Sadaka kumpa mzazi ni bora kuliko kuipeleka kwenye nyumba za ibada

Sadaka kumpa mzazi ni bora kuliko kuipeleka kwenye nyumba za ibada

Hata hiyo ya kanisani itaenda kutumiwa hivyo nayo ni matumizi.

Sadaka ni neno tu lakini lengo ni moja kufanya matumizi.
ni neno limelainishwa kuwafanya watu watoe kwa kuogopa adhabu ya Mungu.
 
Duh huo mtihani
Ndiyo hicho sasa, na analaumiwa mpaka kesho kwanini kijana asomeshi watoto wake wa mchepuko shule za private wakati yeye mali zake kala na michepuko zimeisha sasa anataka watoto wasome shule nzuri!
 
Ndiyo hicho sasa, na analaumiwa mpaka kesho kwanini kijana asomeshi watoto wake wa mchepuko shule za private wakati yeye mali zake kala na michepuko zimeisha sasa anataka watoto wasome shule nzuri!
Ni kweli hiyo kesi nyingine
 
Kama una laki moja yako usiipeleke msikitini/kanisani kwanza fikiria mama yako hana shida binafsi ambazo anaweza kutatua kwa pesa hiyo?

Baba je?

Ndugu wengine wa karibu?

Kuna watu wazazi wao wanahangaika kutafuta ugali wa siku mtu ile package ya kula wiki hana lakini mtu huyu anachukua pesa anapeleka kwenye nyumba ya ibada.

Mungu anakuona aisee, hautaadhibiwa na Mungu kwa nini pesa yako ulimpa mzazi akatatue shida zake wakati nyumba ya ibada haijapigwa rangi n.k

Lakini Mungu anaweza kukutia adabu kwa nini mzazi wako alilala njaa wakati wewe ulipeleka pesa kwingine.

Lengo la sadaka ni kuwasaidia wasiojiweza, sasa kama mzazi wako naye hajiwezi msapoti.

Kuna kitabu nilikichungulia kinasema toa walau 10% ya kipato chako ukatoe sadaka.

Niliamua tu sadaka yangu hiyo 10% nawapa wazazi. Sina maana ya kukosoa sadaka lakini nakumbusha tu wazee wetu wana dhiki nyingi, tusijifanye wema sana kwenye nyumba za ibada wakati wazee wetu hilo salio lingewasaidia.

Wema, sadaka huanzia nyumbani kwa watu wako wa karibu.

NB ; Kama wazazi wako wanajiweza hii mada haikugusi
Fanya vitu kwa kiasi

Unaweza kutoa sadaka kote kote
Unaweza kutoa sadaka kiasi kwa mzazi au wazazi wako na kwa kanisa pia Ila kwa kiasi kadiri ulivyobarikiwa
 
Hao hao wazazi wetu ukimpa hiyo sadaka anaweza kuipeleka kanisani.

Kuna siku bibi yangu aliniambia nifukuze jogoo ili ampe padri ambaye alikuja home kumsalimia. Wakati huo home hamna kitu.

Nikifikiriaga na ile hali aliyokuwaga nayo bibi na yule padri kumchukua yule jogoo ndio najua wakati mwingine hata mapadri ni njaa kali tu.
 
Hata hiyo ya kanisani itaenda kutumiwa hivyo nayo ni matumizi.

Sadaka ni neno tu lakini lengo ni moja kufanya matumizi.
SADAKA ni jina la utapeli wa kiimani lakini kifupi hiyo yote ni michango tu ya kuwachangia wachungaji na maaskofu ili kujiimarisha kiuchumu wao na kuimarisha taasisi zao fullstop
 
Kama una laki moja yako usiipeleke msikitini/kanisani kwanza fikiria mama yako hana shida binafsi ambazo anaweza kutatua kwa pesa hiyo?

Baba je?

Ndugu wengine wa karibu?

Kuna watu wazazi wao wanahangaika kutafuta ugali wa siku mtu ile package ya kula wiki hana lakini mtu huyu anachukua pesa anapeleka kwenye nyumba ya ibada.

Mungu anakuona aisee, hautaadhibiwa na Mungu kwa nini pesa yako ulimpa mzazi akatatue shida zake wakati nyumba ya ibada haijapigwa rangi n.k

Lakini Mungu anaweza kukutia adabu kwa nini mzazi wako alilala njaa wakati wewe ulipeleka pesa kwingine.

Lengo la sadaka ni kuwasaidia wasiojiweza, sasa kama mzazi wako naye hajiwezi msapoti.

