Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Ungejua sayansi zote na mahesabu vimeanzishwa na waislam usingesema Hivyo.

Baba wa Sayansi(scientific method) ni muislam anaitwa Ibn al haytham ambaye kina Galileo na Newton ndo Walikuja kutembelea njia zake
Waislamu anzisheni basi hata forum yenu sababu hii aliyeanzisha ni mkristo
 
Wewe ni MPUMBAVU
Ungejua sayansi zote na mahesabu vimeanzishwa na waislam usingesema Hivyo.

Baba wa Sayansi(scientific method) ni muislam anaitwa Ibn al haytham ambaye kina Galileo na Newton ndo Walikuja kutembelea njia zake
Kampuni yote ya technologia kuanzia magari, software hayamilikiwi na waislamu
Kama waislamu wanaakili kwa nini kwenye technologia makampuni makubwa hayapo uarabuni
 
Back
Top Bottom