Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

kama haya nikweli naanaweza nikwanini ala anaua watu kila siku ila anashindwa kuwahudia chakula?
 
sitaki kukuchoresha wala kukufanya uonekane msukule,lakini nataka unihakikieshie kwamba wataalam wa uzazi na maumbile wamepatikana karne ya 16,17,18
usichojua wewe mzee wa maulid ni kwamba science na utaalam wa uzazi umekuwepo kabla hata Yesu hajaja duniani.
kapekue vyema historia.

Alichofanya Allah hapa ni kuja kumwambia muhammad kitu ambacho watu wamezoea kukiona,hakuna jambo la kitaalam aliliongea Allah.

kwahiyo Zygoy ya kwanza imegundulika karne ya 19 huko nyuma Allah na watu wake waliiona ni kama pande la damu[emoji23][emoji23][emoji23],umenielewa sasa si ndio??
wewe unaamini hilo ni pande la damu iliyoganda???

whatever,hakuna kati yao anayesema haya yalikuwa mapande ya damu ama mapande ya nyama.
ni ujinga wa Allah aliyeamua kumfunulia Muhammad kitu cha hivyo.

sasa yupi kati ya oscar na malphigi amethibitisha madai ya Allah kwamba binaadam huzaliwa kwa pande la damu iliyoganda na kisha kuwa pande la nyama!!!!

Onyesha sehemu Quran imetaja zygote.

Quran imetaja pande la damu na pande la nyama,zygote sio pande la nyama muhamadan.

hakukuwa na zygote 500AD,hata Allah alikuwa hajui zygote ni nini alikuwa anaita ni pande la damu ambalo linabadilika na kuwa pande la nyama.
Haujajibu swali imeandika utumbo kibao

Process za fertilization zipo enzi na enzi tokea Dunia imeumbwa

Miaka ya 600 AD Quran ikasema mbegu ya mwanamume ikikutana na yai la mwanamke inatengeneza pande la damu baadae hilo pande la damu linabadirika kuwa pande la nyama

Waislam hatuna shida na hilo maana tumeliona hilo pande ni kweli Lina rangi ya damu na limeganda ndio maana Lina shape ya duara maana kimiminika Ili kutengeneza shape lazima ukigandishe

Pia tumeliona hilo pande la nyama ni kweli pande la nyama maana halina mfupa na Lina rangi ya nyama

Miaka ya 1600 AD na 1900 AD Oscar na mwenzake wakasema hilo pande la langi ya damu ni Zygote na hilo pande la rangi ya nyama ni Embryo

Jibu swali wagalatia wenzako wa miaka ya 500 AD , 700 AD na 1200 AD hivyo vitu walikuwa wanaviitaje?
Screenshot_20230730-150026.jpg
Screenshot_20230730-145757.jpg
 
kuran inawataka watu wapumuliane visogo... Ulawiti ruksa
 

Attachments

  • Screenshot_20230728-013154.png
    Screenshot_20230728-013154.png
    16.7 KB · Views: 3
Haujajibu swali imeandika utumbo kibao
hakuna swali ulilouliza wala mleta mada hajauliza swali,hapa swala ni kmpiga spanner Allah.
Process za fertilization zipo enzi na enzi tokea Dunia imeumbwa
swali sasa hapa.
kama Allah ndiye muumbaji wa hiyo fertilization kwanini aitolee maelezo kama layman???tunakuja kuelewa ni kitu gani carne 12 baadae!!!!
wewe unakubaliana naye kwamba embryo ni pande la damu iliyoganda????
Miaka ya 600 AD Quran ikasema mbegu ya mwanamume ikikutana na yai la mwanamke inatengeneza pande la damu baadae hilo pande la damu linabadirika kuwa pande la nyama
Quran hii hii inasema pande hilo la nyama linageuka mfupa,lakini wewe mtetezi wa Quran hujatueleza ni hatua ipi katka biology ambayo hili pande la nyama linakuwa mfupa.
Waislam hatuna shida na hilo maana tumeliona hilo pande ni kweli Lina rangi ya damu na limeganda ndio maana Lina shape ya duara maana kimiminika Ili kutengeneza shape lazima ukigandishe
na ili pande la nyama ligeuke kuwa fupa linatakiwa lipitie hatua ipi,ukizingatia hiyo ya damu kuganda kabla ya kuwa pande la nyama!!!!
Pia tumeliona hilo pande la nyama ni kweli pande la nyama maana halina mfupa na Lina rangi ya nyama
kwahiyo Allah aliona pande la nyama au rangi ya nyama??tuwekane sawa hapa kwanza.
Miaka ya 1600 AD na 1900 AD Oscar na mwenzake wakasema hilo pande la langi ya damu ni Zygote na hilo pande la rangi ya nyama ni Embryo
kwa kielelezo hiki tunaona kabisa Oscar na wenzake walikuwa wakijua vyema kinachofanyika kuliko hao wanaomtukuza Allah mbele ya muhamad,nakujiita sisi.
Jibu swali wagalatia wenzako wa miaka ya 500 AD , 700 AD na 1200 AD hivyo vitu walikuwa wanaviitaje?
sifahamu walikuwa wanaitaje,labda umuulize Allah neno pande la Damu alilitoa wapi???
 
