho hapa ila kiukweli mwendo mmeumaliza.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
SawaSimba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.
1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.
2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.
3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.
4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.
5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.
6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Ishabadilishwa ni airtel now daysKushinda zeni
Na huku tulipo mliwasha moto uwanjani ila ikashindikana.Polimi lai huku ulimuweza Zalan tu
Hamna mmoja kati yetu aliyethibitisha madai yake. Kwakuwa mimi nimepiga Polimi lai, yeye angeweka vikosi hivyo viwili, ili tuweke kumbukumbu sawa!Nunio homeless kaona unaleta Polimi Lai. Hebu weka hayo majina wajuvi wayadadavue!!
Wydad alifungwq na Rivers United kule Nigeria. Hilo unabidi ukumbukeNi Wydad unayoizungumzia hapa lakini! Wachezaji wake tisa wamecheza nusu fainali ya WC.
Timu iliyofika 5 bora klabu bingwa dunia.
Mi nadhani historia ina nguvu kati ya timu zinazolingana au kukaribiana uwezo, sio kwa Wydad na Simba.
Simba haina deni msimu huu, kila la kheri.
Mbinguni alipoenda kamanda Zumaridi.Kushinda zeni anaenda wapi
Namba 3 sijakuelewa, umeitoa wapi hiyoSimba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.
1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.
2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.
3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.
4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.
5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.
6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Kombe la walio feri hilo, hata ukinya uwanjani sawa, hakuna heshima huko, CAFCL ndio kombe mengine ni utapeli tuNa huku tulipo mliwasha moto uwanjani ila ikashindikana.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Na ndilo kombe ambalo linaifanya Simba ionekane kalabu yenye mambo ya kishirikina zaidi Kwa Africa na Tanzania.Kombe la walio feri hilo, hata ukinya uwanjani sawa, hakuna heshima huko, CAFCL ndio kombe mengine ni utapeli tu
Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.
1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.
2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.
3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.
4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.
5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.
6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Kitakachowaokoa labda labda labda mvua.Game inaweza isha kwa sare ya magoli au lunyasi akashinda magoli kiduchu
Trust me lunyasi anakwenda kufia Stade Mohammed V
Ni mechi ya robo fainali...punguza mahaba, pia Simba atafungwa zaidi ya goli 3....Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.
1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.
2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.
3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.
4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.
5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.
6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Ungeweka na Sababu ya Simba kufungwa na Raja na vipi ambavyo vimerekebishwa kutoka kwenye hizo sababu.Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.
1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.
2. Simba haina tena shinikizo kwenye Ligi ya ndani kwani kwa vyovyote vile mwakani tena itashiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.
3. Wachezaji wa Simba wengi sana sasa hivi wana dhamira ya dhati kabisa kupambana kwa ajili ya timu yao.
4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.
5.Kocha wa Simba ameonekana kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutumia mbinu kucheza kitimu kuliko kumtegemea mchezaji mmoja mmoja.
6. Simba ndiyo Klabu Pekee ya Soka Tanzania ambayo ina rekodi nzuri sana ya kuzishinda timu ngumu za Uarabuni kwenye wakati wa shinikizo. Kadri shinikizo linavyokuwa kubwa ndivyo simba inavyokuwa imara zaidi kupambana na timu toka Afrika ya Kaskazini.
Hizo point mbili umejichanganya. Kwenye namba 1 haina hofu, lakini kwenye namba 4 ina deni la kuzuia kuabika!Simba Jumamosi saa 10 jioni itacheza mchezo wake wa Nusu Fainali dhidi ya Wydad. Simba itashinda mechi hiyo kwa sababu zifuatazo.
1. Simba haina cha kupoteza kwenye mechi hiyo kwa ivo itacheza kwa kila njia bila ya kuwa na hofu ya kufungwa.
4. Kucheza uwanja wa Nyumbani kunawapa Simba deni la kuzuia kuaibika mbele ya Mashabiki wake.