Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
We si umesema serminal vesicles ipo jirani na mfupa wa Sacrum?hakikisha kila unaponinukuu unayaweka ili watu waone namna unavyojaribu kufunika mavi kwa kitambaa cha jasho yasinuke.
wakati mwingine tena unajaribu kumwongezea Allah maneno,Allah kamwambia Muhammad kwamba Shahawa zinatoka baina ya mfupa wa mbavu na mgongo.
kwahiyo tunakubaliana kwamba Allah alisahau ama hakujua kama zinatoka hapo chini ya sacrum!!!
nikuulize wewe,nikikwambia wewe msamvu inapatikana baina ya morogoro na dodoma wakati kimsingi msamvu iko morogoro utanielewa kweli!!!!
kwa maelezo hayo huwezi kugusa mbavu pia maana usichokijua hata mbavu zina uwazi mkubwa kati kati sehemu ya kukaa organ zingine mapafu,moyo,ini nk.
bado mbavu haikutakiwa kuhusishwa kabisa kwenye maelezo haya ya wapi zinapotokea mbegu za kiume.
kama ndio hii inasema shahawa zinatoka kifuani[emoji16][emoji16][emoji16],hakuna kafiri atauzingatia huu utumbo uliojaa humo.
picha hizo muonyeshe Allah yeye ndiye anatakiwa kujifunza,mimi nimepitia darasa la sita na form three.hakuna kipya nisichokijua.
Sasa ona Biology inasema Sacrum ni Nini
The spine is composed of 33 bones, called vertebrae, divided into five sections: the cervical, thoracic, and lumbar spine sections, and the sacrum and coccyx
Biology inasema katika mifupa 33 inayotengeneza uti wa mgongo na Sacrum ipo
Kwahiyo Sacrum ni uti wa mgongo
Nilikuambia wewe ni kafiri na kazi ya kafiri ni kupinga ukweli wa Mungu ulianza kuipinga Qurani na Sasa unapingana na Biology
Biology inasema Sacrum ni uti wa mgongo wewe unasemaje?