hakuna swali ulilouliza wala mleta mada hajauliza swali,hapa swala ni kmpiga spanner Allah.

swali sasa hapa.
kama Allah ndiye muumbaji wa hiyo fertilization kwanini aitolee maelezo kama layman???tunakuja kuelewa ni kitu gani carne 12 baadae!!!!
wewe unakubaliana naye kwamba embryo ni pande la damu iliyoganda????

Quran hii hii inasema pande hilo la nyama linageuka mfupa,lakini wewe mtetezi wa Quran hujatueleza ni hatua ipi katka biology ambayo hili pande la nyama linakuwa mfupa.

na ili pande la nyama ligeuke kuwa fupa linatakiwa lipitie hatua ipi,ukizingatia hiyo ya damu kuganda kabla ya kuwa pande la nyama!!!!

kwahiyo Allah aliona pande la nyama au rangi ya nyama??tuwekane sawa hapa kwanza.

kwa kielelezo hiki tunaona kabisa Oscar na wenzake walikuwa wakijua vyema kinachofanyika kuliko hao wanaomtukuza Allah mbele ya muhamad,nakujiita sisi.

sifahamu walikuwa wanaitaje,labda umuulize Allah neno pande la Damu alilitoa wapi???
Umesema kweli wagalatia wenzako wa miaka ya 500 AD kabla ya Qurani na wa miaka 700 AD Baada ya Qurani na wa miaka 1200 AD walikuwa hawajui chochote kuhusu haya mambo

Lakini waislam tokea miaka ya 600 AD wanayajua vizuri haya mambo ni Kwa sababu wamefundishwa na Mungu muumba mbingu na aridhi kupitia Qurani


Qurani 35:11
- Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii.

Qurani 86:7
- Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

Qurani 23:14
- Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.

Qurani 46:15
Na kuchukua mimba kwake hata kumwachisha ziwa ni miezi thalathini.
 
Umesema kweli wagalatia wenzako wa miaka ya 500 AD kabla ya Qurani na wa miaka 700 AD Baada ya Qurani na wa miaka 1200 AD walikuwa hawajui chochote kuhusu haya mambo
sijasema walikuwa hawajui,tafadhali soma taratibu usiwe na pupa kama mtume kaona demu mgeni,nimesema sijui walikuwa wanaitaje Maana swala la lugha ndio siifahamu,lakini hawakuiita Pande la damu iliyoganda kama alivyouita Allah.
Lakini waislam tokea miaka ya 500 AD wanayajua vizuri haya mambo ni Kwa sababu wamefundishwa na Mungu muumba mbingu na aridhi kupitia Qurani
waislam wanajua vizuri halafu,miaka 1200 baadae anakuja mgalatia mwingine na kuwasahihisha waislam pamoja na Allah kwamba NO,this is tissue called zygote😅😅.
Qurani 35:11
- Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii.
unaona sasa hapa Anapuyanga tena,tone la manii ni sawa na mbegu bilioni ngapi??Allah pia hakujua mtu anaundwa kwa mbegu moja tu wala sio tone zima😅😅😅.
Qurani 86:7
- Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
kiwanda cha mbegu za kiume kipo chini ya kibofu,kati ya mbavu na mfupa wa mgongo kuna mapafu,usiendelee kumvua kanzu Allah hajavaa boxer..
Qurani 23:14
- Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.

Qurani 46:15
Na kuchukua mimba kwake hata kumwachisha ziwa ni miezi thalathini.
hapa kwenye miezi 30 Allah alikuwa anawafundisha ama alikuwa anaelezea wanachofanya watu siku zote😄😄
 
leta huo mstari kwenye quran ambao mimi siujui unaosema dunia ni sphere ili nkubali madai yako,
failure to do so.. Utakuwa muongo, na dini yako nitaiconclude kuwa ya uongo.

