Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Qurani 86:7 -
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

First:
ukikubali kuwa kweli Seminal vesicles ipo jirani na Sacrum ambao ni uti wa mgongo
ndio uhalisia huu.
Maelezo yako ni haya post no 185

""mifupa iliyo jirani na seminal vesicles ni,pelvic bones(left & right) na sacrum(kiguku)""
so??
Second
Ikabaki kuzitafuta mbavu
kwa mujibu wa Allah na Quran yako.
Nikakuambia weka ushahidi wako kama seminal vesicles haipo baina ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu
hili swala halipo,tumia Quran kufunga tu huku kwenye biology Allah atabaki bila nguo.
Ukaweka ushahidi hu post no 207

ushahidi nilio nao ni huu hapa chini.
kwa case ya kuelezea kwa kutumia mifupa,seminal vesicles zinazungukwa na mfupa wa miisho ya uti wa mgongo na mifupa ya nyonga.mfupa wa mbavu haupo kabisa kwenye maelezo hapo.
sasa wapi hujaelewa!!!
Mimi nikakuambia umetoa ushahidi wa uongo Kwa sababu
wewe ulisema,sababu unatumia Quran kama rejea yako,wakati Quran hakuna kitu cha maana imeandika.
Unasema serminal vesicles inazungukwa na mifupa ya uti wa mgongo sio kweli
narudia tena uwe unasoma kwa ajili ya kuelewa sio unasoma ili ukariri kama Quran hiyo ni mbaya kwa afya ya akili yako,maelezo kwamba Seminal vesicle inazungukwa na mfupa wa miisho ya mgongo pamoja na Mfupa wa nyonga ni ambatanifu,hayaishii kwenye uti wa mgongo peke yake.

kwamba seminal vesicle iko katikati ya aina mbili za mifupa,unabisha kwasababu umeshiba na huna kazi ya kufanya sasa hivi sio kwa sababu ulichoandikiwa hakieleweki.

Hakuna sehemu yoyote ya uti wa mgongo yenye uwazi wa kuhifadhi organ
😅😅umesahau kwamba ni wewe uliandika kiguku kina shepu ya kiganja!!!akili unatumia kusikia njaa peke yake,kumbu kumbu umeiachia simu.
Huo mfupa wa Sacrum shape yake ni kama kiganja Cha mkono na upo Kwa nyuma huku mbele pako wazi na ndio Kuna organ kama blaader na hizo grand tena serminal vesicles ipo Kwa juu kabisa ya usawa wa mfupa wa Sacrum
2sec earlier hapo juu umesema uti wa mgongo hauna uwazi,kama nilivyokuandikia ni kwamba unabisha sababu umeshiba sio kwamba hakina ukweli ulichoakisoma.
Na mfupa wa nyonga upo kama bakuli huku mbele pako wazi na pia zumejaa Organ mbali mbali
umeanza kuelewa sasa,soon utamuelekeza na Allah,kwamba baada ya uti wa mgongo seminal vesicle haitazamani na mbavu ya aina yoyote labda mbavu ya mbwa😂😂😂
Hivyo basi sehemu ya mbele ya nyonga na Sacrum ipo wazi hakuna mfupa wowote zimejaa organ tupu pamoja na hiyo serminal vesicles
vyema sana,kwahiyo huu mfupa wa mbavu tunautoa wapi katka uwazi huu uliukiri kwamba upo!!!
Narudia tena sehemu ya mbele ipo wazi kabisa hiyo mifupa ya uti wa mgongo upo nyuma na mfupa wa nyonga upo nyuma na pembeni
ni kuzunguka huko,ungekuwa na idea namba gani vita zinapiganwa ungeelewa kuzunguka kitu kwa 180* ni kukizunguka pia.
Kama utaweka kijiti hapo kitatoka katika mbavu kitatoboa serminal vesicles na kuenda kugota katika uti wa mgongo
kama utaweka kijiti wapi??cha nini hicho kijiti??unakiweka kwa lengo lipi hasa???
Ndio maana Qurani ikasema Seminal vesicles ipo kati ya mifupa ya mbavu na mifupa ya uti wa mgongo
huu ni uongo mweupe,wacha kutafuta pepo ya 72 bikras kwa kusakafia uongo.
Nikakuwekea na picha kukuonyesha
Sehemu ya mbele ya Sacrum hakuna mfupa pako wazi Kuna organ tupu
naifahami vyema kuliko Allah mungu wako,ndio maana niliposoma hiyo aya nikaona huyu Allah ni kiazi kabisa.
Nikakuwekea picha kukuonyesha sehemu ya nyonga ya mbele ipo wazi pia Kuna organ tupu
labda kuna mfupa wa mbavu wewe umeuona.sio organi peke yake.
Nikakuwekea picha inayoonyesha hizo organ zilizopo hapo mbele ya Sacrum na nyonga
ukasahau kuweka mfupa wa mbavu.
Picha hizo apo chini

