Sabaya na wenzake washinda Rufaa dhidi ya Serikali kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha



Kwamba?? High court za Tanzania ni mavi matupu??

Hujaumaliza mwendo bado, angalia sana unapokanyaga. Sana.
 
Kangaroo courts hizi.Hazina jipya.Hakika MAMA anaupiga mwingi hadi anapiga mtu GWALA 5.
 
Mako mwenezi sabaya kashinda rufaa. The team is back!! What we gona do mamen is back around !?
 
Kooo kooo kooo 🤣🤣🤣.


Mama aliacha afanye weeeee anayoweza, na chawa pia wakaachwa wafanye weee wanayoyaweza.

Sasa ipo hivi, Kila chawa ana Faili lake .


Vipi WATU wafikishwe mahakaman, au tukae mezan kwanza, Tim Msoga Vs Tim JPM ?.

Kwakua nanyie mafaili yenu yapo, Nasisi Vijana wetu wawe huru !!!!.


Na Bado... Huku Makonda, kule Sabaya !!.
 
Rekebisha heading tukasherehekee kaka:

SERIKALI YASHINDWA RUFAA YAKE DHIDI YA SABAYA
 
Kwamba hadi wale wananchi waliokatwa masikio na kuingiliwa kinyume kule Hai walikuwa wanamsingizia?
Yule Ustaadh aliyevamiwa dukani kama jambazi, na wale wamiliki wa Hotels na wafanyabiashara je?
Sawa
Wewe mamlaka ya kuhukumu umetoa wapi?

Mahakama imekataa wewe unafosi.

Punguzeni Wivu
 
Dah kwel naamin weng chuki huzima mpaka uwezo wa kufikiri.hiv mnaona mahakama hawajui nyie ndio mnajua na mnataka mtu akutwe na hatia hata kama hana.shida sabaya au kitu ki gine? Kashinda mnaumia au kwa vile sio ndugu yako unataka ateseke
 
Safi kabisa. Asante Mungu kwa hili. Mungu ni mwema. Hukumu imejieleza.
 
The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaepa? chini ya viapo vyao?
Tulijua ni njia za kumsafisha.
Mahakama za Tanzania ni laana toka kuzimu.
Yaani hukumu huandikwa na kitengo wao ni kosoma tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…