Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaawe kumbeSi sababu si wazuri wa sura na umbo
Ushaona demu mbaya malayaAaawe kumbe
Ndio wapo wengi tu kwani vipi?Ushaona demu mbaya malaya
Atauzikaje sasa maana nenda kitambaa malaya wazuri kuliko wake zetu mbali kabisaNdio wapo wengi tu kwani vipi?
Si wanajitengeneza wapi umesikia kuna mwanamke mbaya?Atauzikaje sasa maana nenda kitambaa malaya wazuri kuliko wake zetu mbali kabisa
Sitaki tumdiscuss Ila sio kweliLuiza mbutu
Utakuwa una mke mbovu .waseminalinbwanaSitaki tumdiscuss Ila sio kweli
Hongera zake "mama Kozolaata"!😂Wanawake Wahehe ni wavumilivu kweli ninaye shemeji yangu mmoja mme wake aliyumba kiuchumi tukasema anaondoka zake lkn duuuhhh. Kuna wanawake wana akili na uvumilivu lkn yule shemeji yangu wa KIHEHE binti wa IPALAMWA Mungu akuweke sana kwa kumjali ndugu yetu. Wahehe wooote Ahsanteni kwa zawadi ile ya MAMA CONSOLATHA
Ūlīndanganu gete!Ni kubota haswa,wavumiliv tofaut na kina manka na saita!...japo kwangu nimechill na msukuma wangu hapa hakuna was wasi....lya bhatale elenele
Wakinga ni wavumilivu sanaaaa, ila usiombe uvumilivu wake ufike mwisho ndo utajua hujui... yani unaweza ulie hata machozi ya damu atakaza mpaka mwisho... Na kingine hawabembelezagi hata kama wana shida wanaona bora wakomae nazo kuliko kujishusha kuomba... Ila wako vizuri sanaa ni waaminifu na wanajali sana.,kwa wadada wanaotafuta ndoa nawashauri wakikutana na wakinga Wang'ang'anie kwelikweli, wana sifa zote za kiumeMwandishi ulisahau kusema Wabena, wahehe na WAKINGA…
Mboni umesema kwa wadada tu inamaana upande wa Pili ndio vile?Wakinga ni wavumilivu sanaaaa, ila usiombe uvumilivu wake ufike mwisho ndo utajua hujui... yani unaweza ulie hata machozi ya damu atakaza mpaka mwisho... Na kingine hawabembelezagi hata kama wana shida wanaona bora wakomae nazo kuliko kujishusha kuomba... Ila wako vizuri sanaa ni waaminifu na wanajali sana.,kwa wadada wanaotafuta ndoa nawashauri wakikutana na wakinga Wang'ang'anie kwelikweli, wana sifa zote za kiume
Sina experience na dada zao😃😃, sijui wana tabia zipiMboni umesema kwa wadada tu inamaana upande wa Pili ndio vile?
Kikoloni maana yake Nini? Maana Elimu ya mkoloni ilikuwa Bora kuliko huu wa Sasa. Utendaji BoraMikoa kama mtwara, Lindi, Tabora, Singida, Kigoma, n.k mabitni wanalelewa kikoloni mno
Tupo kawaida tu,dhaifu letu kubwa ni hasira,yani mkikosana afu akapotezea hehehehe! Kuwa makini sanaWahehe ni watu wenye tabia gani kama ukiamua kuoa au kuolewa nao??