Broo Mimi nimemaliza maana ilibidi nikufundishe kama umtoto wa chekechea ila Kwa kuwa wewe ni mgalatia sikuona shida
mwalimu wetu umefeli kudhibitisha pasi na shaka kwamba mbegu za kiume zinatoka kifuani.zaidi umeleta picha nyingi ambazo zimeishia kukuongezea elimu zaidi ya huo utumbo unaoufahamu kutoka kwenye Quran.

vyema kama umeamua ukapumzike,ukiona bado naendelea kumtia adabu Allah na hujapenda nimekaa palee njoo uendelee kumsaidia.
 
ndio uhalisia huu.

so??

kwa mujibu wa Allah na Quran yako.

hili swala halipo,tumia Quran kufunga tu huku kwenye biology Allah atabaki bila nguo.

sasa wapi hujaelewa!!!

wewe ulisema,sababu unatumia Quran kama rejea yako,wakati Quran hakuna kitu cha maana imeandika.

narudia tena uwe unasoma kwa ajili ya kuelewa sio unasoma ili ukariri kama Quran hiyo ni mbaya kwa afya ya akili yako,maelezo kwamba Seminal vesicle inazungukwa na mfupa wa miisho ya mgongo pamoja na Mfupa wa nyonga ni ambatanifu,hayaishii kwenye uti wa mgongo peke yake.

kwamba seminal vesicle iko katikati ya aina mbili za mifupa,unabisha kwasababu umeshiba na huna kazi ya kufanya sasa hivi sio kwa sababu ulichoandikiwa hakieleweki.


[emoji28][emoji28]umesahau kwamba ni wewe uliandika kiguku kina shepu ya kiganja!!!akili unatumia kusikia njaa peke yake,kumbu kumbu umeiachia simu.

2sec earlier hapo juu umesema uti wa mgongo hauna uwazi,kama nilivyokuandikia ni kwamba unabisha sababu umeshiba sio kwamba hakina ukweli ulichoakisoma.

umeanza kuelewa sasa,soon utamuelekeza na Allah,kwamba baada ya uti wa mgongo seminal vesicle haitazamani na mbavu ya aina yoyote labda mbavu ya mbwa[emoji23][emoji23][emoji23]

vyema sana,kwahiyo huu mfupa wa mbavu tunautoa wapi katka uwazi huu uliukiri kwamba upo!!!

ni kuzunguka huko,ungekuwa na idea namba gani vita zinapiganwa ungeelewa kuzunguka kitu kwa 180* ni kukizunguka pia.

kama utaweka kijiti wapi??cha nini hicho kijiti??unakiweka kwa lengo lipi hasa???


huu ni uongo mweupe,wacha kutafuta pepo ya 72 bikras kwa kusakafia uongo.

naifahami vyema kuliko Allah mungu wako,ndio maana niliposoma hiyo aya nikaona huyu Allah ni kiazi kabisa.

labda kuna mfupa wa mbavu wewe umeuona.sio organi peke yake.

ukasahau kuweka mfupa wa mbavu.


mwalimu wetu umefeli kudhibitisha pasi na shaka kwamba mbegu za kiume zinatoka kifuani.zaidi umeleta picha nyingi ambazo zimeishia kukuongezea elimu zaidi ya huo utumbo unaoufahamu kutoka kwenye Quran.

vyema kama umeamua ukapumzike,ukiona bado naendelea kumtia adabu Allah na hujapenda nimekaa palee njoo uendelee kumsaidia.
Nimekuambia umeshaingia Katika kitanzi Cha Allah na Kila unavyofurukuta ndio kamba inazidi kukaza shingoni mwako


Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?