Hakuna kuhubiri leta quote hapa nicheki
Hawa jamaa zetu wasikupotezee muda, tukishuka hapa na vifungu vya Quran yao wenyewe vinavyoonyesha upuuzi wa hicho kilichoandikwa wanachosema ni science wataanza kulia Lia kwa Modes afute comments kama walivyolia tulipo post Uzi wa MAJINA MATANO YA ALLAH yanayothibitisha Allah ni Shetani mwenyewe.
Uongo kama huu usio na logic ndyo wanayotumia kushikisha watu SHAHADA
 
sijasema walikuwa hawajui,tafadhali soma taratibu usiwe na pupa kama mtume kaona demu mgeni,nimesema sijui walikuwa wanaitaje Maana swala la lugha ndio siifahamu,lakini hawakuiita Pande la damu iliyoganda kama alivyouita Allah.

waislam wanajua vizuri halafu,miaka 1200 baadae anakuja mgalatia mwingine na kuwasahihisha waislam pamoja na Allah kwamba NO,this is tissue called zygote[emoji28][emoji28].

unaona sasa hapa Anapuyanga tena,tone la manii ni sawa na mbegu bilioni ngapi??Allah pia hakujua mtu anaundwa kwa mbegu moja tu wala sio tone zima[emoji28][emoji28][emoji28].

kiwanda cha mbegu za kiume kipo chini ya kibofu,kati ya mbavu na mfupa wa mgongo kuna mapafu,usiendelee kumvua kanzu Allah hajavaa boxer..

hapa kwenye miezi 30 Allah alikuwa anawafundisha ama alikuwa anaelezea wanachofanya watu siku zote[emoji1][emoji1]
Ona sasa umeshakubali ilichosema Quran kuwa Zygote ni pande la damu

Mda wote ulikuwa hautaji Zygote ni Nini nahisi ulikuwa unajua na ndio maana ulikuwa unakwepa ukawa usema Zygote Embryo ukilizwa hiyo Zygote ni Nini na Embryo Nini unakwepa Ilala umesema kuwa Zygote ni TISSUE japo umekosea kido ila sio shida elimu itafika

Sikia wanasayansi wako Sasa wanasemaje

Blood cell development begins as early as the seventh day of embryonic life. [1] Red blood cells are essential in delivering oxygen to tissues and the development of vascular channels during embryogenesis

Wanasema damu inatengenezwa mwanzano mwa Embryonic stage

Ukisema mwanzoni mwa Embryonic stage inamaana unazungumzia Zygote inayo ishia na kubadirika kuwa Embryo Kwa hiyo hapo damu inatengezwa katika Zygote stage

Pia wanasema hiyo damu ni muhimu katika mabadiriko ya Embryo kuendelea na safari yake Kwa sababu kazi ya damu kusambaza oxygen katika tishu zinazotemgezwa katika Embryo

Ndio maana Qurani ilianza kutaja pande la damu Kisha pande la nyama Kwa sababu hilo pande la nyama litahitaji oxygen Kwa hiyo ni lazima damu itengenezwe kwanza

Nafikili wenye akili wameelewa maana wewe ni kama ubao tunaandika Ili wagalatia wenzako wenye akili wasome na waelewe
 
sijasema walikuwa hawajui,tafadhali soma taratibu usiwe na pupa kama mtume kaona demu mgeni,nimesema sijui walikuwa wanaitaje Maana swala la lugha ndio siifahamu,lakini hawakuiita Pande la damu iliyoganda kama alivyouita Allah.

waislam wanajua vizuri halafu,miaka 1200 baadae anakuja mgalatia mwingine na kuwasahihisha waislam pamoja na Allah kwamba NO,this is tissue called zygote[emoji28][emoji28].

unaona sasa hapa Anapuyanga tena,tone la manii ni sawa na mbegu bilioni ngapi??Allah pia hakujua mtu anaundwa kwa mbegu moja tu wala sio tone zima[emoji28][emoji28][emoji28].

kiwanda cha mbegu za kiume kipo chini ya kibofu,kati ya mbavu na mfupa wa mgongo kuna mapafu,usiendelee kumvua kanzu Allah hajavaa boxer..

hapa kwenye miezi 30 Allah alikuwa anawafundisha ama alikuwa anaelezea wanachofanya watu siku zote[emoji1][emoji1]
Qurani 86:6 -
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

Qurani 86:7 -
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

Quran Kila itakachosema lazima kafiri ashangae na kubisha

Sasa wasikilize wanasayansi wako katika

The prostate and seminal vesicles are special glands present in the male reproductive system which produce different secretions. These secretions mix with the sperm and form semen. Semen provides better mobility and nutrition to the sperm, as they have to cover some distance inside the female body for fertilization.

