Sababu zinazopelekea Jasusi (Spy) kuisaliti nchi yake


ulipishana na hela kichwa nazi
 
Kuna nyakati Jasusi anatoa siri za Nchi au taasisi bila kujua. Inaweza kuwa kwa ushawishi usiokuwa wa moja kwa moja au bahati mbaya tu!

Imetokea mahali Watu watano wamekaa wakipiga story na kunywa bia. Wawili kati yao ni 'Undercover spies' wa Nchi fulani, mmoja ni rafiki wa karibu wa hao wawili akiwajua kwa kazi yao inayofahamika na siyo ile haswaa, mwingine ni Raia lakini akiwa 'maamuma tu kwenye maongezi. Huyo mmoja aliyebakia ndiye mlengwa, yeye ni Jasusi wa Nchi X, hao 'Undercover' wanajua kabisa wapo na Mtu gani na nini wanachokitaka toka kwake.

Kadri flow ya mazungumzo inavyokwenda ndivyo wanavyoanza kuchimba, kwa bahati mbaya sana kwao ni kuwa pamoja na kwamba walikuwa makini kupata taarifa lakini walikosea kitu kidogo tu, walizidisha 'umakini' wakati wa mazungumzo. Jasusi X kengele ikaanza kulia kichwani, 'why katika hali hii ya unywaji hawa watu wawili wapo makini sana katika baadhi sehemu za mazungumzo?'

Jamaa najua mpaka leo wnajing'ata vidole kwa kosa la kiufundi walilolifanya.
 
Wamarekani walishangaa sana jinsi siri za tunnel ya cia zilivyojulikana
 
You are very pro active, that's why you LOOK LIKE AGENT!!
Mkuu ilitokea tu It was self-initiated and change-oriented behavior in situations only, ni swala la Logic tu kile Cheti kingenisaidia nini? na ningekipeleka wapi?......
 
Mada nzuri sana hii ! CIA wanatabia ya kutumia hela kukufanya uisaliti nchi yako.Wanaweza kukuambia uwe double agent afu wanakujengea nyumba Mbezi Beach

Watu hatari sana wale
.....and how did the Russians manage to convince Edward Snowden to defect?
 
Asante kwa kutoa elimu mkuu
 
Kuwa Double Agent ni kitu hatari sana mkuu hawa Spies wakigunduliwa huwa wanauwawa kikatili sana...mfano mzuri ni Yule jamaa Aliyekuwa Spy wa RUSSIA then akaisaliti Moscow na kujiunga na Uingereza.

Alipewa sumu yenye mionzi na mpaka Leo CIA na MI6 YA uingereza wanatafuta clue jinsi alivyouawa lakini hawajaweza, wamebaki kuilalamikia RUSSIA tu!

Wadau mnaweza kuzigoogle picha zake mumcheki alivyoharibika Kia full story ipo Wikipedia[emoji3] [emoji3]
 
Nimeona sana CIA jinsi wanavotengeneza agent! Hasa double ajent kwanza wanastudy maisha ya MTU personal/private life then wanatumia zile sir nzito ulizokua ukizficha ktk maisha yako!

Hasa wenye siri kubwa ndo wapo kwenye risk!! Ukikataa wanakinukisha utakubali tu kama unataka ubaki kwenye cheo chako
 
Hapa umenikumbusha strike back tv show season 5, hiyo case ya pili uliyoisema ni sawa kabisa na kiukweli ilikua ngumu sana sana waingereza kumgundua muhusika kwasababu alifanikiwa mpk kuwa mke wa balozi wa uingereza nchini Thailand kumbe behind the scene ni agent wa north korea alipofanikiwa alichokua anatafuta alirud kwao ingawa alikuwa ashashtukiwa.

Huyo mama alipandikizwa toka akiwa mtoto kwa manufaa ya taifa lake, aiseee strike back acha kabisa hii tv show, one of my best tv show!
 
Mada kama hizi naona zinaanza kuota ndevu humu mitandaoni,wenye kuona mbali watakua wamenielewa.

Dreva wa Carina na Dreva Volvo long -nose hawafanani taswira zao ingawa barabara ni ileile. eti unashare.
 
Kwa hizi nchi masikini hawa double agent nadhani wako wengi mno!!

Ila uzalendo ndio kinga mwafaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…