Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Umeshaelewa tayari ila Sasa kinachokusumbua ni ukafiri ulio nao maana sifa kubwa ya kafiri ni kupinga maandiko ya Allah

Na sijawahi kumfundisha kafiri asielewe wewe ndio ungekuwa wa kwanza

By the way
Qurani ni kitabu Cha kiimani na mawaidha Kwa waislam yanayotoka Kwa Mungu muumba mbingu na aridhi na Wala sio kitabu Cha biology hivyo haya mambo sijui ya cell, plasma, nuclear hayakuwa na nafasi ndani ya Quran na ndio maana ilikuwa inaeleza mambo ambayo yanapnekana direct Kwa macho Ili watu wapate mawaidha

Kwa mfano

Qurani 86:5
- Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?

86:6
- Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

86:7
- Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

Hayo ni mawaidha Kwa binadamu kuwa hauna sababu ya kujiona wewe ndio wewe hapa duniani Kwa sababu umetokana na kitu dhalili sana Yani ni maji maji tu

Hapo zinazungumziwa sperm jinsi zinavyotoka na appearance yake ukizitazama Kwa naked aye hiyo ni karine ya 6 hakuna mtu yoyote anayeweza kuziangalia sperm zaidi ya hapo

Na Aya ikaende mbali zaidi kuwa zinatoka baina ya mifupa ya mgongo na mbavu Kwa kuwa binadamu kipindi hicho hakuwa na uwezo wa kuona huko ndani ya mwili akaamimi Moja Kwa Moja Kwa sababu Qurani ni kitabu Cha kiimani

Miaka 1000 baadae binadamu akagundua Darubini akaziangalia sperm kiundani akaona Kuna vimbegu vina mkia na vinatoka vingi Kwa bao Moja zaidi ya milioni Moja

Pia akaangalia zinatokea wapi akagundua zinatoka katika sehemu inaitwa seminal vesicles na seminal vesicles ipo kati ya mifupa ya mgongo na mbavu

Allah alikuwa anawafundisha binadamu kutokana na upeo wao wa kipindi walichopo

Na ndio maana Allah hakuongea na Musa mambo kama haya Kwa sababu kutoka na upeo wao walitakiwa wamjue Mungu tu na msisitizo mkubwa katika Taurati ulikuwa ni kumjua Mungu na kufuata sheria zake

Nyinyi wagalatia Jahannam inawasubiri hamuna pa kutokea
Allah alikuwa hajui kitu anabaatisha tu

Mara mbegu zinatoka mgongoni mwa mwanaume na mbavu za mwanamke 😂😂😂🤣
 
Waislam husema quran imeandikwa direct yaani haina kona kona wala kuhitaji akili ya ziada kuelewa tofauti ba bible iliyoandikwa kwa mafumbo mafumbo.

Sasa mkuu hizi tafsiri za kibailojia wewe umezitoa wapi ilhali hazijaandikwa kwenye quran?? Mambo ya uti wa mgongo kufunikwa na nyama wewe umeyatoa wapi huoni kua unaongezea vitu??
Mnakatazwa sana kuongeza au kupunguza maneno ila ninyi mmekua mabingwa wa hilo na sababu kubwa ni kuufananisha uislam na sayansi.
hawa watu wa hivi ndio wanaufunua uislam uonekane nyeti zake😅😅.

kuna mmoja kule youtube aliulizwa,wakati jibril anamkaba Muhammad ili asome Quran alikuwa anasoma qurani ipi wakati haikuwa imeandikwa popote???
na kwanini alikabwa,malaika hakuambiwa kwamba aende taratibu na jamaa maana hajui kusoma au nini kilitokea???
😂😂😂
 
Allah alikuwa hajui kitu anabaatisha tu

Mara mbegu zinatoka mgongoni mwa mwanaume na mbavu za mwanamke 😂😂😂🤣
eti mbegu zinatoka katika ya mbavu na mfupa wa mgongo😂😂😂

jamaa alivyo samaki anataja seminal vesicle😂😂😂
hii hii ambayo iko chini ya kibofu kwenye nyonga huko chini😂😂
 
hakuna pande la damu iliyoganda wala pande la nyama.wacha kufukia fukia mashimo.