2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?

3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu?
Screenshot_20230805-093807.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230804-104042.jpg
    Screenshot_20230804-104042.jpg
    24.7 KB · Views: 1
Nimekuambia umeshaingia Katika kitanzi Cha Allah na Kila unavyofurukuta ndio kamba inazidi kukaza shingoni mwako
kitanzi cha Allah kaingi mwenyewe,mimi sikumfundisha aseme huu utumbo unaohangaika kuusafisha hapa.
Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.
uongo kabisa huu,hapa Allah alikuwa anajaribu bahati yake akaangukia pua.
Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?
kuchora mstari huu ni ubunifu wako wewe,leta aya Allah akisema inabidi uchore mstari kuelewa alichosema.

leta hata tafsiri au hadithi kutoka kwa wasomi wa kiislam.

2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?
nini haiwezi kutoa ushahidi??
3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na
kwa sababu Quran imesema shahawa zinatoka baina ya mfupa wa mbavu na uti wa mgongo.

wiki nzima leo nakwambia nionyeshe mbavu zinapatikana wapi eneo ilipo seminal vesicle unanambia nichore mstari😂😂

chora wewe huo mstari uwe mbavu.
 
kitanzi cha Allah kaingi mwenyewe,mimi sikumfundisha aseme huu utumbo unaohangaika kuusafisha hapa.

uongo kabisa huu,hapa Allah alikuwa anajaribu bahati yake akaangukia pua.

kuchora mstari huu ni ubunifu wako wewe,leta aya Allah akisema inabidi uchore mstari kuelewa alichosema.

leta hata tafsiri au hadithi kutoka kwa wasomi wa kiislam.

nini haiwezi kutoa ushahidi??


kwa sababu Quran imesema shahawa zinatoka baina ya mfupa wa mbavu na uti wa mgongo.

wiki nzima leo nakwambia nionyeshe mbavu zinapatikana wapi eneo ilipo seminal vesicle unanambia nichore mstari[emoji23][emoji23]

chora wewe huo mstari uwe mbavu.
Hapa hauchomoki bro vipi hautaki kuchora mstali katika skeleton
Skeleton ni physical structure na ndio maana watu wa biology Wana vipimo vya mifupa yote

Qurani haijasema serminal vesicles ipo katika mbavu Wala uti wa mgongo imesema ipo in BETWEEN ya uti wa mgongo na mbavu

Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?

2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?

3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu?
Screenshot_20230804-104042.jpg
 
Hapa hauchomoki bro vipi hautaki kuchora mstali katika skeleton
Skeleton ni physical structure na ndio maana watu wa biology Wana vipimo vya mifupa yote
kabisa,ndio maana nikakwambia mbavu hazihusiki kabisa na eneo ilipo seminal vesicle,sio swala la mahaba wala kumpeti peti Allah ni swala la kitaalam hili😅😅.
upo kijana!!
Qurani haijasema serminal vesicles ipo katika mbavu Wala uti wa mgongo imesema ipo in BETWEEN ya uti wa mgongo na mbavu
neno “BETWEEN” ndio limezua mjadala huu,yet ulivyo kiazi bado unalisisitiza😂😂😂,unajua ni kwanini???sababu hutumii akili.