Wanasayansi wako wanakubaliana na Qurani kuwa sperm zinazorushwa kwenda katika Ike zinatokea katika seminal vesicles na sio korodani

Korodani inatengena sperm cell na kupelekwa katika seminal vesicles hapo katika seminal vesicles zinatiwa virutubisho na kuwekwa tayari Kwa ajili ya kurusha kwenda katika uke
Na hile nguvu inayo rusha sperm ni kazi ya misuli ya seminal vesicles

JE serminal vesicles ipo wapi?

Qurani inasema ipo kati ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu

Angalia picha Kisha jibu swali

Ukitoka hapo katika serminal vesicles ukielekea ju utakutana na mfupa gani?

Na ukitoka hapo katika serminal vesicles ukielekea kulia au kushoto utakutana na mfupa gani?
Screenshot_20230801-113825.jpg
 
Ona sasa umeshakubali ilichosema Quran kuwa Zygote ni pande la damu
wapi nimekubali unanilisha maneno sasa😁😁.
Mda wote ulikuwa hautaji Zygote ni Nini nahisi ulikuwa unajua na ndio maana ulikuwa unakwepa ukawa usema Zygote Embryo ukilizwa hiyo Zygote ni Nini na Embryo Nini unakwepa Ilala umesema kuwa Zygote ni TISSUE japo umekosea kido ila sio shida elimu itafika
kwahiyo Allah anajua mpaka leo Zygote ni pande la damu??au nayeye amebadili msimamo ameelimika kwamba si pande jekundu linaloonekana kama damu iliyoganda ila ni zygote???
Sikia wanasayansi wako Sasa wanasemaje

Blood cell development begins as early as the seventh day of embryonic life. [1] Red blood cells are essential in delivering oxygen to tissues and the development of vascular channels during embryogenesis
Yess wanasayansi wameeleza vyema sana,kwamba hii ni hatua ya awali ya ukuaji ambapo cell nyekundu za damu husambaza hewa katika tissu ambazo tayari zina mfumo wa mishipa ya damu.
hakuna pande la damu hapa maalim abdool.
Wanasema damu inatengenezwa mwanzano mwa Embryonic stage
unapishana na mwenzako na kauli zako za mwanzo kwamba damu huganda kutengeneza pande la nyama.
Ukisema mwanzoni mwa Embryonic stage inamaana unazungumzia Zygote inayo ishia na kubadirika kuwa Embryo Kwa hiyo hapo damu inatengezwa katika Zygote stage
kwahiyo kuna damu na mishipa ya damu ama pande la damu iliyoganda???kuwa makini katika majibu yako.
Pia wanasema hiyo damu ni muhimu katika mabadiriko ya Embryo kuendelea na safari yake Kwa sababu kazi ya damu kusambaza oxygen katika tishu zinazotemgezwa katika Embryo
haya ni maelezo ya wataalam wagalatia.
Allah anasema pande la damu,tunaligeuza kuwa pande la nyama,halafu kuwa mfupa.

wewe unakwenda na Allah ama wanasayansi wagalati??

Ndio maana Qurani ilianza kutaja pande la damu Kisha pande la nyama Kwa sababu hilo pande la nyama litahitaji oxygen Kwa hiyo ni lazima damu itengenezwe kwanza
toa maelezo kutoka katika Quran yanayosema pande la damu lina oxygen ambayo ni muhimu kulifanya kuwa pande la nyama.
Nafikili wenye akili wameelewa maana wewe ni kama ubao tunaandika Ili wagalatia wenzako wenye akili wasome na waelewe
mgalatia hajifunzi kwa Allah asiye na akili wala mfuasi wake ambaye hana uwezo wa kuelewa.
 