mimi kukubali hakuifanyi Qurani kuwa ilisema sawa na kilichopo kisayansi,nawezakubali sababu nimeamua kuwa kilundu kutupa akili na kuwa muislam[emoji28][emoji28],yaani ili niwe muislam maana yake nikubaliane na upuuzi kama huu.

mgalatia anayeona damu iliyiganda hapo na pande la nyama huyo ni Allah kabisa,jawana tofauti hata kidogo,wote wanaona maruweruwe.

sisi kama wakristo hatukatai Biology ni elimu tu ya viumbe hai alivyoumba Mungu,ila hoja yetu hapa ni kwamba huyu Allah ambaye waislam wanasema ni mungu wao,hajui kilichopo ndani ya tumbo la mjamzito nayeye anaona kama uonavyo ,damu zilizoganda na mapande ya nyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hata niwe kilaza namna gani na elimu hii ya form two,najua kabisa cell zinapokuwa nyingi aneo moja zinakuwa tissue,haiztengenezi damu iliyoganda,haya ni maoni ya Allah kilaza zaidi yangu ambaye alikutana na zygote iliyokufa na kutoka.


bado Allah matopeni,mpaka sasa bado hatujaona damu iliyoganda wala pande la nyama.
Sasa hivi ni vitu gani kama sio pande la damu na pande la nyama?
Screenshot_20230730-150026.jpg
Screenshot_20230730-150053.jpg
 
Sasa hivi ni vitu gani kama sio pande la damu na pande la nyama?View attachment 2703020View attachment 2703021
Sasa hivi ni vitu gani kama sio pande la damu na pande la nyama?
hii sio pande la damu wala pande la nyama.
hii ni hatua ya awali ya ukuaji wa kiumbe binaadam zygote ni hatua za awali baada ya yao kurutubishwa.sio damu iliyoganda.

embryo hatua inayofuata yaani kijusi kikiwa kimeanza kuchukua shape kuelekea umbo la binaadam sio pande la nyama hili.

sawa ndugu yangu???
View attachment 2703020View attachment 2703021
 
Sayansi ni somo kuhusu ulimwengu ulivyo na unavyofanya kazi, kwahyo ningetarajia mungu aliyeuumba ulimwengu ndio awe baba wa sayansi.
Na kitabu chake kiwe kimejaa sayansi za kutosha.
Mimi kama mfuasi wa sayansi nikaanza kufuatilia sayansi kwenye vitabu vya dini. nilipoanza kufuatilia s Quran na Biblia., nikagundua Quran ndio imeonesha upeo mkubwa zaidi wa sayansi.

Quran inajulikana kuwa na maelezo ambayo yanalingana na masomo ya kisayansi katika maeneo mengi, hizi ni chache:

1. Uumbaji wa ulimwengu: Quran inazungumzia kuhusu uumbaji wa ulimwengu na asili yake. Aya kadhaa zinataja kuwa ulimwengu ulianza kwa mlipuko mkubwa (Big Bang) na inaelezea kuenea kwake na kuunda vitu vyote.

2. Uumbaji wa binadamu: Quran inatoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya mwanadamu katika tumbo la uzazi. Inaelezea hatua za uumbaji wa kijusi na maendeleo yake kutoka damu iliyoganda hadi mtoto aliyeumbika kabisa.

3. Maji kama chanzo cha uhai: Quran inasisitiza umuhimu wa maji kwa uhai. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ndiye aliyeviumba visima vya maji na inatoa maelezo juu ya mzunguko wa maji duniani.

4. Sayansi ya astronomia: Quran inazungumzia mada za anga na nyota. Inaeleza kuwa nyota zina jukumu la kuongoza na kuelekeza katika njia, na inataja pia kuwepo kwa sayari na mzunguko wao.