nakuuliza tena wewe binafsi,ili neno BETWEEN litumike,unachokitaja unataka kuelezea kipo kati ya vitu A,B.
haya kwa kutumia akili zako hizi hizi za darasa la 3b tezi hii iko BETWEEN ya sacrum(uti wa mgongo)na mbavu ipi??itaje jina.
Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?
mstari wa nini??unachora mstari ili kutafuta nini??yes unaweza kuongeza mstari popote,hata kutoka kichwani kwako mpaka kwenye kisigino chako,lakini huo ni mtari ulioamua kuuchora wewe,hauko kimaumbile wala kitaalam.
2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?
unaweza kuuchora lakini shart uupe jina lako jipya mstari huo,maana utakuwa umebebeba utafiti wako mpya,na sharti lazima uwe unakubalika kisayansi.
3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na
kwa sababu sio kweli kwamba seminal vesicles zinapatikana kati ya mbavu na uti wa mgongo.
haya ni madai ya Allah mwongo na mfuasi wake mpiga mistari wewe.
 
kabisa,ndio maana nikakwambia mbavu hazihusiki kabisa na eneo ilipo seminal vesicle,sio swala la mahaba wala kumpeti peti Allah ni swala la kitaalam hili[emoji28][emoji28].
upo kijana!!

neno “BETWEEN” ndio limezua mjadala huu,yet ulivyo kiazi bado unalisisitiza[emoji23][emoji23][emoji23],unajua ni kwanini???sababu hutumii akili.

nakuuliza tena wewe binafsi,ili neno BETWEEN litumike,unachokitaja unataka kuelezea kipo kati ya vitu A,B.
haya kwa kutumia akili zako hizi hizi za darasa la 3b tezi hii iko BETWEEN ya sacrum(uti wa mgongo)na mbavu ipi??itaje jina.

mstari wa nini??unachora mstari ili kutafuta nini??yes unaweza kuongeza mstari popote,hata kutoka kichwani kwako mpaka kwenye kisigino chako,lakini huo ni mtari ulioamua kuuchora wewe,hauko kimaumbile wala kitaalam.

unaweza kuuchora lakini shart uupe jina lako jipya mstari huo,maana utakuwa umebebeba utafiti wako mpya,na sharti lazima uwe unakubalika kisayansi.


kwa sababu sio kweli kwamba seminal vesicles zinapatikana kati ya mbavu na uti wa mgongo.
haya ni madai ya Allah mwongo na mfuasi wake mpiga mistari wewe.
Unajua haya maswali ni marahisi sana Wala hayaitaji degree sijui Kwa nini unaruka ruka kama kitenesi

Mimi sijakuambia uchore msitali ila nimekuliza inawezekana kuchora mstali kutoka katika mbavu na kugota katika uti wa mgongo?


Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?

2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?

3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu?
Screenshot_20230804-104042.jpg
 
Unajua haya maswali ni marahisi sana Wala hayaitaji degree sijui Kwa nini unaruka ruka kama kitenesi
nani anaruka wewe mbona unajibiwa ila unajifanya mwehu huoni😅😅.
Mimi sijakuambia uchore msitali ila nimekuliza inawezekana kuchora mstali kutoka katika mbavu na kugota katika uti wa mgongo?
nimeuliza vyema mstari huo utakuwa wa kazi gani??kwa lengo gani??ni ugunduzi mpya kwenye mwili wa binaadam??kama ni hivyo hamna tatizo,ila kama ni kuuchora tu kama kuchora unaweza kuchora popote unapitaka.
Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?
mstari wa kazi ipi??una lengo gani??
mstari huo unauchora kama ugunduzi wako mpya au ni mstari upo siku zote??
2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?
rejea maelezo hapo
3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na
kwa sababu ni Uongo wa wazi kutoka kwa Allah kipenzi chako,na unachojaribu hapa ni kumpeti peti tu baada ya kugundua kwamba mnyaazi kaangukia kalio😂😂
 
nani anaruka wewe mbona unajibiwa ila unajifanya mwehu huoni[emoji28][emoji28].

nimeuliza vyema mstari huo utakuwa wa kazi gani??kwa lengo gani??ni ugunduzi mpya kwenye mwili wa binaadam??kama ni hivyo hamna tatizo,ila kama ni kuuchora tu kama kuchora unaweza kuchora popote unapitaka.

