Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Ni zamu yake kudeki selo anagoma sio[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilitakiwa wamuue kabisaKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Wanatest ili kuona raia wanasemaje juu yake.Nahisi hii ni mind game kwa watawala, kwanza mmeanza anaachiwa tarehe 15, then kapigwa, hizi taarifa mnazipata wapi?
Mbona zinafuatana sana kumuhusu mtu mmoja?
Ni kweli....ila bado ana haki zake kama mahabusu...Pole zake sana anatakiwa atii mamlaka za gereza asijione yuko juu na kuwadharau bwana jela
Labda ateuliwe kutoka kaburini ChatoAkitoka tu anakuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, hao asikari wamsubiri.
Duh mbona unamchukia sana huyo mtuYaani kama kuna uwezekano ahasiwe kabisa asije akazaa kizazi kichafu kama yeye.
Mind game hii....huenda wanaandaa mazingira ya kumuachia huru...tuliosoma cuba tumeshajua the motive behind ya hii thread.
soon atakuwa uraiani, ila nyinyi wafaidika wake, mwambieni huku mtaani hali imeshabadilika, hakuna ule ushamba wa kutishana na kuulizana wapi umetoa pesa.
watu wanajiachia na fedha zao bila hofu.
Makonda si ndio kakimbilia nchi jirani ,ukweni huko.Huyu wangetoa kabisa korodani. Bado Makonda.
Duh mbona unamchukia sana huyo mtu
Hata unataka ahasiwe? Hutaki awe na kizazi
Hahaaa akikujua yule mwamba atakuzinguaMbegu chafu hiyo.
Alikuwa Kaliwa jicho!Hivi ulikuwa unafuatilia kipindi kile anapelekwa mahakamani? Kuna nyakati alikuwa anachrchemea ulijua ni kwanini?
SABAYA MMOJA vs CHADEMA YOTE NA WANACHAMA WAKESabaya kaolewa gerezani.
Tafakari wema wako kwa watu kisha jiulize wanapokulaumu wanatoa wapi hizo guts za lawama?Hatujali! SISI TUNAFURAHI HUYO BWANA HATA AKING'OLEWA MENO KWA KIPIGO 😊👍🏾