5. Sayansi ya jiografia: Quran inazungumzia ardhi na milima. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ameifanya ardhi kuwa imara ili watu waweze kuishi juu yake, na inataja pia kuwepo kwa milima kama alama za ardhi.

Hizo ni baadhi tu ila zipo nyingi mno...hizi ndiyo zilinofanya niamini kweli Allah ndiye Mung aliyeumba ulimwengu na Muhamad ndiye mtume wake.

Nadiriki kusema La illah ila Allah Muhammad rasul Allah
Takbir.
Umeelezea vizuri sana.Asante sana.Umetupa mwangaza.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi ni vitu gani kama sio pande la damu na pande la nyama?
Allah anatakiwa kuwa mungu alafu anaongea mashudu

Damu ikiganda inakuwa imekufa haina uhai

Ukisoma Koran ukiona verse ziko smart kidogo ujue ni za waraq wakati akiwa hai alivyomsaidia pedophiles Muhammad, alivyo kufa Muhammad kwanza akataka kujiua na Koran ikasimama kwa mda , Muhammad akajiongeza akawa anaokota kila Kona anapachika na akaanza pia kutunga Aya zinahusu ngono zake
 
hii sio pande la damu wala pande la nyama.
hii ni hatua ya awali ya ukuaji wa kiumbe binaadam zygote ni hatua za awali baada ya yao kurutubishwa.sio damu iliyoganda.

embryo hatua inayofuata yaani kijusi kikiwa kimeanza kuchukua shape kuelekea umbo la binaadam sio pande la nyama hili.

sawa ndugu yangu???
View attachment 2703020View attachment 2703021
Sasa unasema Kila wakati sio nyama sio nyama Sasa si useme labda kama wewe unaona kipande Cha tofali hapo au kipande Cha mti sema tu Haina shida

Namaliza mada kama ifuatavyo

Embryo ni pande la nyama na process inayofuata Baada ya hapo hizo nyama kujigawa kutengeneza organs mbali mbali na mifupa

Maana hata hiyo mifupa inatokana na nyama ambazo zipo hapo katika Embryo

Nyama zinabadirika kuwa cartilaginous and then cartilaginous zinabadirika kuwa skeleton

Bora tu uende kanisani ukaimbe na kupiga makofi siku yako ya kufa ifike Allah akuingize Jahannam

Qurani 23:14
- Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.

Screenshot_20230730-150026.jpg
Screenshot_20230730-150053.jpg
 
Sasa unasema Kila wakati sio nyama sio nyama Sasa si useme labda kama wewe unaona kipande Cha tofali hapo au kipande Cha mti sema tu Haina shida
sio kipande cha nyama wala Quran,hiyo ni embryo.
Namaliza mada kama ifuatavyo

Embryo ni pande la nyama na process inayofuata Baada ya hapo hizo nyama kujigawa kutengeneza organs mbali mbali na mifupa
umeruka damu iliyoganda.
Maana hata hiyo mifupa inatokana na nyama ambazo zipo hapo katika Embryo
hakuna mfupa unatokana na nyama,na ndio sababu nikakwambia unabishana kutetea Quran hakuna unachojua.cell za mifupa hazina uhusiano na cell za misuli.
Nyama zinabadirika kuwa cartilaginous and then cartilaginous zinabadirika kuwa skeleton
hakuna nyama inayobadilika kuwa cartlage kisha mfupa,cartlage cells zinadevelelope kama zilivyocell za ubongo kwa kujitegemea.
unavyozidi kuingia ndani ndivyo unazidi kuivuruga Kauli ya Allah.

