Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
🙃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliesema kaskazin usioe Hana tofaut na wewe...sema umeweka ujumuish wakat kiuhalisia ndo kama hivo wengi wao ni washirikina...kwa mbali labda wahehe..Ingependeza usome post nzima, Juu kabisa ya post imeweka wazi sifa ya kabila flani sio kwa kila mtu bali imezoeleka kwa wengi (sio wote), kumcheki moja moja ni sawa na kumkuta mhaya ambae hajaenda shule useme kwamba wahaya hawajaelimika
Ndiyo maana wengi wao wanafuga vibentenMwanamke wa Kinyakyusa anapenda kumtawala mume. Ni wachapakazi ila shida yao ni hapo. Ukienda nyumba yenye mke mnyakyusa utajionea anavyompanda mumewe kichwani
Kweli aisee
Kabisa wanaasili ya kiburi Kwa ndani lakini mambo mengi ni mazuri.Iringa wazee wengi walilea watoto wao kikoloni kweli kweli.
wataachaje kuwa wakujishusha na kunyenyekea hata kama Wana asili ya kiburi kwa ndani.
sio wanawake tu, hata wanaume ni wavumilivu sana, ila uvumilivu ukiwashinda utaomba poo na huwa hawajibembelezi sanaa. Hii ndio ilifanya Nyerere akawa anawachukua wengi kuwa TISS, zamani tiss wengi walitoka uheheni kwasababu ya roho ngumu ya kutunza siri na uvumilivu. kwa wale wakongwe mnakumbuka zamani ilikuwa obvious, tiss ni uheheni, bima wanyakyusa, TRA wachagga, hao wengine waliobaki walikuwa wasindikizaji tu. hadi leo wahehe wengi sana ni TISS.
Na mi huwa nasikia hivyo na huwezi amini watumishi wengi wa Mungu wa kweli wake zao pia ni kabila hizo 2 ,waliopo nje ya hapo majanga wengi na huduma zimekufa wengine ndo hivyo Tena ...Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,
Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
Hata mimi nimekutana na wanawake wengi mashuleni, mtaani, majirani, n.k. katika wale wabena na wahehe ambao nawajua wameolewa ni nadra sana kusikia ndoa zao zina drama na scandal.
Wapo Loyal kwa waume zao Kudumu kwenye ndoa wavumilivu kwenye ndoa, Akina Segito -hawana tamaa ya mali, -Kujua kulea watoto -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume) Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.
Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.
JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Sikuhizi mambo ya kujinyonga hakuna, ile ilikuwa ni spirit kutoka Kwa mkwawa....waombaji wamesimama kwenye zamu Yao ni salama kabisaaKikubwa ujitahidi kuwa Mkweli na Royal kwake. Atakupenda sana na atakufanyia kila jambo lkn chonde chond
chondeeee
Mkuu wapo wazuri tatizo wanataka all the time uwe na akili zako timamu 100% ukiwatenda tuuu Utamkuta ndani kajitundika si unajua wao na Kamba shingoni ni sawa na Mmasai na Rungu kiunoni.
Atakupenda sana, atakulelea watoto sana, mzigo atakupa wewe peke ako tuu lkn usilogwe kumtenda. Wale watu hawana kifua cha kuweka stress kabisaaaaa kabla ya kuamua kuwa nao malizana kwanza na ujinga wa kula pembeni Kimasikhara kwanza
Mi niliowaona wengi wazuri tu,sema hawana mambo mengi ,hasa hayo ya kubandika kucha,kope,sijui mawigi etcWana sura mbovu na shape miyeyusho , hawana changamoto ya miluzi mingi
Huyo mbena ,mama ake pia mbena?Ni washirikina so poa...yupo mmoja ni mke wa uncle...kachangia sanaa kumuondoa na sasa hiv kauza magari aliyoacha..wabena hapana aysee...labda wahehe kidogo
Asili yake ni mmbena...sijajua mama yake ni WA wapHuyo mbena ,mama ake pia mbena?
Haule ni songea hiyooo sio iringaNdiyo kina Haule?, Basi kama ni hao, kuna mmoja hapa kaolewa na harusi Kanisani kwetu ni hata mwaka haujaìsha wameachana.
Ok, maana unaweza Kuta mama sio mbena na karithi huko pia....Asili yake ni mmbena...sijajua mama yake ni WA wap
🤔🤔Kumbee!?Mwanamke wa Kinyakyusa anapenda kumtawala mume. Ni wachapakazi ila shida yao ni hapo. Ukienda nyumba yenye mke mnyakyusa utajionea anavyompanda mumewe kichwani
Noma sana mkuu muulize To yeye atakwambia🤔🤔Kumbee!?
Hapana nawatetea, nimeishi zaidi ya 10 yrs iringa!Aliesema kaskazin usioe Hana tofaut na wewe...sema umeweka ujumuish wakat kiuhalisia ndo kama hivo wengi wao ni washirikina...kwa mbali labda wahehe..
Watu hamuelewi wahehe, hawana kiburi ila hawapendi dharau na kujibembeleza, yaani hata km ana shida Yuko radhi afe nayo ila sio ajibembeleze Kwa mtuKabisa wanaasili ya kiburi Kwa ndani lakini mambo mengi ni mazuri.