Sabaya ole Lengai dawa ya Mafisadi, karibu tuwatibu wagonjwa wenye ugonjwa wa ufisadi, wizi na wauza madawa ya kulevya

Sabaya ole Lengai dawa ya Mafisadi, karibu tuwatibu wagonjwa wenye ugonjwa wa ufisadi, wizi na wauza madawa ya kulevya

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Welcome back hero. Uliipigania nchi yako, ulisimama kizalendo kudeal na wauza madawa ya kulevya, waiba magari ya watanzania na kuyapeleka kwa jirani, wahujumu uchumi na wakwepa kodi. Uliipigania nchi yako ili mapato ya serikali yako yaongezeke Taifa lako litekeleze miradi yake kwa fedha za ndani, yote hayo hawakuyaona wakakufunga kwa kukuonea.

Samia na wenzake wanajichanganya kwa kutuambia Magufuli alishindwa kutengeneza mahusiano na nchi za magahribi n.k lakini kwa kuwa muongo husahau haraka anarudi tena na kuwambia watanzania Magufuli alikopa sana.

Sawali ni je kama Magufuli alishindwa kujenga mahusiano na hao wamagharibi, WB na IMF hayo mapesa mengi alikopeshwa na nani? Au walimkopesha wao? Wazalendo hatupotezi muda we know kuwa wanashindana na Maiti. Maiti ya shujaa wa Taifa letu ina nguvu kuliko wao. Baba etu aliwashinda akiwa hai na bado anawashinda akiwa amelala zake.

Leo sheria za nchi yetu zimekuweka huru. Ni sheria hizohizo zilizokuweka huru leo ndizo kesho tutakazozitumia kuwahukumu wote ambao kwa namna moja ama nyengine walihusika kuudhulumu uhai wa Rais wetu Magufuli. Hii ni lazima ifanyike ni suala la muda tu.

Sabaya wewe ni shujaa broo, uliimba wimbo mmoja na Rais Magufuli ndiyo maana alikuelewa na walipokuja wacheza muvi wakashindwa kukuelewa. Uliipigania ardhi ya Taifa letu kwa kuweka maisha yako rehani ukideal na mitandao hatari iliyoshindikana huko nyuma na trust me siku moja Taifa lako litakurudishia mataji yako yote na kukupa ya ziada kipindi cha mpito kikipita.

Harakati za ukombozi wa Taifa letu toka kwenye mikono ya mafisadi zinaendelea na kazi hii hatuwezi kuifanya bila kuilinda kwa nguvu zote legacy ya shujaa wetu Magufuli.

Hili tunapambana kwa jasho na damu maana hawa madhalimu wakishinda maana yake nguvu yao ni kubwa kuliko Taifa letu na kamwe hatuwezi kukubali Taifa letu kushindwa. Siku zote Taifa letu ni Taifa la ushindi na lazima tushinde hata ikiwa sote tutashuhudia matoni yetu ya mwisho ya damu yakimwagika tukiwa chini ya bendera ya nchi yetu.

Viva Tanzania, Rest in Power JPM.
Karibu uraiani Power Sabaya, njoo tushirikiane tushinikize UCHUNGUZI HURU WA KIFO CHA RAIS WETU MAGUFULI.
 
Technicalities katika uendeshaji wa kesi na kumuondolea hukumu mhalifu hazimuondolei pia ushenzi wake alioufanya katika jamii. Jamii inakumbuka kila jambo alilofanya akiwa DC na ulinzi wa dola akitembea nao.
Ni kwa vile sasa hivi hatoki jela kwani ana kesi nyingine ya uhujumu, lakini vinginevyo tungewaambia akatembelee mitaa ya Arusha mjini au kule Kilimanjaro muone bila ulinzi kama hata pigwa kama kibaka
 
Welcome back hero. Uliipigania nchi yako, ulisimama kizalendo kudeal na wauza madawa ya kulevya, waiba magari ya watanzania na kuyapeleka kwa jirani, wahujumu uchumi na wakwepa kodi. Uliipigania nchi yako ili mapato ya serikali yako yaongezeke Taifa lako litekeleze miradi yake kwa fedha za ndani, yote hayo hawakuyaona wakakufunga kwa kukuonea.

Samia na wenzake wanajichanganya kwa kutuambia Magufuli alishindwa kutengeneza mahusiano na nchi za magahribi n.k lakini kwa kuwa muongo husahau haraka anarudi tena na kuwambia watanzania Magufuli alikopa sana.