Kuna kitabu nilikichungulia kinasema toa walau 10% ya kipato chako ukatoe sadaka.

Niliamua tu sadaka yangu hiyo 10% nawapa wazazi. Sina maana ya kukosoa sadaka lakini nakumbusha tu wazee wetu wana dhiki nyingi, tusijifanye wema sana kwenye nyumba za ibada wakati wazee wetu hilo salio lingewasaidia.

Wema, sadaka huanzia nyumbani kwa watu wako wa karibu.

NB ; Kama wazazi wako wanajiweza hii mada haikugusi
Na waliosema waliishasema kwamba 'Hisani ianzie Nyumbani'!
 
Fanya vitu kwa kiasi

Unaweza kutoa sadaka kote kote
Unaweza kutoa sadaka kiasi kwa mzazi au wazazi wako na kwa kanisa pia Ila kwa kiasi kadiri ulivyobarikiwa
Sio mbaya pia.

Ila kukidhi shida za mzazi ndio jambo bora kuliko kutoa sadaka ikiwa huna nyingibe ya kutoa.
 
Nyumbani kwa wazazi hupeleki Sadaka. Unapeleka Matumizi.

Sadaka ipelekwe Kanisani.

Pia saidia Maskini na wajane.

Fedha unayoipeleka Nyumbani/ kwa wazazi si alternative ya Sadaka.
Matumizi unaacha kwa mkeo ,kule kwa wazazi ni sadaka ndio mana tunaoata baraka,ila matumizi kwa mkeo ni wajibu
 
Matumizi unaacha kwa mkeo ,kule kwa wazazi ni sadaka ndio mana tunaoata baraka,ila matumizi kwa mkeo ni wajibu
Kabisa mkuu.

Japokuwa pia unaweza kupeleka sadaka kwako
 
Najioandaa kumuwekea mzaz bahasha kila mwezi. Na mdogo mdgo pensheni kwa mwaka(yaani Nampa ya Mwezi na mwaka japo kidogo hivhohicho) ee Mungu niongoze
 
Najioandaa kumuwekea mzaz bahasha kila mwezi. Na mdogo mdgo pensheni kwa mwaka(yaani Nampa ya Mwezi na mwaka japo kidogo hivhohicho) ee Mungu niongoze
Aamen mkuu.

Mungu atimize azma yako
 
Fanya vitu kwa kiasi

Unaweza kutoa sadaka kote kote
Unaweza kutoa sadaka kiasi kwa mzazi au wazazi wako na kwa kanisa pia Ila kwa kiasi kadiri ulivyobarikiwa
Kama unao uwezo sio mbaya.

Ukisoma uzi vizuri tumewagusia watu ambao uwezo wao ni wa chini alafu wanatoa kwenye ibada tu wakati bora wangeliwapa wazazi hiko kidogo
 
Kama una laki moja yako usiipeleke msikitini/kanisani kwanza fikiria mama yako hana shida binafsi ambazo anaweza kutatua kwa pesa hiyo?

Baba je?

Ndugu wengine wa karibu?

Kuna watu wazazi wao wanahangaika kutafuta ugali wa siku mtu ile package ya kula wiki hana lakini mtu huyu anachukua pesa anapeleka kwenye nyumba ya ibada.

Mungu anakuona aisee, hautaadhibiwa na Mungu kwa nini pesa yako ulimpa mzazi akatatue shida zake wakati nyumba ya ibada haijapigwa rangi n.k

Lakini Mungu anaweza kukutia adabu kwa nini mzazi wako alilala njaa wakati wewe ulipeleka pesa kwingine.

Lengo la sadaka ni kuwasaidia wasiojiweza, sasa kama mzazi wako naye hajiwezi msapoti.

Kuna kitabu nilikichungulia kinasema toa walau 10% ya kipato chako ukatoe sadaka.

Niliamua tu sadaka yangu hiyo 10% nawapa wazazi. Sina maana ya kukosoa sadaka lakini nakumbusha tu wazee wetu wana dhiki nyingi, tusijifanye wema sana kwenye nyumba za ibada wakati wazee wetu hilo salio lingewasaidia.

Wema, sadaka huanzia nyumbani kwa watu wako wa karibu.

NB ; Kama wazazi wako wanajiweza hii mada haikugusi

So far this is what i am doing! Na matokeo yake nayaona saanyingine mpaka nashangaa jinsi Mungu anavyoendelea kunibariki
 
Back
Top Bottom