Bora tu uende kanisani ukaimbe na kupiga makofi siku yako ya kufa ifike Allah akuingize Jahannam
Allah mwenyewe anatakiwa Jehanam,atakula fimbo kadhaa za makalio,na mshika mikono ili asifurukute ni mimi,mchapaji ni jibrili.
Qurani 23:14
- Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
bado tunasubiti kuona damu iliyoganda na pande la nyama likigeuka kuwa damu kwenye tumbo la uzazi kama alivyosema jamaa yenu Allah.
 
hawa watu wa hivi ndio wanaufunua uislam uonekane nyeti zake😅😅.

kuna mmoja kule youtube aliulizwa,wakati jibril anamkaba Muhammad ili asome Quran alikuwa anasoma qurani ipi wakati haikuwa imeandikwa popote???
na kwanini alikabwa,malaika hakuambiwa kwamba aende taratibu na jamaa maana hajui kusoma au nini kilitokea???
😂😂😂
Yaani kuna vitu wadau wakivisema wanadai kua wameongezea chumvi wanatakiwa kufata kile kilichoandikwa na sio kutoa tafsiri zao.

Ikija kwenye ishu kama hizo wao wanatoka kwenye kile kilichoandikwa wanatoa tafsiri kulingana na sayansi ilivyo sasa.
 
Katika swala la dini mimi niliamua tu niwe mwanachama wa dini moja lakini kiukweli majibu yangu hayajwahi kujibiwa kwa sababu :

Hukumu ya dhambi
Katika miaka yote hii nilofanikiwa kuishi Dunia hii kiukweli sikuwahi kuwa shuhuda kwa yeyote kuwa ukifa unaenda peponi au motoni!

Hivu Mungu ni mwenye huruma sasa inawezekana vipi akatoa adhabu ya milele? Yani uzae mwanao akosee umpe adhabu ya milele?

Kuna Aya ya biblia inasema mshahara wa dhambi ni mauti! Kwani mauti ni nini? Jibu kama sikosei ni kifo kumbe basi ukisha kufa ndo umekufa huna namna maana pia hata wema watakufa maana walisema kila nafsi itaonja umauti...

Dini ilitokana na nini?
Swali langu lingine Je hizi dini zimetokana na nini yaani wewe kwanini upo mwislam? Rc? Kkkt? Mlokole fpct, aic na mengine?... Jawabu kutokana na utafiti ni kuwa sisi dini tunaamini kwa kurithi kutoka kwa wazazi endapo wazazi ni wapagani utakuwa mpagani vivo hivo na dini nyingine yani mtoto wa nyoka ni nyoka hivo basi Imani ya kumwamini Mungu mpaka siku ya kiama uulizwe maswali na upate adhabu nakosa kumbe wenye dhambi ni wazazi sio kizazi

Itaendelea
Jibu la hapo ni Hakuna Mungu.

Usiskilize mahubiri.

Hapo umejaribu kujenga hoja iliyobora sana kwa kupima logic ya Mungu mwenye uwezo wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote ambaye kaumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya, halafu aje kutoa hukumu kwa viumbe wake.

Hiyo ni contradiction ambayo inakufanya ufikie kuhitimisha moja kwa moja kuwa Mungu huyo hayupo.

Mungu huyo ambae ananasibishwa kuwa na uwezo wote na ujuzi wote, asingeshindwa kuumba ulimwengu ambao dhambi na mabaya hayawezekani kuwepo.

Sasa mabaya yako mengi, na mabaya lazima ujumuishe majanga ya asili kama radi, vimbunga na matetemeko ambayo yanaua watoto wachanga ambao hawajakosa kitu.

Hapo wakulaumiwa ni Mungu huyo wa kutungwa ambaye anasababisha majanga hayo na kufanya ukatili mkubwa kwa viumbe wake.

Huyo Mungu hajaweza kufikia hata viwango vya kibinadamu katika kutafsiri haki.

Huyo Mungu hayupo, haishi nje ya hadithi za dini.

Kumbuka mwanadamu bila Mungu ni mwanadamu.
Ila Mungu bila mwanadamu ni hakuna kitu.

Labda nikupe historia kidogo
Hapo mwanzo mwanadamu alimuumba Mungu kwa mfano wake, lengo kuu la kuumbwa kwa Mungu (kama dhana) ni kichaka cha kuficha ujinga wetu.
Vitu tusipovielewa tunasingizia ni Mungu.

Kitu usipokielewa ni uthibitisho kuwa hujakielewa kitu hiko, hakuthibitishi kuwa ni Mungu kakifanya.