Sawali ni je kama Magufuli alishindwa kujenga mahusiano na hao wamagharibi, WB na IMF hayo mapesa mengi alikopeshwa na nani? Au walimkopesha wao? Wazalendo hatupotezi muda we know kuwa wanashindana na Maiti. Maiti ya shujaa wa Taifa letu ina nguvu kuliko wao. Baba etu aliwashinda akiwa hai na bado anawashinda akiwa amelala zake.

Leo sheria za nchi yetu zimekuweka huru. Ni sheria hizohizo zilizokuweka huru leo ndizo kesho tutakazozitumia kuwahukumu wote ambao kwa namna moja ama nyengine walihusika kuudhulumu uhai wa Rais wetu Magufuli. Hii ni lazima ifanyike ni suala la muda tu.

Sabaya wewe ni shujaa broo, uliimba wimbo mmoja na Rais Magufuli ndiyo maana alikuelewa na walipokuja wacheza muvi wakashindwa kukuelewa. Uliipigania ardhi ya Taifa letu kwa kuweka maisha yako rehani ukideal na mitandao hatari iliyoshindikana huko nyuma na trust me siku moja Taifa lako litakurudishia mataji yako yote na kukupa ya ziada kipindi cha mpito kikipita.

Harakati za ukombozi wa Taifa letu toka kwenye mikono ya mafisadi zinaendelea na kazi hii hatuwezi kuifanya bila kuilinda kwa nguvu zote legacy ya shujaa wetu Magufuli.

Hili tunapambana kwa jasho na damu maana hawa madhalimu wakishinda maana yake nguvu yao ni kubwa kuliko Taifa letu na kamwe hatuwezi kukubali Taifa letu kushindwa. Siku zote Taifa letu ni Taifa la ushindi na lazima tushinde hata ikiwa sote tutashuhudia matoni yetu ya mwisho ya damu yakimwagika tukiwa chini ya bendera ya nchi yetu.

Viva Tanzania, Rest in Power JPM.
Karibu uraiani Power Sabaya, njoo tushirikiane tushinikize UCHUNGUZI HURU WA KIFO CHA RAIS WETU MAGUFULI.
Na uzuri hao mafisadi wote mko nao huko chama cha mboga mboga
 
Welcome back hero. Uliipigania nchi yako, ulisimama kizalendo kudeal na wauza madawa ya kulevya, waiba magari ya watanzania na kuyapeleka kwa jirani, wahujumu uchumi na wakwepa kodi. Uliipigania nchi yako ili mapato ya serikali yako yaongezeke Taifa lako litekeleze miradi yake kwa fedha za ndani, yote hayo hawakuyaona wakakufunga kwa kukuonea.

Samia na wenzake wanajichanganya kwa kutuambia Magufuli alishindwa kutengeneza mahusiano na nchi za magahribi n.k lakini kwa kuwa muongo husahau haraka anarudi tena na kuwambia watanzania Magufuli alikopa sana.

Sawali ni je kama Magufuli alishindwa kujenga mahusiano na hao wamagharibi, WB na IMF hayo mapesa mengi alikopeshwa na nani? Au walimkopesha wao? Wazalendo hatupotezi muda we know kuwa wanashindana na Maiti. Maiti ya shujaa wa Taifa letu ina nguvu kuliko wao. Baba etu aliwashinda akiwa hai na bado anawashinda akiwa amelala zake.

Leo sheria za nchi yetu zimekuweka huru. Ni sheria hizohizo zilizokuweka huru leo ndizo kesho tutakazozitumia kuwahukumu wote ambao kwa namna moja ama nyengine walihusika kuudhulumu uhai wa Rais wetu Magufuli. Hii ni lazima ifanyike ni suala la muda tu.

Sabaya wewe ni shujaa broo, uliimba wimbo mmoja na Rais Magufuli ndiyo maana alikuelewa na walipokuja wacheza muvi wakashindwa kukuelewa. Uliipigania ardhi ya Taifa letu kwa kuweka maisha yako rehani ukideal na mitandao hatari iliyoshindikana huko nyuma na trust me siku moja Taifa lako litakurudishia mataji yako yote na kukupa ya ziada kipindi cha mpito kikipita.

