Sababu za wanawake kugawa tendo ovyo hizi hapa; wanaume chukua tahadhari

Mimi To yeye nielimishe wengine kuhusu pesa au?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
Kuhusu kucheza Kwa kiasi hivyo vikoba pamoja na kuanza kuwekeza kupitia miradi midogomidogo hata kama ya kufuga Kuku wa Mayai/Nyama kupitia kipato wakipatacho mwisho wa Mwaka baada ya kuvunja Vikoba vyao

Shida ya wengi, kipato chote mkipata mnaishia kununua luxuries tu πŸ™Œ
 
Grahams akili tunatofautiana sana japo hivo vikoba mie huwa sichezi kabisa aisee
 
Hata tukiweka kando hivyo vitabu umevitaja, kulala na Kila mtu au mtu yeyote sio vizuri.

Kuna low of temperature " heat gain equals heat lost" inamaana kwenye nyota tukikutana na WA chini, yake itapanda Yako inashuka. Mkiwa wote wa chini, au wote wa juu haina madhara? Kwamba watu watafute wenye nyota Kali pekee?

Kwako tpaul
 
Kuna uo
Kuna uongo mwingi tu hapa umeongea hasa kwa hao wasanii
 
Kuna uo
Kuna uongo mwingi tu hapa umeongea hasa kwa hao wasanii
 
Kuna uo
Kuna uongo mwingi tu hapa umeongea hasa kwa hao wasanii
 
Kwa mfano, sasa hivi Diamond anaposex na Christina Shusho, kuna kitu anakitafuta ili kupaisha label yake ya bishara ya muziki na biashara zake nyingine.



Nawasilisha.
πŸ˜‚ Duh ina maana Nassib anakula haya makombo sasa hivi? Sema Nassib anaipenda sana hii Dunia kuna kile kipindi Bibi Kidude amekufa aliingia kuiba matilio ya ile maiti ili kuongeza ingredients kwenye Sanaa yake 😁
 
Kuna kaukweli fulani, niliwahi sex na dada mmoja, asubuhi yake nikapata deal ya pesa a haraka sana. Nikaja kukutana nae tena nikapata deal tena chap ya pesa za haraka. NIkastuka mbona kama kuna kitu basi nikaweka ntego, siku niliposex nae tena sikumaliza masaa 48 nikapata deal ya pesa tena deal simpo pesa mlima. Ikaenda hivyo mpaka nikaona huyu nioe kabisa uchumi ameukali. Shida ndio ilipoanzia baada ya kutangaza nia binti akafunguka ukweli wake, akasema yeye huwa anajiuza kama nataka kumuoa yupo tayari kuacha ila amenijuza ili nisjije nikaskia kwa watu baada ya kumuoa kuwa nimeoa dada poa. Ilinikata sana ukizingatia nilikuwa nakula peku halafu sikuwahi mtilia shaka kabisa na mienendo yake ya maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…