Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

Nyanda za juu kusini nahisi wangoni ni wazuri zaidi kwa mwonekano,ni mafundi sita kwa sita,yani ukienda mechi nunua na bandeji maana mauno yake anaweza kukuvunja mashine,tatizo wengi wao ni wahuni
Wee tulia basi Mzee wangu, Leejay49 baby sio muhuni
 
Tabia za wanawake ( wahehe& wabena)

1.Kuvaa kama wanawake yaani yale mavazi ya heshima .

2.kujua nafasi yao kama wanawake.
3. Wana roho nzuri kwa asili .
4.Wavumilivu na wanaweza kuishi maisha ya aina yeyote.
5.Heshima ,utii na adabu.
6.Uchapakazi .

Tatizo lao haswa wabena .

1.Wanapenda sana kunywa pombe za kienyeji na hapo ndo wanatoa utu wao kwa mda ,Yaani mtu akilewa anaweza kuleta mambo ya hovyo ila tabia yake ni nzuri sema pombe inamuendesha vibaya.
Kuna mmoja niliwahi kukutana naye pale TAG Mwenge, na bado yupo pale mpaka sasa hivi. Huyu mama nilisham-nick name SUPER-WOMAN. Wapo wanawake ambao Mungu aliamua kuwabariki
 
Brother hakuna kabila linalokosa wahuni,ila kinachofanya sifa iwe kwa kabila fulani ni uwiano,mfano tukisema wakinga ndio matajiri wa kusini haimaanishi wote au makabila mengine hayana matajiri ila uwiano ndio unaoleta hiyo sifa.
Sawa mkuu nimekubari upo sahihi kabisa wala haujakosea na haujakosea tena,
 
Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,

Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
  • Wapo Loyal kwa waume zao​
  • Kudumu kwenye ndoa​
  • wavumilivu kwenye ndoa,​
  • Akina Segito​
  • -hawana tamaa ya mali,​
  • -Kujua kulea watoto​
  • -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume)​
  • Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.​
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.

Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.


JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
ni kutokana na tamaduni zao, zimewaweka kuwa hivyo.
 
Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,

Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
  • Wapo Loyal kwa waume zao​
  • Kudumu kwenye ndoa​
  • wavumilivu kwenye ndoa,​
  • Akina Segito​
  • -hawana tamaa ya mali,​
  • -Kujua kulea watoto​
  • -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume)​
  • Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.​
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.

Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.


JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?

Ulisikia wapi? Tuanzie hapo kwanza
 
Nani alikufundisha kuna tabia za kabila? Tukurudishe shule ukaanze A be che de?
 
Back
Top Bottom