Harakati za ukombozi wa Taifa letu toka kwenye mikono ya mafisadi zinaendelea na kazi hii hatuwezi kuifanya bila kuilinda kwa nguvu zote legacy ya shujaa wetu Magufuli.

Hili tunapambana kwa jasho na damu maana hawa madhalimu wakishinda maana yake nguvu yao ni kubwa kuliko Taifa letu na kamwe hatuwezi kukubali Taifa letu kushindwa. Siku zote Taifa letu ni Taifa la ushindi na lazima tushinde hata ikiwa sote tutashuhudia matoni yetu ya mwisho ya damu yakimwagika tukiwa chini ya bendera ya nchi yetu.

Viva Tanzania, Rest in Power JPM.
Karibu uraiani Power Sabaya, njoo tushirikiane tushinikize UCHUNGUZI HURU WA KIFO CHA RAIS WETU MAGUFULI.
Maneno mazito kama ni kweli watu wanayaishi !! Lakini lazima tujue kwamba Strong institution ni muhimu zaidi !! Ili tuweze kupiga hatua za maendeleo kwa haraka !! Maana ukitegemea Strong man pekee katika nchi ujue akiondoka tunarudi tulikotoka !!
 
Huyo jamaa ni kiboko ya majambazi,mafisadi,wakwepa kodi,wababaishaji,wahuni,na wengineo wanaofanana na hao..kilimanjaro wakisikia jina la Sabaya wanatafuta kichaka cha kujificha...wanamjua vizuri sana
 
Technicalities katika uendeshaji wa kesi na kumuondolea hukumu mhalifu hazimuondolei pia ushenzi wake alioufanya katika jamii. Jamii inakumbuka kila jambo alilofanya akiwa DC na ulinzi wa dola akitembea nao.
Ni kwa vile sasa hivi hatoki jela kwani ana kesi nyingine ya uhujumu, lakini vinginevyo tungewaambia akatembelee mitaa ya Arusha mjini au kule Kilimanjaro muone bila ulinzi kama hata pigwa kama kibaka
Kama ambavyo Jamhuri kutokuendelea na kesi haimuondolei ugaidi... Jinai haifi.
 
Welcome back hero. Uliipigania nchi yako, ulisimama kizalendo kudeal na wauza madawa ya kulevya, waiba magari ya watanzania na kuyapeleka kwa jirani, wahujumu uchumi na wakwepa kodi. Uliipigania nchi yako ili mapato ya serikali yako yaongezeke Taifa lako litekeleze miradi yake kwa fedha za ndani, yote hayo hawakuyaona wakakufunga kwa kukuonea.

Samia na wenzake wanajichanganya kwa kutuambia Magufuli alishindwa kutengeneza mahusiano na nchi za magahribi n.k lakini kwa kuwa muongo husahau haraka anarudi tena na kuwambia watanzania Magufuli alikopa sana.

Sawali ni je kama Magufuli alishindwa kujenga mahusiano na hao wamagharibi, WB na IMF hayo mapesa mengi alikopeshwa na nani? Au walimkopesha wao? Wazalendo hatupotezi muda we know kuwa wanashindana na Maiti. Maiti ya shujaa wa Taifa letu ina nguvu kuliko wao. Baba etu aliwashinda akiwa hai na bado anawashinda akiwa amelala zake.

Leo sheria za nchi yetu zimekuweka huru. Ni sheria hizohizo zilizokuweka huru leo ndizo kesho tutakazozitumia kuwahukumu wote ambao kwa namna moja ama nyengine walihusika kuudhulumu uhai wa Rais wetu Magufuli. Hii ni lazima ifanyike ni suala la muda tu.

Sabaya wewe ni shujaa broo, uliimba wimbo mmoja na Rais Magufuli ndiyo maana alikuelewa na walipokuja wacheza muvi wakashindwa kukuelewa. Uliipigania ardhi ya Taifa letu kwa kuweka maisha yako rehani ukideal na mitandao hatari iliyoshindikana huko nyuma na trust me siku moja Taifa lako litakurudishia mataji yako yote na kukupa ya ziada kipindi cha mpito kikipita.

Harakati za ukombozi wa Taifa letu toka kwenye mikono ya mafisadi zinaendelea na kazi hii hatuwezi kuifanya bila kuilinda kwa nguvu zote legacy ya shujaa wetu Magufuli.

