MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
kukunja sura kunafukuza wawekezajieti kukunja sura mda wote dah π π π
kwamba ukimsogelea atakufokea auπ π , au atakutemea mateπKuna watu wananuna mpaka unaogopa kumsogelea[emoji23]
hamna lolote, tena hao ndo wanakuaga walaini tu tena anza na kumsifia dada una sura nzuri utaona reaction yake,kukunja sura kunafukuza wawekezaji
Unaweza ukapewa tusi ambalo hukulitegemeahamna lolote, tena hao ndo wanakuaga walaini tu tena anza na kumsifia dada una sura nzuri utaona reaction yake,
we nisikilize mimi, hao dawa yao kuwasifia tu wana sura nzuri maana wengi huwa hawajiaminiUnaweza ukapewa tusi ambalo hukulitegemea
Kabla ya kumsogelea unavuta pumzi kwanza[emoji23]kwamba ukimsogelea atakufokea au[emoji28][emoji28], au atakutemea mate[emoji23]
wasiwasi wako tu,Kabla ya kumsogelea unavuta pumzi kwanza[emoji23]
Ndo struggle za kua mwanaume[emoji23]wasiwasi wako tu,
ila mnapitia mengi π ,Ndo struggle za kua mwanaume[emoji23]
Bora sisi[emoji23]ila mnapitia mengi [emoji28],
kwanini bora nyie wakati ndo mnaostrugle kutupataBora sisi[emoji23]
Kuchomekwa vitu vigumu mi naona si mchezo[emoji23]kwanini bora nyie wakati ndo mnaostrugle kutupata
Mzee hii picha inanisumbua sana [emoji23]Huo muda wa kusumbuana nao utatoka wapi, wakati kuna hawa watu...
View attachment 2592455
hahahaπ , vingekua vinauma kweliKuchomekwa vitu vigumu mi naona si mchezo[emoji23]
Na hakimi anatuwakilisha vyema sanaWapenzi watazamaji niwengi kuliko wapenzi waoaji Kuna kale ka movement ka KATAA NDOA sasa mnategemea Hawa ndugu zetu waolewe na nani.
Angekuwa ukanda wetu huu, ingebidi kuuza mali zote za urithiMzee hii picha inanisumbua sana [emoji23]
Haijalishi....[emoji23] mara ubinuliwe, mara ugeuzwe.... Dah....hahaha[emoji28], vingekua vinauma kweli
ππππππ "welcome to the world"hamna lolote, tena hao ndo wanakuaga walaini tu tena anza na kumsifia dada una sura nzuri utaona reaction yake,