mstari wa kazi ipi??una lengo gani??
mstari huo unauchora kama ugunduzi wako mpya au ni mstari upo siku zote??

rejea maelezo hapo

kwa sababu ni Uongo wa wazi kutoka kwa Allah kipenzi chako,na unachojaribu hapa ni kumpeti peti tu baada ya kugundua kwamba mnyaazi kaangukia kalio[emoji23][emoji23]
Kama haiwezekani kuchora mstali kutoka katika mbavu kwenda kugota katika uti wa mgongo

Hilo ndio litathibisha kuwa haiwezekani serminal vesicles kuwa in BETWEEN ya mifupa ya mgongo na mbavu

Hilo ndilo ninalotaka wewe uthibishe

Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?

2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?

3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu?
Screenshot_20230804-104042.jpg
 
Kama haiwezekani kuchora mstali kutoka katika mbavu kwenda kugota katika uti wa mgongo

Hilo ndio litathibisha kuwa haiwezekani serminal vesicles kuwa in BETWEEN ya mifupa ya mgongo na mbavu
hapa unataka kuhalalisha jambo gani???
kwa logic hii basi hata ubongo uko kati fuvu na mfupa wa kifua unakubali hili???
Hilo ndilo ninalotaka wewe uthibishe
nithibitishe kwamba tukichora mtari kutoka posta mpaka mbezi ya kimara basi ikulu magogoni inakuwa baina ya posta na kimara😂😂😂😂,ila akili za waislam jaman😜😜😜.
Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?
mstari unauchora wapi sasa!!!ndani ya mwili au juu ya picha iliyokwisha chorwa???Allah anasema uchorwe kuanzia wapi mpaka wapi ili seminal vesicle ziwe kati ya mbavu na uti wamgongo😂😂😂
2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?
nitoe ushahidi kwa madai uliyoyatoa wewe kwa malengo yako juu ya jambo ambalo hujaligundua wewe😅😅akili gani hizi abdul??
yaani nije nikwambie una miguu mitatu kama huna toa ushahidi😅😅

3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu?
 
Sayansi ni somo kuhusu ulimwengu ulivyo na unavyofanya kazi, kwahyo ningetarajia mungu aliyeuumba ulimwengu ndio awe baba wa sayansi.
Na kitabu chake kiwe kimejaa sayansi za kutosha.
Mimi kama mfuasi wa sayansi nikaanza kufuatilia sayansi kwenye vitabu vya dini. nilipoanza kufuatilia s Quran na Biblia., nikagundua Quran ndio imeonesha upeo mkubwa zaidi wa sayansi.

Quran inajulikana kuwa na maelezo ambayo yanalingana na masomo ya kisayansi katika maeneo mengi, hizi ni chache:

1. Uumbaji wa ulimwengu: Quran inazungumzia kuhusu uumbaji wa ulimwengu na asili yake. Aya kadhaa zinataja kuwa ulimwengu ulianza kwa mlipuko mkubwa (Big Bang) na inaelezea kuenea kwake na kuunda vitu vyote.

2. Uumbaji wa binadamu: Quran inatoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya mwanadamu katika tumbo la uzazi. Inaelezea hatua za uumbaji wa kijusi na maendeleo yake kutoka damu iliyoganda hadi mtoto aliyeumbika kabisa.

3. Maji kama chanzo cha uhai: Quran inasisitiza umuhimu wa maji kwa uhai. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ndiye aliyeviumba visima vya maji na inatoa maelezo juu ya mzunguko wa maji duniani.

4. Sayansi ya astronomia: Quran inazungumzia mada za anga na nyota. Inaeleza kuwa nyota zina jukumu la kuongoza na kuelekeza katika njia, na inataja pia kuwepo kwa sayari na mzunguko wao.

