Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
😂😁😆😅Wana sura mbovu na shape miyeyusho , hawana changamoto ya miluzi mingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😁😆😅Wana sura mbovu na shape miyeyusho , hawana changamoto ya miluzi mingi
Na WangoniiiKanda 2 pekee ndipo nilipokuta Ke wanaofanania na haiba ya kike TZ yote.
* Kanda ya ziwa (Wasukuma, Waha, Wajita, Wakurya, Wahaya, Wazanaki, Wajaluo).
* Kanda ya kusini (Wahehe, Wabena).
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
NjombeWabena ni wenyej wa wap?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weeKina Haule ni wangoni,
kina Haule Maarufu yupo Professor J
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ikifika kwa Wangoni nistue udugu.Wabena tumefikiwa [emoji4][emoji3]
Haule ni wa kunyumbaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haule ni songea hiyooo sio iringa
Ndiooo shoooHaule ni wa kunyumbaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ukanda wetu kaskazini ya mashariki he?Kanda 2 pekee ndipo nilipokuta Ke wanaofanania na haiba ya kike TZ yote.
* Kanda ya ziwa (Wasukuma, Waha, Wajita, Wakurya, Wahaya, Wazanaki, Wajaluo).
* Kanda ya kusini (Wahehe, Wabena).
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mmmh! Hao si aina ya wale Watu wasemao "wamepewa bure K nao hawana haja ya kutotoa bure kwa yeyote"?Na Wangoniii
Huo ukanda labda kwa wengine ila binafsi sikubahatika kabisa isipokuwa Mmasai mmoja tu, ila Wamburu, Wairaki, Wachaga, Wameru wote nilikutana nao lakini walinishinda tabia kwa ubabe wa kipuuzi na kuwa kimasilahi zaidi.Huu ukanda wetu kaskazini ya mashariki he?
Tunu Mwalongo nakukumbuka sana mamaa.Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,
Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.
Wapo Loyal kwa waume zao Kudumu kwenye ndoa wavumilivu kwenye ndoa, Akina Segito -hawana tamaa ya mali, -Kujua kulea watoto -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume) Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.
Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.
JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Sidhani Kama Kuna mtu asiye mmeru ameoa mmeru. Ile mbegu Ni tofauti kabisa na Hawa wengine.Huo ukanda labda kwa wengine ila binafsi sikubahatika kabisa isipokuwa Mmasai mmoja tu, ila Wamburu, Wairaki, Wachaga, Wameru wote nilikutana nao lakini walinishinda tabia kwa ubabe wa kipuuzi na kuwa kimasilahi zaidi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na huo ndio ukweli mkuu!!Ni washirikina so poa...yupo mmoja ni mke wa uncle...kachangia sanaa kumuondoa na sasa hiv kauza magari aliyoacha..wabena hapana aysee...labda wahehe kidogo
Ila wana K kubwa sana sijui kwanini na kwa Sisi wenye Vikaroti huwa tunapwaya mno Shimoni.Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,
Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.
Wapo Loyal kwa waume zao Kudumu kwenye ndoa wavumilivu kwenye ndoa, Akina Segito -hawana tamaa ya mali, -Kujua kulea watoto -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume) Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.
Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.
JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
NaelewaaaaaNdiooo shooo