Sabaya alitia chumvi kwenye Engine gari la Mbowe

Sabaya alitia chumvi kwenye Engine gari la Mbowe

Mme kasahau ka Patrobas Katambi kalivyo kuwa kaaitisha vyombo vya habari kumchafua Mbowe na Lisu sasahivi kamejificha kwenye mti wa muhindi
Alikuwa anakimbia kwa kasi kuliko miguu yake.
Kutunga tunga vihadithi mbuzi kuhusu upinzani na wapinzani ili kumfurahisha Jiwe ilionekana kama njia kwa wenye tamaa za kishetani.
Sasa ataisubili miguu yake kwanza na wapo wengi wa aina hiyo akiwamo Ndugai.
 
Huo uhalifu, hakuwahi kutumwa na mtu. Alifanya mwenyewe. Abebe msalaba wake yeye kama yeye.
 
Mnapotumia maandiko ya watu MSISAHAU CITATION.
PARAGARISM haifai..

#YNWA
 
Kama Ni kweli hicho kilichoandikwa kumhusu huyu jamaaa, Basi Kuna Mengi Mabaya Tena kuanzia kwa familia yake.

Ila nahisi kabisa atakuwa kajiona mjinga Sana maana CV yake keshaichafua Sana na Kama ana pesa itaisha tu. Maana Jina lake limeshaanza kumsadifu.
ukishapata doa kama hili. hata kama ukirudi. huto aminika na taasisi yoyote
 
Habari hizi ziwafikie manyapara walioko kisongo, wafanye maamuzi ya 'kumtilia chumvi ya kutosha mara kwa mara kwenye engine.'
 
Sabaya alikuwa mmoja ya madc wenye maadili ya juuu, mno kumzid hata msando albert
albert msando ni wakili tu. si dc
pili maadali yanapimwa na perfomance yake kazini. sio kwa maneno unayoyasema ww.

serikal ya ccm imeona hana hana maadili. amekosa maadali ya kiuongozi. wamefungua kesi.
ww huwez kubadili upepo wa kesi yake kwa kusema tu "ana maadili kuliko flani"
ulikuwa bosi wake ? but even though, can you prove in court?
 
albert msando ni wakili tu. si dc
pili maadali yanapimwa na perfomance yake kazini. sio kwa maneno unayoyasema ww.

serikal ya ccm imeona hana hana maadili. amekosa maadali ya kiuongozi. wamefungua kesi.
ww huwez kubadili upepo wa kesi yake kwa kusema tu "ana maadili kuliko flani"
ulikuwa bosi wake ? but even though, can you prove in court?
Sabaya akiwa Dc alikuwa kiongozi mchapakazi kuliko wote Africa
 
Back
Top Bottom