Utafuatilia miungu ya radi kama Thor,
Mungu wa bahari Pseudo, Mungu wa hekima na vita (Athena) nafikiri huyu yuko hata kwenye michoro ya karata alama Q (♤).

Saizi radi inajulikana vizuri inasababishwa na nini,

Yani zamani hata tukio la kupatwa kwa jua watu walikimbia kwenda kuomba wakiamini kuwa Lile li Mungu limejaa hasira.

Zote hizi ni imani tu, hata huyo Mungu wako hana tofauti na hawa.

Kumbuka miungu wako zaidi ya 3000+, na kila jamii hunasibisha kuwa Mungu wake ni Mungu wa kweli, wengine wote ni miungu ya wakosaji na wajinga.

Yaani hata huyu Mungu unayemuamini leo hii, nkienda kwenye jamii nyingine, anajumuishwa kwenye list ya miungu.

Sasa tafakari, vipi kama ungelizaliwa kwa wahindi sehemu ambayo kuna imani za kihindu na kibudha?
Unataka kusema usingelikuwa mhindu ama mbudha!?

Soma history ya vitabu unavyovitukuza halafu uje hapa tuchambue.
Usisome source za wafia dini pekee.
Watakupa mahubiri tu na hutopata knowledge sahihi.
 
PART1:MUISLAM ALIYETOKEWA NA YESU MSIKITINI AKIWA ANASWALI SWALA YA IJUMAA!NILITAKA KUJIUA,MWANGA,

Hapa kuna mchezo unasukwa,
Kwenye uislamu hakuna pesa.

Huyu anataka akafungue kanisa.

Kuwa makini mtanzania.
 
Hapa kuna mchezo unasukwa,
Kwenye uislamu hakuna pesa.

Huyu anataka akafungue kanisa.

Kuwa makini mtanzania.
Unajua ukiuacha uislam na kuhamia imani nyingine. Adhabu yake ni kukatwa kichwa. Unalijua hilo?
Hakuna mchezo. Msikilize vizuri. Huko Uarabu wanahofia hicho tu ila wengi wangekuwa wameachana na imani hiyo.
 
Yaani kuna vitu wadau wakivisema wanadai kua wameongezea chumvi wanatakiwa kufata kile kilichoandikwa na sio kutoa tafsiri zao.

Ikija kwenye ishu kama hizo wao wanatoka kwenye kile kilichoandikwa wanatoa tafsiri kulingana na sayansi ilivyo sasa.

we ndugu yangu acha tu[emoji23][emoji23][emoji23]

kuna mtu mpaka alifikia hatua anamwambia jamaa kwamba unatakiwa usome article hii uliyonipa kwa kiarabu[emoji23][emoji23][emoji23]

nilicheka balaa.
 
Unajua ukiuacha uislam na kuhamia imani nyingine. Adhabu yake ni kukatwa kichwa. Unalijua hilo?
Hakuna mchezo. Msikilize vizuri. Huko Uarabu wanahofia hicho tu ila wengi wangekuwa wameachana na imani hiyo.
Ntamsikiliza.

Lakini imani ni utapeli, hivyo kuwa makini sana
 
we ndugu yangu acha tu[emoji23][emoji23][emoji23]

kuna mtu mpaka alifikia hatua anamwambia jamaa kwamba unatakiwa usome article hii uliyonipa kwa kiarabu[emoji23][emoji23][emoji23]

nilicheka balaa.
Dini ya uislamu imeanzishwa kwa propaganda sana yaan hakuna mtu ambaye ni master of propaganda kama muhammmad nahisi tokea dunia ianzishwe hakuna anayemfikia na alikua kilaza yaan mpaka leo uongo wake unadumu ndo maajabu ya muhammad

Yaan mtu anasema ameshishiwa kitabu alafu mda huo huo kuna kitu mfano wa hicho kikubwa tu kipo zaid ya miaka 2000 kabla ya yeye kuzaliwa
Kwa kupgopa kuicopy biblia yote akaamua kutengeneza hadithi za kusuppport uongo wake jamaa ni wa special
 
