Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

Tabia za wanawake ( wahehe& wabena)

1.Kuvaa kama wanawake yaani yale mavazi ya heshima .

2.kujua nafasi yao kama wanawake.
3. Wana roho nzuri kwa asili .
4.Wavumilivu na wanaweza kuishi maisha ya aina yeyote.
5.Heshima ,utii na adabu.
6.Uchapakazi .

Tatizo lao haswa wabena .

1.Wanapenda sana kunywa pombe za kienyeji na hapo ndo wanatoa utu wao kwa mda ,Yaani mtu akilewa anaweza kuleta mambo ya hovyo ila tabia yake ni nzuri sema pombe inamuendesha vibaya.
 
Huu ukanda wetu kaskazini ya mashariki he?
Huo ukanda labda kwa wengine ila binafsi sikubahatika kabisa isipokuwa Mmasai mmoja tu, ila Wamburu, Wairaki, Wachaga, Wameru wote nilikutana nao lakini walinishinda tabia kwa ubabe wa kipuuzi na kuwa kimasilahi zaidi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,

Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
  • Wapo Loyal kwa waume zao​
  • Kudumu kwenye ndoa​
  • wavumilivu kwenye ndoa,​
  • Akina Segito​
  • -hawana tamaa ya mali,​
  • -Kujua kulea watoto​
  • -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume)​
  • Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.​
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.

Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.


JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Tunu Mwalongo nakukumbuka sana mamaa.
 
Huo ukanda labda kwa wengine ila binafsi sikubahatika kabisa isipokuwa Mmasai mmoja tu, ila Wamburu, Wairaki, Wachaga, Wameru wote nilikutana nao lakini walinishinda tabia kwa ubabe wa kipuuzi na kuwa kimasilahi zaidi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sidhani Kama Kuna mtu asiye mmeru ameoa mmeru. Ile mbegu Ni tofauti kabisa na Hawa wengine.
 
Ni washirikina so poa...yupo mmoja ni mke wa uncle...kachangia sanaa kumuondoa na sasa hiv kauza magari aliyoacha..wabena hapana aysee...labda wahehe kidogo
Na huo ndio ukweli mkuu!!

Hawana kelele lakini wanna calculated movement!!

Leta ndugu zako nyumbani ndio utawajua,lakini ukiwa unaishi nae ni mkimya na atakusapoti KWA KILA kitu SASA jichanganye leta mama mkwe au ndugu ndio utamjua atasema HADI siri za ndani KWA majirani !!

Halafu ushirikina ndio usiseme japo wanajifanya wakristo tena wa vipaimara na komnio!!!

Hao wabena hapana mkuu niliona hiyo !!
 
Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,

Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
  • Wapo Loyal kwa waume zao​
  • Kudumu kwenye ndoa​
  • wavumilivu kwenye ndoa,​
  • Akina Segito​
  • -hawana tamaa ya mali,​
  • -Kujua kulea watoto​
  • -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume)​
  • Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.​
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.

Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.


JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Ila wana K kubwa sana sijui kwanini na kwa Sisi wenye Vikaroti huwa tunapwaya mno Shimoni.
 
Back
Top Bottom