Qurani 86:6 -
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
maji ya kuchupa ikimaanisha maji ya shahawa si ndio😂😂😂
Qurani 86:7 -
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
kasome biology tafuta baina ya mifupa ya mgongo na mbavu kuna organ gani inayohusika na sperm production.
ukiipata leta na picha kabisa.
Quran Kila itakachosema lazima kafiri ashangae na kubisha
kabisa,kama inasema jua huzama kwenye matope,nyota ni mapambo ya anga😅😅😅.
kwanini tusishangae!!!
Sasa wasikilize wanasayansi wako katika

The prostate and seminal vesicles are special glands present in the male reproductive system which produce different secretions. These secretions mix with the sperm and form semen. Semen provides better mobility and nutrition to the sperm, as they have to cover some distance inside the female body for fertilization.

Wanasayansi wako wanakubaliana na Qurani kuwa sperm zinazorushwa kwenda katika Ike zinatokea katika seminal vesicles na sio korodani
seminal vesicle unajua zinapatikana wapi???au unaandika tu??mkiambiaa nendeni shule mnakomaa na madrasa ona sasa😂😂😂.
Korodani inatengena sperm cell na kupelekwa katika seminal vesicles hapo katika seminal vesicles zinatiwa virutubisho na kuwekwa tayari Kwa ajili ya kurusha kwenda katika uke
Na hile nguvu inayo rusha sperm ni kazi ya misuli ya seminal vesicles
misuli ya seminal vesicle inapatikana kati ya mfupa wa mbavu na mgongo😂😂😂.
nikuletee mchoro ili uelewe vyema???

JE serminal vesicles ipo wapi?

Qurani inasema ipo kati ya mifupa ya uti wa mgongo na mbavu
😂😂😂😂😂.
Angalia picha Kisha jibu swali

Ukitoka hapo katika serminal vesicles ukielekea ju utakutana na mfupa gani?
nadhani kiswahili unaelewa vyema,au tafsiri ya Quran imekosewa!!!
imesema kati ya mfupa wa mbavu na mgongo,wewe unasema nipandishe juu,unaongeza maeelzo kutoka katika mfuko wako ambayo hayapo kwenye Quran.

ukielekea kulia au kushito ni mifupa ya nyonga,usiparamie fani za watu watakushangaa.

hapo Allah anaposema kati kati ya mbavu na mfupa wa mgongo hata hakuna ukaribu huo na zilipo tezi hizi za uzazi.
Na ukitoka hapo katika serminal vesicles ukieleke. kulia au kushoto utakutana na mfupa gani?




View attachment 2704777
 
Sayansi ni somo kuhusu ulimwengu ulivyo na unavyofanya kazi, kwahyo ningetarajia mungu aliyeuumba ulimwengu ndio awe baba wa sayansi.
Na kitabu chake kiwe kimejaa sayansi za kutosha.
Mimi kama mfuasi wa sayansi nikaanza kufuatilia sayansi kwenye vitabu vya dini. nilipoanza kufuatilia s Quran na Biblia., nikagundua Quran ndio imeonesha upeo mkubwa zaidi wa sayansi.

Quran inajulikana kuwa na maelezo ambayo yanalingana na masomo ya kisayansi katika maeneo mengi, hizi ni chache:

1. Uumbaji wa ulimwengu: Quran inazungumzia kuhusu uumbaji wa ulimwengu na asili yake. Aya kadhaa zinataja kuwa ulimwengu ulianza kwa mlipuko mkubwa (Big Bang) na inaelezea kuenea kwake na kuunda vitu vyote.

2. Uumbaji wa binadamu: Quran inatoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya mwanadamu katika tumbo la uzazi. Inaelezea hatua za uumbaji wa kijusi na maendeleo yake kutoka damu iliyoganda hadi mtoto aliyeumbika kabisa.

3. Maji kama chanzo cha uhai: Quran inasisitiza umuhimu wa maji kwa uhai. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ndiye aliyeviumba visima vya maji na inatoa maelezo juu ya mzunguko wa maji duniani.

4. Sayansi ya astronomia: Quran inazungumzia mada za anga na nyota. Inaeleza kuwa nyota zina jukumu la kuongoza na kuelekeza katika njia, na inataja pia kuwepo kwa sayari na mzunguko wao.

5. Sayansi ya jiografia: Quran inazungumzia ardhi na milima. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ameifanya ardhi kuwa imara ili watu waweze kuishi juu yake, na inataja pia kuwepo kwa milima kama alama za ardhi.

Hizo ni baadhi tu ila zipo nyingi mno...hizi ndiyo zilinofanya niamini kweli Allah ndiye Mung aliyeumba ulimwengu na Muhamad ndiye mtume wake.

