Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Hivi Yesu alikuwa anachangisha waumini wake na kuishi kwa anasa kama hawa wa sasa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bi mkubwa alijimaliza.
 
Uwa unasoma bwana vifungu ...usipotoshe watu, kwenye ukweli useme
 
Kama ni nabii WA kweli aombee maji yatoke na umeme usiwe unakata hovyo
 
ili uishi miaka mingi ya uzima na amani ;zishike amri za Mungu mkuu na wala usisahau sheria zake..

ukienda kujimaliza huo ni uzwazwa wako.. password ya mafanikio ushapewa vitabuni.
 
Yaan wanaopaswa kupimwa afya ya akili ni waumini wa hayo makanisa wanaweza kukuta wote wameshadumazwa akili!
 
Kuna vijana wanaokoka wanashawishi na wazee wao waache makanisa mama waambatane nao! Wazee walioishi na kuwalea hadi mmekuwa na familia mnawachomoa kwenye makanisa yao! Mwisho wengi wanavurugwa na imani yenyewe while walikuwa na amani!

Waacheni wazee wenu kwenye makanisa yao mnawaharibu na mihemuko yenu mkishaokoka! Wameishi miaka kibao kwa amani kwenye makanisa mama then mnawavuruga uzeeni na makanisa ya mwendokasi. Mzee anaugua magonjwa ya uzee unaanza kumzungusha kwenye makanisa kutafuta uponyaji! Mwisho anafariki kwa uchovu wa mengi.
 
WAIHUBIRIO INJIRI. WATAPATA MKATE KWA HIYO INJIRI
Watu washenzi sana hawafahamu kuwa makuhani watakula madhabahuni..wanesahau kua kabila la walawi hawakupewa ardhi kaanani kwasababu kazi yao kuu ilikua kuhudumu madhabahuni.

Leo hii watu wakiona wachungaji na maaskofu wanaishi vzr kupitia madhabahu wanaanza kuropoka.

Madhabahuni ndio ofsini mwao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…