Sababu zinazopelekea wanawake wengi kutokupata wapenzi

Kitu kinachowasumbua wanaume ni mob psychology yan kazi yao kudanganyana na kufuata mkumbo. Ukiona anaetongoza mize minne ujue anaaply ile kanuni ya mwanaume lazma upambanie unachokipenda. Mpk kieleweke. [emoji3] aliyosikia kijiweni.
 
Mkuu una tatizo gani? Mada zako kila mara hapa jukwaani ni za Mapenzi tu..
Kama una ujuzi njoo tufanye kazi
 
😁😁
 
I know nothing and i need to learn so tufundishe mku .
Tembelea huu uzi
 
Nakucheki pm Mkuu
 
Jamani jamanii [emoji134]
Ndio
Kama nmedanganya sema wap?
Maisha mazuri na mafanikio ni mchakato
Kila kinachoonekana leo basi jua mipango yake ilikuepo tangu muda mrefu
Malengo yanaathiliwa na uchumi
Wakati mwingine ndoto zinafifishwa kutokana na hari ya kuyumba kwa uchumi
Wakati huo mwanamke ndio wakati sahihi wakuonesha mshikamano na mwenzako
Lakin ndio kwaaanza hua mnakimbia...

“Ladies wanapenda ukanilifu”
Kua hili ni gari
Hi ni nyumba yangu
Hi ni biashara yangu
Ila hawapendi kauri ya “nna”!!
 
Yeah, sure 😔
 
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
 
  • Kuwapenda wanaume wanao igiza maisha
  • Kupenda kuambiwa uwongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…