Nadiriki kusema La illah ila Allah Muhammad rasul Allah
Takbir.
Sasa mbona wengi hampendi shule?
 
maji ya kuchupa ikimaanisha maji ya shahawa si ndio[emoji23][emoji23][emoji23]

kasome biology tafuta baina ya mifupa ya mgongo na mbavu kuna organ gani inayohusika na sperm production.
ukiipata leta na picha kabisa.

kabisa,kama inasema jua huzama kwenye matope,nyota ni mapambo ya anga[emoji28][emoji28][emoji28].
kwanini tusishangae!!!

seminal vesicle unajua zinapatikana wapi???au unaandika tu??mkiambiaa nendeni shule mnakomaa na madrasa ona sasa[emoji23][emoji23][emoji23].

misuli ya seminal vesicle inapatikana kati ya mfupa wa mbavu na mgongo[emoji23][emoji23][emoji23].
nikuletee mchoro ili uelewe vyema???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].


nadhani kiswahili unaelewa vyema,au tafsiri ya Quran imekosewa!!!
imesema kati ya mfupa wa mbavu na mgongo,wewe unasema nipandishe juu,unaongeza maeelzo kutoka katika mfuko wako ambayo hayapo kwenye Quran.

ukielekea kulia au kushito ni mifupa ya nyonga,usiparamie fani za watu watakushangaa.

hapo Allah anaposema kati kati ya mbavu na mfupa wa mgongo hata hakuna ukaribu huo na zilipo tezi hizi za uzazi.
Na ukitoka hapo katika serminal vesicles ukieleke. kulia au kushoto utakutana na mfupa gani?




View attachment 2704777
Umeanza kupingana na Qurani na Sasa unapingana na wanasayansi wako

Wanasayansi wako wanasema sperm zinazorushwa kwenda katika uke Kwa ajili ya fertilization zinatoka katika seminal vesicles

Na Qurani inasema hilo eneo lipo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu

Sasa kama wewe unapinga

jibu swali ni mifupa ipi utakayokutana nayo kwanza ukitokea hapo katika serminal vesicles
Screenshot_20230801-113825.jpg
 
Umeanza kupingana na Qurani na Sasa unapingana na wanasayansi wako
😄😄unajitekenya na kucheka mwenyewe,wapi ninepingana na wanasayansi!!!
Wanasayansi wako wanasema sperm zinazorushwa kwenda katika uke Kwa ajili ya fertilization zinatoka katika seminal vesicles
seminal vesicle zinapatikana kati ya mfupa wa mgongo na mbavu ipi??leta picha ya sayansi inayokubaliana na maelezo haya ya Quran yako.
Na Qurani inasema hilo eneo lipo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu
baina ya mfupa wa mgongo na mbavu ni katik mfupa wa nyonga kwa mujibu wa science ya msikitini si ndio!!!!
Sasa kama wewe unapinga

jibu swali ni mifupa ipi utakayokutana nayo kwanza ukitokea hapo katika serminal vesicles View attachment 2704951
wewe hujui kama hizo glands zote ziko kwenye mfupa wa nyonga,ambao ni mfupa wa kiunoni,uliza tu utaelekezwa na watoto wa standard 6 sio mwalimu wako wa madrasa.
 
Sayansi ni somo kuhusu ulimwengu ulivyo na unavyofanya kazi, kwahyo ningetarajia mungu aliyeuumba ulimwengu ndio awe baba wa sayansi.
Na kitabu chake kiwe kimejaa sayansi za kutosha.
Mimi kama mfuasi wa sayansi nikaanza kufuatilia sayansi kwenye vitabu vya dini. nilipoanza kufuatilia s Quran na Biblia., nikagundua Quran ndio imeonesha upeo mkubwa zaidi wa sayansi.

Quran inajulikana kuwa na maelezo ambayo yanalingana na masomo ya kisayansi katika maeneo mengi, hizi ni chache:

1. Uumbaji wa ulimwengu: Quran inazungumzia kuhusu uumbaji wa ulimwengu na asili yake. Aya kadhaa zinataja kuwa ulimwengu ulianza kwa mlipuko mkubwa (Big Bang) na inaelezea kuenea kwake na kuunda vitu vyote.

2. Uumbaji wa binadamu: Quran inatoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya mwanadamu katika tumbo la uzazi. Inaelezea hatua za uumbaji wa kijusi na maendeleo yake kutoka damu iliyoganda hadi mtoto aliyeumbika kabisa.