Dini ya uislamu imeanzishwa kwa propaganda sana yaan hakuna mtu ambaye ni master of propaganda kama muhammmad nahisi tokea dunia ianzishwe hakuna anayemfikia na alikua kilaza yaan mpaka leo uongo wake unadumu ndo maajabu ya muhammad

Yaan mtu anasema ameshishiwa kitabu alafu mda huo huo kuna kitu mfano wa hicho kikubwa tu kipo zaid ya miaka 2000 kabla ya yeye kuzaliwa
Kwa kupgopa kuicopy biblia yote akaamua kutengeneza hadithi za kusuppport uongo wake jamaa ni wa special

hakuna ufunuo hata mmoja anaodai alipewa ulipata kushuhudiwa na shahidi yeyote[emoji1][emoji1].

safari ya usiku mmoja kutoka macca mpaka Jerusalem,aliyeshuhudia ni punda pekee aliyempanda[emoji23][emoji23]maanina.

ufunuo wa kwanza anapewa si jibril aliyejitambulisha kama alivyofanga kwa wengine aliowatokea,alichofanya alimniga kabali ya haja,kipenzi cha wanetu akatoka kapagawa na homa juu mpaka home[emoji28][emoji28],kusimulia alichokutana nacho jamaa mmoja akaropoka”wewe umekutana na jibril kuanzia sasa wewe ni mtumee”[emoji23][emoji23]

binti mdogo kabisa kati ya wake zake alimchukua kama kumsaidia,kalipopendeza akakaweka[emoji1787][emoji1787],alipoulizwa akajibu “mimi mtume nimepewa ufunuo nioe watoto kama hawa kama sehemu ya kuwapa msaada.[emoji16][emoji16]
kuna kamanda mmoja kati ya watu wake wa karibu alikuwa hakubaliani kabisa na stori za jamaa,akampa chaguo amchinje au atii na kukubali story zake jamaa ikabidi awe mpole.

ipo hadithi nyingine mwamba alikula mke wa Mwanaye wa kufikia[emoji2][emoji2],

yaani mpaka huwa najiuliza shida ya hawa ndugu zetu ni akili hawana ama ni limbwata gani huyu jamaa aliwapa[emoji23][emoji23],kama Mungu wa ibrahim,mussa,isaka na yakobo alimtuma mtu wa aina hii awe mtume wake,niko tayari kutokuwa mfuasi wake abadani.[emoji35][emoji35][emoji35]
 
umekuja na kanzu mpya??

alichopost jamaa,na walichoandika kwenye science hakiungani na Allah wala mawazo ya mujahdeen,Allah anasema tuliumba tulimfanya mtu kutoka katika damu iliyoganda,ikawa pande la damu halafu likageuka kuwa mfupa nao mfupa tukaufunika nyama.

hakuna damu iliyoganda wala pande la nyama katika huo mchoro usilazimishe.

aliyepita nimemkaba aeleze kama yeye anaona kama Allah anavyoona ama Allah anajua kuliko biology!!!!akaingia mzima mzima kwamba ukiangalia hii picha unaona kitu kinachofanania na damu iliyoganda na pande la nyama[emoji23][emoji23][emoji23].
kwa maana hiyo Allah anatoa maelezo kwa kitu kama jinsi unavyokiona wewe na yeye sio jinsi anavyokijua zaidi kama muumbaji.

ndio sababu nikamkumbusha ni Quran hii pia inasema nyota ziliumbwa kuwa mapambo ya anga[emoji28][emoji28],hivi ndivyo unavyoona wewe muislam na ndivyo jinsi Allah anavyoona pia[emoji23][emoji23].

hivi ndivyo Allah anavyojua,na ilibidi atoe maelezo ya jinsi kitu anavyokiona,sasa mimi nakwambia rasmi,hakuna maisha ya kiumbe binaadam yanaanzia katika damu iliyoganda inayogeuka kuwa pande la nyama.hatua zote unazoziona zinaeleweka.

bado tunasuburi pande la nyama kwenye uterus ya mwanamke.tumekaa paleeeee.
Wewe kijana unachekesha sana hayo unayongea yote kuhusu hiyo Biology ni idea za karine 16, 17, 18 na 19 Baada ya kugunduliwa Darubini

German zoologists Oscar and Richard Hertwig made some of the first discoveries on animal zygote formation in the late 19th century.