Hili tunapambana kwa jasho na damu maana hawa madhalimu wakishinda maana yake nguvu yao ni kubwa kuliko Taifa letu na kamwe hatuwezi kukubali Taifa letu kushindwa. Siku zote Taifa letu ni Taifa la ushindi na lazima tushinde hata ikiwa sote tutashuhudia matoni yetu ya mwisho ya damu yakimwagika tukiwa chini ya bendera ya nchi yetu.

Viva Tanzania, Rest in Power JPM.
Karibu uraiani Power Sabaya, njoo tushirikiane tushinikize UCHUNGUZI HURU WA KIFO CHA RAIS WETU MAGUFULI.
SABAYA ni JAMBAZI kama MAJAMBAZI WENGINE Ametolewa MENO hana wa Kumtisha tena Hana Cheo sana Yeye ndio ATAWINDWA na Aliowadhurumu

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Welcome back hero. Uliipigania nchi yako, ulisimama kizalendo kudeal na wauza madawa ya kulevya, waiba magari ya watanzania na kuyapeleka kwa jirani, wahujumu uchumi na wakwepa kodi. Uliipigania nchi yako ili mapato ya serikali yako yaongezeke Taifa lako litekeleze miradi yake kwa fedha za ndani, yote hayo hawakuyaona wakakufunga kwa kukuonea.

Samia na wenzake wanajichanganya kwa kutuambia Magufuli alishindwa kutengeneza mahusiano na nchi za magahribi n.k lakini kwa kuwa muongo husahau haraka anarudi tena na kuwambia watanzania Magufuli alikopa sana.

Sawali ni je kama Magufuli alishindwa kujenga mahusiano na hao wamagharibi, WB na IMF hayo mapesa mengi alikopeshwa na nani? Au walimkopesha wao? Wazalendo hatupotezi muda we know kuwa wanashindana na Maiti. Maiti ya shujaa wa Taifa letu ina nguvu kuliko wao. Baba etu aliwashinda akiwa hai na bado anawashinda akiwa amelala zake.

Leo sheria za nchi yetu zimekuweka huru. Ni sheria hizohizo zilizokuweka huru leo ndizo kesho tutakazozitumia kuwahukumu wote ambao kwa namna moja ama nyengine walihusika kuudhulumu uhai wa Rais wetu Magufuli. Hii ni lazima ifanyike ni suala la muda tu.

Sabaya wewe ni shujaa broo, uliimba wimbo mmoja na Rais Magufuli ndiyo maana alikuelewa na walipokuja wacheza muvi wakashindwa kukuelewa. Uliipigania ardhi ya Taifa letu kwa kuweka maisha yako rehani ukideal na mitandao hatari iliyoshindikana huko nyuma na trust me siku moja Taifa lako litakurudishia mataji yako yote na kukupa ya ziada kipindi cha mpito kikipita.

Harakati za ukombozi wa Taifa letu toka kwenye mikono ya mafisadi zinaendelea na kazi hii hatuwezi kuifanya bila kuilinda kwa nguvu zote legacy ya shujaa wetu Magufuli.

Hili tunapambana kwa jasho na damu maana hawa madhalimu wakishinda maana yake nguvu yao ni kubwa kuliko Taifa letu na kamwe hatuwezi kukubali Taifa letu kushindwa. Siku zote Taifa letu ni Taifa la ushindi na lazima tushinde hata ikiwa sote tutashuhudia matoni yetu ya mwisho ya damu yakimwagika tukiwa chini ya bendera ya nchi yetu.

Viva Tanzania, Rest in Power JPM.
Karibu uraiani Power Sabaya, njoo tushirikiane tushinikize UCHUNGUZI HURU WA KIFO CHA RAIS WETU MAGUFULI.
Mke wake na ile Vieteee kavikuta?
 
Technicalities katika uendeshaji wa kesi na kumuondolea hukumu mhalifu hazimuondolei pia ushenzi wake alioufanya katika jamii. Jamii inakumbuka kila jambo alilofanya akiwa DC na ulinzi wa dola akitembea nao.
Ni kwa vile sasa hivi hatoki jela kwani ana kesi nyingine ya uhujumu, lakini vinginevyo tungewaambia akatembelee mitaa ya Arusha mjini au kule Kilimanjaro muone bila ulinzi kama hata pigwa kama kibaka
Hawajui kuwa amesharejeshwa gerezani
 
Sijui hawajasoma hii?

IMG-20220507-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom