Huyo ni mfungwa akiwa amefanya fujo anapewa adhabu na kutulizwa na wajela jela kama kawa.Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Mambo ya kifo tumuachie mwenye pumzi yake, unless kuna tukio linaandaliwa unalolifahamu.Kwa sasa Sabaya anaishi kwa pesa za ndugu zake maana serikali imemkausha kila kitu.
Hata akiachiwa atakaa muda mfupi na kuzikwa
Du! Hatari sanaYaani kama kuna uwezekano ahasiwe kabisa asije akazaa kizazi kichafu kama yeye.
Atavuna alichopanda ila sio sawa kama waliomshambulia ni askariKwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Hivi mbona huyu wameamua kumkaanga na kumkausha haswa kuliko yule mwenzake wa Koromije ?Kwa sasa Sabaya anaishi kwa pesa za ndugu zake maana serikali imemkausha kila kitu.
Hata akiachiwa atakaa muda mfupi na kuzikwa
Acha bwana, hivi kwa nini unataka kumpangia Bwana Nyapara kazi ya kufanya muda wa jioni ukifika...?Cha muhimu wasimbake lakini kiboko wamchape kimuingie vizuri.
Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husi
we ulikuwa gerezani? Acha kuleta uzushi. Hata hivyo km alikuwa anavunja taratibu za magereza lazima ashughulikiweKwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Bado kale ka kibri hakajaisha sawasawa kwanini wasimtwange miaka mingine huko lupango?Pole zake sana anatakiwa atii mamlaka za gereza asijione yuko juu na kuwadharau bwana jela
Mbowe fundi!Kama kweli basi ndoto ya mama kumfurahisha mbowe kisiasa itakuwa imetimia.
Hawakujua kwamba Jamaa ni M/K wa Ulinzi na Usalama wa eneo husika?MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI [emoji1][emoji1][emoji28][emoji1474]
Hahaaaa, hohehahe acha Roho Mbaya kwa binadamu mwenzakoHatujali! SISI TUNAFURAHI HUYO BWANA HATA AKING'OLEWA MENO KWA KIPIGO 😊👍🏾