Malphigi in 1672 who is considered father of modern embryology thought poultry eggs contained a miniature chick and others thought that human being was fully formed in sperm or an ovum. He came out with chick drawings showing clear somites. In 1673 Leeuwenhoek invented the first microscope.


Richard na Oscar waligundua Zygote 1900AD

Na huyo Malphigi aligundua Embryo 1675AD

Ni zaidi ya miaka 1000 Baada ya Qurani kusema Kuna pande la damu na pande la nyama

Katika miaka ya 600AD Qurani ilisema zygote ni pande la damu na Embryo ni pande la nyama

Haya sasa niambie wagalatia wenzako wa miaka ya 500AD miaka ya 700AD na miaka ya 1200AD

Walikuwa wanasemaje
Zygote ni Nini ?
Embryo ni Nini?

Screenshot_20230730-150026.jpg
Screenshot_20230730-145757.jpg
 
Wewe kijana unachekesha sana hayo unayongea yote kuhusu hiyo Biology ni idea za karine 16, 17, 18 na 19 Baada ya kugunduliwa Darubini
sitaki kukuchoresha wala kukufanya uonekane msukule,lakini nataka unihakikieshie kwamba wataalam wa uzazi na maumbile wamepatikana karne ya 16,17,18
usichojua wewe mzee wa maulid ni kwamba science na utaalam wa uzazi umekuwepo kabla hata Yesu hajaja duniani.
kapekue vyema historia.

Alichofanya Allah hapa ni kuja kumwambia muhammad kitu ambacho watu wamezoea kukiona,hakuna jambo la kitaalam aliliongea Allah.
German zoologists Oscar and Richard Hertwig made some of the first discoveries on animal zygote formation in the late 19th century.
kwahiyo Zygoy ya kwanza imegundulika karne ya 19 huko nyuma Allah na watu wake waliiona ni kama pande la damu😂😂😂,umenielewa sasa si ndio??
wewe unaamini hilo ni pande la damu iliyoganda???
Malphigi in 1672 who is considered father of modern embryology thought poultry eggs contained a miniature chick and others thought that human being was fully formed in sperm or an ovum. He came out with chick drawings showing clear somites. In 1673 Leeuwenhoek invented the first microscope.
whatever,hakuna kati yao anayesema haya yalikuwa mapande ya damu ama mapande ya nyama.
ni ujinga wa Allah aliyeamua kumfunulia Muhammad kitu cha hivyo.
Richard na Oscar waligundua Zygote 1900AD

Na huyo Malphigi aligundua Embryo 1675AD

Ni zaidi ya miaka 1000 Baada ya Qurani kusema Kuna pande la damu na pande la nyama
sasa yupi kati ya oscar na malphigi amethibitisha madai ya Allah kwamba binaadam huzaliwa kwa pande la damu iliyoganda na kisha kuwa pande la nyama!!!!
Katika miaka ya 600AD Qurani ilisema zygote ni pande la damu na Embryo ni pande la nyama
Onyesha sehemu Quran imetaja zygote.

Quran imetaja pande la damu na pande la nyama,zygote sio pande la nyama muhamadan.
Haya sasa niambie wagalatia wenzako wa miaka ya 500AD miaka ya 700AD na miaka ya 1200AD

Walikuwa wanasemaje
Zygote ni Nini ?
Embryo ni Nini?
hakukuwa na zygote 500AD,hata Allah alikuwa hajui zygote ni nini alikuwa anaita ni pande la damu ambalo linabadilika na kuwa pande la nyama.
 
Back
Top Bottom