5. Sayansi ya jiografia: Quran inazungumzia ardhi na milima. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ameifanya ardhi kuwa imara ili watu waweze kuishi juu yake, na inataja pia kuwepo kwa milima kama alama za ardhi.

Hizo ni baadhi tu ila zipo nyingi mno...hizi ndiyo zilinofanya niamini kweli Allah ndiye Mung aliyeumba ulimwengu na Muhamad ndiye mtume wake.

Nadiriki kusema La illah ila Allah Muhammad rasul Allah
Takbir.
Huu ndio ukweli.Na yapo mengi kwa mfano Ozone ,inayozuia mianga ya juu isilete madhara
Al-Kahaf 18:90
"HATA ALIPOFIKA MATOKEO YA JUA, ALILIONA LINAWATOKEA WATU TUSIOWAWEKEA PAZIA (OZONE LAYER) YA KUWAKINGA NALO.
View attachment 2709867
View attachment 2709868
View attachment 2709880
View attachment 2709881
 
hapa unataka kuhalalisha jambo gani???
kwa logic hii basi hata ubongo uko kati fuvu na mfupa wa kifua unakubali hili???

nithibitishe kwamba tukichora mtari kutoka posta mpaka mbezi ya kimara basi ikulu magogoni inakuwa baina ya posta na kimara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],ila akili za waislam jaman[emoji12][emoji12][emoji12].

mstari unauchora wapi sasa!!!ndani ya mwili au juu ya picha iliyokwisha chorwa???Allah anasema uchorwe kuanzia wapi mpaka wapi ili seminal vesicle ziwe kati ya mbavu na uti wamgongo[emoji23][emoji23][emoji23]

nitoe ushahidi kwa madai uliyoyatoa wewe kwa malengo yako juu ya jambo ambalo hujaligundua wewe[emoji28][emoji28]akili gani hizi abdul??
yaani nije nikwambie una miguu mitatu kama huna toa ushahidi[emoji28][emoji28]

3) kama inawezekana Kwa Nini wewe unapinga Quran inavyosema Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu?
Umeshapagawa na kuanza kuongea habari za poata na kimara

Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Sasa nenda ukawambie wagalatia wenzako kuwa ni kweli Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu Kwa sababu

Unaweza kuchora mstali kutoka katika mbavu za kifua ukapita katika seminal vesicles na kuenda kugota katika uti wa mgongo

Hili sio Kwa matakwa ya wagalatia ila ndivyo Allah alivyomuumba binadamu

Na kama Kuna mgalatia yoyote anabisha ajibu haya maswali


Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?

2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?
Screenshot_20230806-104418.jpg
Screenshot_20230804-104042.jpg
 
Umeshapagawa na kuanza kuongea habari za poata na kimara
huo ulikuwa mfano ili uelewe namna unavyofikiri kijinga.
Qurani 86:7
That is issued from between the backs and the ribs.

Sasa nenda ukawambie wagalatia wenzako kuwa ni kweli Seminal vesicles ipo in BETWEEN ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu Kwa sababu
Ili waniite namimi mbumbumbu,hapana hii sifa wacha ibaki kwa Allah peke yake.
Unaweza kuchora mstali kutoka katika mbavu za kifua ukapita katika seminal vesicles na kuenda kugota katika uti wa mgongo
Allah amesema haya katika Aya gani au tafsiri ipi??au ni maelezo yako binafsi kwamba tunatakiwa kuchora mstari wa kugotea uti wa mgongo???
Hili sio Kwa matakwa ya wagalatia ila ndivyo Allah alivyomuumba binadamu
Allah kaumba binaadam lakini hajui binaadam anazaliwa na mbegu zinatotoka sehem ipi ya mwili wa binaadam,kwanza anaita maji,kwa akili zake anadani semen ndio hujaza mimba😂😂😂mazafaka.

ni wagalatia hawa hawa ndio wamemfanya Allah aonekane ana akili kama za Abdul tu.