3. Maji kama chanzo cha uhai: Quran inasisitiza umuhimu wa maji kwa uhai. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ndiye aliyeviumba visima vya maji na inatoa maelezo juu ya mzunguko wa maji duniani.

4. Sayansi ya astronomia: Quran inazungumzia mada za anga na nyota. Inaeleza kuwa nyota zina jukumu la kuongoza na kuelekeza katika njia, na inataja pia kuwepo kwa sayari na mzunguko wao.

5. Sayansi ya jiografia: Quran inazungumzia ardhi na milima. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ameifanya ardhi kuwa imara ili watu waweze kuishi juu yake, na inataja pia kuwepo kwa milima kama alama za ardhi.

Hizo ni baadhi tu ila zipo nyingi mno...hizi ndiyo zilinofanya niamini kweli Allah ndiye Mung aliyeumba ulimwengu na Muhamad ndiye mtume wake.

Nadiriki kusema La illah ila Allah Muhammad rasul Allah
Takbir.
Uko serious kweli au umekuja kwa njia ya kufedhehesha Waislam kama kawaida yako!?
 
Sayansi ni somo kuhusu ulimwengu ulivyo na unavyofanya kazi, kwahyo ningetarajia mungu aliyeuumba ulimwengu ndio awe baba wa sayansi.
Na kitabu chake kiwe kimejaa sayansi za kutosha.
Mimi kama mfuasi wa sayansi nikaanza kufuatilia sayansi kwenye vitabu vya dini. nilipoanza kufuatilia s Quran na Biblia., nikagundua Quran ndio imeonesha upeo mkubwa zaidi wa sayansi.

Quran inajulikana kuwa na maelezo ambayo yanalingana na masomo ya kisayansi katika maeneo mengi, hizi ni chache:

1. Uumbaji wa ulimwengu: Quran inazungumzia kuhusu uumbaji wa ulimwengu na asili yake. Aya kadhaa zinataja kuwa ulimwengu ulianza kwa mlipuko mkubwa (Big Bang) na inaelezea kuenea kwake na kuunda vitu vyote.

2. Uumbaji wa binadamu: Quran inatoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya mwanadamu katika tumbo la uzazi. Inaelezea hatua za uumbaji wa kijusi na maendeleo yake kutoka damu iliyoganda hadi mtoto aliyeumbika kabisa.

3. Maji kama chanzo cha uhai: Quran inasisitiza umuhimu wa maji kwa uhai. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ndiye aliyeviumba visima vya maji na inatoa maelezo juu ya mzunguko wa maji duniani.

4. Sayansi ya astronomia: Quran inazungumzia mada za anga na nyota. Inaeleza kuwa nyota zina jukumu la kuongoza na kuelekeza katika njia, na inataja pia kuwepo kwa sayari na mzunguko wao.

5. Sayansi ya jiografia: Quran inazungumzia ardhi na milima. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ameifanya ardhi kuwa imara ili watu waweze kuishi juu yake, na inataja pia kuwepo kwa milima kama alama za ardhi.

Hizo ni baadhi tu ila zipo nyingi mno...hizi ndiyo zilinofanya niamini kweli Allah ndiye Mung aliyeumba ulimwengu na Muhamad ndiye mtume wake.

Nadiriki kusema La illah ila Allah Muhammad rasul Allah
Takbir.
Wenzio waliosoma Quran (sunnah.com) na kuielewa wana acha Uislam
 
Hakuna sayansi yoyote hapo zaidi ya kujitekenya.
Hiyo mistari umejaribu kuelezea ni sayansi ya zamani.

Halafu kuna kitu inabidi ufahamu.
Siyo kwamba miaka hiyo watu hawakujua kabisa sayansi. Sayansi ilikuwepo japo ilikuwa ni duni. Habari ya uzazi ilikiwa inaeleweka, kuhusu nyota (mamajuso) watu walikuwa wanajua...
Na kama ni kweli huyo Allah na sifa alizonazo, asingeshindwa kujua umbo la dunia,
Huyo Allah mjuzi wa yote asingeshindwa kujua movement ya dunia kuzunguka jua.

Hapo mbona alifyata?
Alifyata kwasababu ndiyo ilikiwa sayansi ya kale iliyotengenezwa na wanafalsafa kama Aristotle.

Kwahyo, sayansi ilikuwepo, issue ya kujua uzazi kumbuka wakunha walikuwepo. Huyo Muhammad alikuwepo tena miaka iliyoenda sana.


