Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

Wakinga ni wavumilivu sanaaaa, ila usiombe uvumilivu wake ufike mwisho ndo utajua hujui... yani unaweza ulie hata machozi ya damu atakaza mpaka mwisho... Na kingine hawabembelezagi hata kama wana shida wanaona bora wakomae nazo kuliko kujishusha kuomba... Ila wako vizuri sanaa ni waaminifu na wanajali sana.,kwa wadada wanaotafuta ndoa nawashauri wakikutana na wakinga Wang'ang'anie kwelikweli, wana sifa zote za kiume
Wewe ni Mkinga?

Nakushauri siku moja ujaribu na Msukuma halafu uje ulete mrejesho hapa. Bila shaka utawakandia hata hao Wakinga wako ambao ukizubaa tu hawachelewi kukutoa kafara 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Wewe ni Mkinga?

Nakushauri siku moja ujaribu na Msukuma halafu uje ulete mrejesho hapa. Bila shaka utawakandia Wakinga wako 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Hahaha😃😃 wasukuma nawaogopa.. siwezi kumsahau yule jamaa aisee, sijui nilimfanyaga nini yani😓😓😒, wakinga wapewe maua yao🤗🤗
 
Ni washirikina so poa...yupo mmoja ni mke wa uncle...kachangia sanaa kumuondoa na sasa hiv kauza magari aliyoacha..wabena hapana aysee...labda wahehe kidogo



Hata wahehe ni hivyo hivyo.

Uchawi na ushirikina kwa sana, roho mbaya.

Hawatofauti sana na wapare.
 
Mleta mada hujawajua vizuri hao, tafuta kuwajua vizuri.

Au wewe mhehe umeamua kujifagiliwa lakini jamii inaujua ukweli.
 
Wengi hata asome vipi ushamba huwa hauwaishi.

Hata vaa yao hata akiwa na Neema ya vihela kuvaa vizuri ni mashaka matupu!
 
Watu wa Iringa na Njombe wanafanana sana na wapare kitabia.

Ni watu wakupenda kujipendekeza pendekeza (lobbing) kwa Viongozi,

Atakuchekea mdomoni moyoni anakung’onga.

Anachosema mdomoni sicho cha moyoni.

Wanapendeleana kwenye kazi na uongozi wana beana thana.

Ukiwa nao karibu unapaswa kuishi nao kwa tahadhari.
 
Watu wa Iringa na Njombe wanafanana sana na wapare kitabia.

Ni watu wakupenda kujipendekeza pendekeza (lobbing) kwa Viongozi,

Atakuchekea mdomoni moyoni anakung’onga.

Anachosema mdomoni sicho cha moyoni.

Wanapendeleana kwenye kazi na uongozi wana beana thana.

Ukiwa nao karibu unapaswa kuishi nao kwa tahadhari.
wahehe wa iringa wajeuri sana nazani huwajuhi vizuri na Ni moja kati ya makabila yenye watu wagumu sana kujipendekeza kwa watu Na ukitaka ubaya na wahehe mfanyie dharau na ni Watu wa visasi sana
 
Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,

Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
  • Wapo Loyal kwa waume zao​
  • Kudumu kwenye ndoa​
  • wavumilivu kwenye ndoa,​
  • Akina Segito​
  • -hawana tamaa ya mali,​
  • -Kujua kulea watoto​
  • -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume)​
  • Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.​
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.

Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.


JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Nafikiri wengi wao wana sura personal
 
Ni kubota haswa,wavumiliv tofaut na kina manka na saita!...japo kwangu nimechill na msukuma wangu hapa hakuna was wasi....lya bhatale elenele
Saitaa miyeyusho sana wale na miguu yao kama spoku
 
Watu wa Iringa na Njombe wanafanana sana na wapare kitabia.

Ni watu wakupenda kujipendekeza pendekeza (lobbing) kwa Viongozi,

Atakuchekea mdomoni moyoni anakung’onga.

Anachosema mdomoni sicho cha moyoni.

Wanapendeleana kwenye kazi na uongozi wana beana thana.

Ukiwa nao karibu unapaswa kuishi nao kwa tahadhari.
Mkuu kwa experience yangu hizi sifa zote ulizozitaja ni za kabila la wanyakyusa [emoji28][emoji28][emoji28] sio utani,namaanisha,wewe huwajuwi wahehe,tugayashida.
 
wahehe wa iringa wajeuri sana nazani huwajuhi vizuri na Ni moja kati ya makabila yenye watu wagumu sana kujipendekeza kwa watu Na ukitaka ubaya na wahehe mfanyie dharau na ni Watu wa visasi sana
Wewe unawajua vizuri mkuu, wanawake wanapigana na wanaume kuna bro kaoa huko daah sema ndio ndoa ya kanisa Mwanamke kambadirikia ndani sasa hivi wanakunjana mashati na kutiana makofi wanapigana mangumi kabisa hadi kutoana Meno na kuharibiana reception Mwanamke kiburi, jeuri, mtata noma sana
 
Mkuu kwa experience yangu hizi sifa zote ulizozitaja ni za kabila la wanyakyusa [emoji28][emoji28][emoji28] sio utani,namaanisha,wewe huwajuwi wahehe,tugayashida.
Wanyakyusa nao baadhi ni kipengele nakumbuka nilienda kwao pale nyumbani kuna vyumba hua vinabakia sasa Mama mkwe anasema nimewapa chumba kimoja hapo mnaweza mkaanza kuishi na hapo sijapeleka hata mahari wala sijachumbia naambiwa unaweza ukaanza kuishi nae binti yangu chumba kile pale nimewapa muanze kuishi pamoja, nilikataa
 
Wanyakyusa nao baadhi ni kipengele nakumbuka nilienda kwao pale nyumbani kuna vyumba hua vinabakia sasa Mama mkwe anasema nimewapa chumba kimoja hapo mnaweza mkaanza kuishi na hapo sijapeleka hata mahari wala sijachumbia naambiwa unaweza ukaanza kuishi nae binti yangu chumba kile pale nimewapa muanze kuishi pamoja, nilik

Hao wa Iringa ni damu ya Mkwawa. Ushujaa na uvumilivu upo.
Ukiambiwa kabila fulani Lina tabia flani,usichukulie masihara,nishachunguza sana hii kitu na nmegundua Ina ukweli asilimia kubwa,yani kama umetoka kwenye nyumba inayowaka moto hata usipoungua basi nguo zako zitanuka Moshi.Kila kabila Kuna sifa flani watu wake wanayo kwa wingi.
 
Back
Top Bottom