Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Usiku mbali hivyo mkuu, anaweza toka kutupiwa siku hiyohiyo na akakuletea. Zama zimebadilika usipotaka kukubali uhalisia wa mambo utakufanya ukubaliane na hilo. Uaminifu ni mdogo mno.True, kwa sasa mambo ya kuzama na mbwembwe nyingi ni hatari kwa afya. Tumepangwa sana, unazama kumbe kuna mwamba katupia jana usiku.
Unathibitishaje kitu ambacho hujawahi kukionaKwa macho? Hapana
Mfano wa kipuuzi kabisa huu. Huna lolote ujualo humu duniani zaidi ya ubishi.Iv jogoo anapo sex na mtetea fulani na yeye anapata nini?
Babu kuna wanawake hawapendi kabisa hiyo michezo, itategemea atakua na mwanamke wa aina gani. Alafu pia kuna wanaume bila kushuka huko haelewi kabisa na ugomvi juu.Hahaha.....eti labda urogwe
Bila kwenda Uvinza unadhani utaendelea kuwa naye?
Ila Vijana mna mambo mengi sana bora sisi tumezeeka [emoji847]
Hivi mwanamke alietoka kuliwa si unamjua ama inakuaje?Usiku mbali hivyo mkuu, anaweza toka kutupiwa siku hiyohiyo na akakuletea. Zama zimebadilika usipotaka kukubali uhalisia wa mambo utakufanya ukubaliane na hilo. Uaminifu ni mdogo mno.
Sijabisha nimeuliza swali ,kiungo punda punguza hasira bwana mdogo.Mfano wa kipuuzi kabisa huu. Huna lolote ujualo humu duniani zaidi ya ubishi.
Kwa utafiti usio rasmi, Wanawake wengi hufika kilele/ama kukaribia wakiwa wanaandaliwa Kwa njia hiyo...Babu kuna wanawake hawapendi kabisa hiyo michezo, itategemea atakua na mwanamke wa aina gani. Alafu pia kuna wanaume bila kushuka huko haelewi kabisa na ugomvi juu.
kazi ipo.
Bora uishi kama sisi Wazee wenu, Kwa hawa Wasichana wenu wa kileo ambao hawawezi kutulia na Mwanaume mmoja, ni risk sana kufanya hayo π€Bora tuachane kuliko kwenda uvinza, kwenye hilo acha niwe mshamba tu. Kuna jamaa nilimuona mdomo haufai kwa madonda umebabuka na inasemekana chanzo ni uvinza π·
Mi n kijana ila naishi ki enzi zenu hasa kwenye mapenzi.
Sisi Wazee wa mwaka 47 hatujui sana hayo mambo ya Kisasa [emoji847]
Kwenye hili ni ukiiga usasa wa kulamba kama mbuzi umeisha πBora uishi kama sisi Wazee wenu, Kwa hawa Wasichana wenu wa kileo ambao hawawezi kutulia na Mwanaume mmoja, ni risk sana kufanya hayo π€
Eti ulongo........hiki kiswahili nimewahi kukisikia Iringa maeneo ya Samora hadi kule CCM kikizungumzwa π[emoji23] Mwaka 47 huu ni ulongo.
Kweli kabisa, zama zenu hizi hutakiwi kuonesha ufundi ukikutana na msichanaKwenye hili ni ukiiga usasa wa kulamba kama mbuzi umeisha π
Mzee mwenzangu naona unataka kuniua Kwa mawazo, kwamba huenda Mwaka 47 wakati nashiriki na yule mrembo wa Mombasa huenda nilikutana na jamaa ametoka kutupia Jana yakeπTrue, kwa sasa mambo ya kuzama na mbwembwe nyingi ni hatari kwa afya. Tumepangwa sana, unazama kumbe kuna mwamba katupia jana usiku.
inategemea mwingine akitoka anakuwa wabaridi kama panga lililolala nje.Hivi mwanamke alietoka kuliwa si unamjua ama inakuaje?
Hahaha mzee mwenzangu nasikia wewe bado damu inachemka. Sasa hivi kama tunacheza gwaride inabidi iwe kizamani kabisa, ile ya kupigana mtama. Mambo ya ufundi tuwaachie Gen Z.Mzee mwenzangu naona unataka kuniua Kwa mawazo, kwamba huenda Mwaka 47 wakati nashiriki na yule mrembo wa Mombasa huenda nilikutana na jamaa ametoka kutupia Jana yakeπ
Bora tumezeeka sasa, vinginevyo hawa mabinti wangetulisha uchafu Siku Moja π
Sasa ukiwa kama kibu denga hata takwimu hazikubebi, mechi 20 goli 2 kweli πKweli kabisa, zama zenu hizi hutakiwi kuonesha ufundi ukikutana na msichana
Kuna mtu mmoja aliwahi kushauri, huhitaji chenga za Messi kuweza kufunga goli.
Unatakiwa uwe kama Kibu Denis, shuti moja goli π
Mkuu na umri huu wa 78 si nitakuja kufia kwenye kinena π€Hahaha mzee mwenzangu nasikia wewe bado damu inachemka. Sasa hivi kama tunacheza gwaride inabidi iwe kizamani kabisa, ile ya kupigana mtama. Mambo ya ufundi tuwaachie Gen Z.
Hahaha...............yaani sekunde ishirini nyingi ushafunga bao lako huyoo unaondoka zako ππSasa ukiwa kama kibu denga hata takwimu hazikubebi, mechi 20 goli 2 kweli π
Vijana wa hovyo wanakwambia fanya yako asipokojoa ataenda kukojoa chooni π