Na kama Kuna mgalatia yoyote anabisha ajibu haya maswali
hakuna mgalatia anabishana,wewe ndio unabishana wagalatia tunakufunza na Allah wako.
Jibu maswali yafuatayo

1) Kwa jinsi binadamu alivyoumbwa

Je! Upo uwezokano wa kuchora mstali kutoka katika mbavu na kuenda kugota katika uti wa mgongo?
huu mstari wewe uchore tu ila hautaihamisha seminal vesicle kuwa katikati ya uti wa mgongo na mbavu,mstari wako ni imaginary,mbaya zaidi si applicable.
2) Kama haiwezekani toa ushahidi Kwa Nini haiwezekani?
View attachment 2709891View attachment 2709892
 
Hivi lile jini linalotia watu madole wakiwa wamebong'oa bado lipo ktk kuran
 
Mi nimechoka kujaribu kupost video ya kuaibisha waislamu na Quran Yao ya uwongo. Nikipost naona jamii forums wanaitoa..kwa Nini..mbona kama inaprotect Muslims tu. Kama Quran ni ya ukweli Mbona mods wanaogopa....Quran Ina scientific errors kibao...na napost video humu ila Cha kushangaza itafutwa...😂yaani hii dini hii...
 

Attachments

  • 43 Scientific Mistakes in the Quran.mp4
    48.3 MB
Dunia na ulimwengu inaendeshwa na elimu tatu nazo ni philosophy,psychology na theology.

Muumba wetu ufahamu wake ni zaidi ya izo elimu tatu za dunia hivyo ndo maana akasema katika

Warumi 1:28 “Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.”

Wengi wakamuacha Muumba na kufata sayansi na asili na mambo mbalimbali.
 
Dini ya uislamu imeanzishwa kwa propaganda sana yaan hakuna mtu ambaye ni master of propaganda kama muhammmad nahisi tokea dunia ianzishwe hakuna anayemfikia na alikua kilaza yaan mpaka leo uongo wake unadumu ndo maajabu ya muhammad

Yaan mtu anasema ameshishiwa kitabu alafu mda huo huo kuna kitu mfano wa hicho kikubwa tu kipo zaid ya miaka 2000 kabla ya yeye kuzaliwa
Kwa kupgopa kuicopy biblia yote akaamua kutengeneza hadithi za kusuppport uongo wake jamaa ni wa special
Ficha ujinga wako
 
Cha ajabu wanaomiliki kitabu Cha sayansi hawaja gundua hata bomu la mafuta ya taa wanachojua wao ni kutafuna bikra 72 huko peponi
 
Cha ajabu wanaomiliki kitabu Cha sayansi hawaja gundua hata bomu la mafuta ya taa wanachojua wao ni kutafuna bikra 72 huko peponi
Aliyekuambia Qurani ni kitabu Cha Sayansi nani?

Qurani ni kitabu Cha kiimani Kwa waislam ndani Kuna SHERIA, MAWAIDHA na HADITHI ZA MANABII WALITANGULIA
 
Dini ya uislamu imeanzishwa kwa propaganda sana yaan hakuna mtu ambaye ni master of propaganda kama muhammmad nahisi tokea dunia ianzishwe hakuna anayemfikia na alikua kilaza yaan mpaka leo uongo wake unadumu ndo maajabu ya muhammad

Yaan mtu anasema ameshishiwa kitabu alafu mda huo huo kuna kitu mfano wa hicho kikubwa tu kipo zaid ya miaka 2000 kabla ya yeye kuzaliwa
Kwa kupgopa kuicopy biblia yote akaamua kutengeneza hadithi za kusuppport uongo wake jamaa ni wa special
Wewe ni MPUMBAVU
 
Cha ajabu wanaomiliki kitabu Cha sayansi hawaja gundua hata bomu la mafuta ya taa wanachojua wao ni kutafuna bikra 72 huko peponi
Ungejua sayansi zote na mahesabu vimeanzishwa na waislam usingesema Hivyo.

Baba wa Sayansi(scientific method) ni muislam anaitwa Ibn al haytham ambaye kina Galileo na Newton ndo Walikuja kutembelea njia zake
 
Back
Top Bottom