Kwahyo hakuna Allah wala nini kwenye reality.
Zaidi ni utaunganisha vidoti tu vya ile sayansi ya kale alivyovitumia kuandika quran.

Jiulize kwanini aligail kwenye shape ya dunia.
Jamani kuleni bia acheni mambo yenu kujifanya mnajua Kila mtu akiamini ya kwake Kuna shida gani?
 
Umeshaelewa tayari ila Sasa kinachokusumbua ni ukafiri ulio nao maana sifa kubwa ya kafiri ni kupinga maandiko ya Allah

Na sijawahi kumfundisha kafiri asielewe wewe ndio ungekuwa wa kwanza

By the way
Qurani ni kitabu Cha kiimani na mawaidha Kwa waislam yanayotoka Kwa Mungu muumba mbingu na aridhi na Wala sio kitabu Cha biology hivyo haya mambo sijui ya cell, plasma, nuclear hayakuwa na nafasi ndani ya Quran na ndio maana ilikuwa inaeleza mambo ambayo yanapnekana direct Kwa macho Ili watu wapate mawaidha

Kwa mfano

Qurani 86:5
- Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?

86:6
- Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

86:7
- Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

Hayo ni mawaidha Kwa binadamu kuwa hauna sababu ya kujiona wewe ndio wewe hapa duniani Kwa sababu umetokana na kitu dhalili sana Yani ni maji maji tu

Hapo zinazungumziwa sperm jinsi zinavyotoka na appearance yake ukizitazama Kwa naked aye hiyo ni karine ya 6 hakuna mtu yoyote anayeweza kuziangalia sperm zaidi ya hapo

Na Aya ikaende mbali zaidi kuwa zinatoka baina ya mifupa ya mgongo na mbavu Kwa kuwa binadamu kipindi hicho hakuwa na uwezo wa kuona huko ndani ya mwili akaamimi Moja Kwa Moja Kwa sababu Qurani ni kitabu Cha kiimani

Miaka 1000 baadae binadamu akagundua Darubini akaziangalia sperm kiundani akaona Kuna vimbegu vina mkia na vinatoka vingi Kwa bao Moja zaidi ya milioni Moja

Pia akaangalia zinatokea wapi akagundua zinatoka katika sehemu inaitwa seminal vesicles na seminal vesicles ipo kati ya mifupa ya mgongo na mbavu

Allah alikuwa anawafundisha binadamu kutokana na upeo wao wa kipindi walichopo

Na ndio maana Allah hakuongea na Musa mambo kama haya Kwa sababu kutoka na upeo wao walitakiwa wamjue Mungu tu na msisitizo mkubwa katika Taurati ulikuwa ni kumjua Mungu na kufuata sheria zake

Nyinyi wagalatia Jahannam inawasubiri hamuna pa kutokea
Wagalatia wagumu kuelewa
 
umekuja na kanzu mpya??

alichopost jamaa,na walichoandika kwenye science hakiungani na Allah wala mawazo ya mujahdeen,Allah anasema tuliumba tulimfanya mtu kutoka katika damu iliyoganda,ikawa pande la damu halafu likageuka kuwa mfupa nao mfupa tukaufunika nyama.

hakuna damu iliyoganda wala pande la nyama katika huo mchoro usilazimishe.

aliyepita nimemkaba aeleze kama yeye anaona kama Allah anavyoona ama Allah anajua kuliko biology!!!!akaingia mzima mzima kwamba ukiangalia hii picha unaona kitu kinachofanania na damu iliyoganda na pande la nyama😂😂😂.
kwa maana hiyo Allah anatoa maelezo kwa kitu kama jinsi unavyokiona wewe na yeye sio jinsi anavyokijua zaidi kama muumbaji.

ndio sababu nikamkumbusha ni Quran hii pia inasema nyota ziliumbwa kuwa mapambo ya anga😅😅,hivi ndivyo unavyoona wewe muislam na ndivyo jinsi Allah anavyoona pia😂😂.

hivi ndivyo Allah anavyojua,na ilibidi atoe maelezo ya jinsi kitu anavyokiona,sasa mimi nakwambia rasmi,hakuna maisha ya kiumbe binaadam yanaanzia katika damu iliyoganda inayogeuka kuwa pande la nyama.hatua zote unazoziona zinaeleweka.

bado tunasuburi pande la nyama kwenye uterus ya mwanamke.tumekaa paleeeee
 
Back
Top Bottom