Tena usiombe ukutane na mnyakyusa wa kyela maana Hawa wanajionaga wajanja kuliko wenzao wa tukuyu.Wanyakyusa nao baadhi ni kipengele nakumbuka nilienda kwao pale nyumbani kuna vyumba hua vinabakia sasa Mama mkwe anasema nimewapa chumba kimoja hapo mnaweza mkaanza kuishi na hapo sijapeleka hata mahari wala sijachumbia naambiwa unaweza ukaanza kuishi nae binti yangu chumba kile pale nimewapa muanze kuishi pamoja, nilikataa
Ndio hao hao wa kyela nilipewa Mali kabla yaTena usiombe ukutane na mnyakyusa wa kyela maana Hawa wanajionaga wajanja kuliko wenzao wa tukuyu.
Hehehehe hao hatari broNdio hao hao wa kyela nilipewa Mali kabla ya
Hatari na nusu tuliishia njiani ningeoa ile Mwanamke sijui ningekua mgeni wa nani leoHehehehe hao hatari bro
Shukuru Mungu hukuoa huyo mkuuHatari na nusu tuliishia njiani ningeoa ile Mwanamke sijui ningekua mgeni wa nani leo
Kaoe mrangi basi tufunge huu uziKwa mtazamo wangu wife material inategemeana na mahitaji haswa ya muoaji na ndiye anayepanga vigezo vya mke bora kwake, mke bora kwako hawezi kuwa bora kwa wengine, kwenywe suala la makabila kusema et kabila fulani ndio linawanawake bora kuliko kabila fulani hapo napinga, Kuna wanyiramba waaminifu kabisa, kuna wachaga waaminifu kabisa na wachapa kazi, Kuna wasambaaa waaminifu kabisa kuna wangoni ukimpata unasema nilichelewa wapi, ubora wa mke unategemeana na mazingira na malezi aliyolelewa, hao wahehe na wabena mnaowasifia wanajeuri na viburi vya kwenda na huwa wanakimbilia kwenye uchawi na ulozi(sio wote)
Ambaye bado haujaoa usioe kabila, oa mwanamke unayeona atakufaa kwenye maisha yako, na nyota njema huonekana tangu asubuhi
Kibosho wale ni weusiOngeza wamachame na wakibosho. Ni wasomi wazuri, pia wazuri kwa sura na kutafuta pesa.
Toa singidaMikoa kama mtwara, Lindi, Tabora, Singida, Kigoma, n.k mabitni wanalelewa kikoloni mno
Mkuu hapo kanda ya ziwa kwa hao wengine uliowataja nakubaliana na ww kabisaa 98% ila sio kwa "Wajita". Usithubutu kukutwa na wanawake hawa. Kama hutaki kuishi maisha yako yote kwa majuto.Kanda 2 pekee ndipo nilipokuta Ke wanaofanania na haiba ya kike TZ yote.
* Kanda ya ziwa (Wasukuma, Waha, Wajita, Wakurya, Wahaya, Wazanaki, Wajaluo).
* Kanda ya kusini (Wahehe, Wabena).
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Oa mwanamke anayekufaa, usioe kabilaKaoe mrangi basi tufunge huu uzi
Nawafahamu wawili watatu, wana hizi tabia 100%, pamoja na yote wako na sura personal so.....Wahehe, Wabena na Wakinga wana tabia za kufanana sana. Wana mengi mazuri ila katika tabia zao mbaya ni tabia ya wivu na ufatiliaji wa mambo ya watu. Yaani kama uko kwenye cycle moja na hawa watu na unapata kitu ambacho yeye hakipati/hana uwezo wa kukipata ila anakihitaji basi kukufanyia fitna ili ukikose na mfanane ni jambo la kawaida.
Ni watu wasiokuwa na kifua. Jambo lako likijulikana na hawa jamaa, hata kama ulikuwa hutaki lijulikane na wengi basi jua jamii nzima imeshalifahamu. Wanapenda kuutafuta umbea na ni maCIA wa kujitegemea kwa hata mambo ambayo hayawanufaishi chochote. Umbea kwao ni kama chakula hawawezi kiishi bila kuwa nao.
Ni kweli kabisa nilishasikia habari hizo Ndugu.Mkuu hapo kanda ya ziwa kwa hao wengine uliowataja nakubaliana na ww kabisaa 98% ila sio kwa "Wajita". Usithubutu kukutwa na wanawake hawa. Kama hutaki kuishi maisha yako yote kwa majuto.
Hawa wanawake wa kijita wana roho mbaya sana. Ni watu wasiopenda ndugu wa upande wa mwanaume na pia wana sifa yao moja kubwa sana ambayo ni kupenda mambo ya "kishirikina".
NB; japo sio wote. Moyo wa mtu kiza kinene.
Kaskazini ukienda umeisha. Labda MROMBOMwenzenu kaanzisha uzi huko anasema [emoji1484] "Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned"
Nadhani wale watakaopokea mawazo yake fuateni na hii ya Iringa.
Haule ni wa mamnda au wapangwaNdiyo kina Haule?, Basi kama ni hao, kuna mmoja hapa kaolewa na harusi Kanisani kwetu ni hata mwaka haujaìsha wameachana.
Hiyo ni kweli kabisa mkuu. Believe it or not.