Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Toka ukristo uje Afrika ...muafrika kazidi kua mpumbavu tu.....wakristo wana utajiri gani hapa afrika zaidi tu ya kupata nafasi za upendeleo kupata elimu na kua mafisadi tu serikalini ndo maana hadi leo wafanyabiashara wakubwa na matajiri zaidi Afrika wamebaki kua waislamu tu wakristo walibebwa tu na mifumo ya kikoloni iliyowapendelea kielimu na ajira humo serikalini na hakuna walichokifanya zaidi ya kua mafisadi tu huo mfumo mliokua mnautegemea kwa sasa unakufa ajira zinakata mnazagaa mitaani tu hata ujasiliamali unawashinda kisa mlizoea kukariri madesa na kupenyezwa kwenye ajira ......na usilolifahamu Mansa Musa alikua ni tajiri kwa dunia nzima ,hadi sasa ambao wanaweza kufikia utajiri wake hata kwa hao mabwana zenu wazungu hakuna na alikua muislam, toka kipindi hiko hadi sasa hakuna cha tajiri wa afrika mkristo alieweza kukimbiza,,.... hata kwenye nchi yetu tunajionea mabilionea kule juu ni wa dini gani nyie wakristo mkitoa hizi ajira za kukariri madesa hakuna kitu weupe kabisa
Mfia dini katika ubora wako..
Vip waislamu wote wakiwa matajiri wewe ni maskini inakusadia nin?
Nyie mlikumbatia madrasa elimu mkasema ya makafiri mmeanza kushtuka mna bweka wanapendelewa.
Mpaka mzee makamba akawachana msomeshe watoto sio kulia lia wakristo wanapendelewa.
Siwapendi wafia dini wote kwa sababu huwa dini na viongozi wao ndio wamewakabidhi akili zao.
 
Toka ukristo uje Afrika ...muafrika kazidi kua mpumbavu tu.....wakristo wana utajiri gani hapa afrika zaidi tu ya kupata nafasi za upendeleo kupata elimu na kua mafisadi tu serikalini ndo maana hadi leo wafanyabiashara wakubwa na matajiri zaidi Afrika wamebaki kua waislamu tu wakristo walibebwa tu na mifumo ya kikoloni iliyowapendelea kielimu na ajira humo serikalini na hakuna walichokifanya zaidi ya kua mafisadi tu huo mfumo mliokua mnautegemea kwa sasa unakufa ajira zinakata mnazagaa mitaani tu hata ujasiliamali unawashinda kisa mlizoea kukariri madesa na kupenyezwa kwenye ajira ......na usilolifahamu Mansa Musa alikua ni tajiri kwa dunia nzima ,hadi sasa ambao wanaweza kufikia utajiri wake hata kwa hao mabwana zenu wazungu hakuna na alikua muislam, toka kipindi hiko hadi sasa hakuna cha tajiri wa afrika mkristo alieweza kukimbiza,,.... hata kwenye nchi yetu tunajionea mabilionea kule juu ni wa dini gani nyie wakristo mkitoa hizi ajira za kukariri madesa hakuna kitu weupe kabisa
Ukristo hauNa shida, shida ni sisi tumekua wajinga,
Hatuwezi kabisa kuchanganua Mambo.

Ukitenga Muda wako kosoma biblia, kuna vingi utajua kuliko kusubiri mahubir ya Mchungaji.
 
Ni bora mpungue masikin nyinyi mnapenda vya bure ndio maana waislam wengi ni masikini kinoma fanya utafiti coz ukristo unataka watu wafanye kazi yaani wajitume
Ulichoongea ni vice versa kabisa, uislam unaamini mtu aende kuswali amuombe Mungu then akafanye kazi na Mungu aibariki hiyo kazi, lakini ukristo mwingi unataka watu waamini watafanikiwa kwa miujiza ya pastor na unakuta mtu Hana hata kazi anakuambia pokea gari, Sasa unapataje gari na hauna kazi.
 
Navyozidi kutumia logic.. naona mapungufu mengi sana makanisani na mazuri mengi sana dini ya wenzetu waislamu..

Sadaka kwenye ukrito imekaa kipigaji pigaji sana hasa fungu la kumi na sadaka zingine kibao. Angalau waislam sadaka inasisitizwa itolewe kama zaka kwa maskini, wajane, wagonjwa, na makundi mengine yenye shida ,,katika nguzo zao za uislam.

Nimeshauguza sana mama yangu muhimbili na moi.. kila mara akilazwa nikienda asubuhi kumuona naona makundi ya waislam wanatembelea wagonjwa waliolazwa na kuwapa uji na vyakula asubuhi .. sio ndugu zao bali ni utaratibu wa dini yao wanasaidia wagonjwa ambao hawana wa kuwapa vyakula.. mimi ni mkristo sijawai kuona kundi la wakristo likifanya hivyo hata siku 1 katika siku zote nilizokuwa naenda moi na muhimbili kumuona mama.

Makanisani mahubiri yanasisitiza sadaka tu na hizo sadaka hazijulikani zinaenda wapi? Maana hata shule za kanisa zilizojengwa kwa sadaka zetu bila kulipa ada mwanao anafukuzwa
Ukristo hauna shida, wenye shida ni sisi wanadamu.
Ni wajinga sana sisi.
Tunakwenda makanisani kutafuta miujiza na sio kumtafuta Mungu.
Tumejengewe mawazo ya kijinga, Kusoma neno la Mungu tunaona ni kazi ya Mchungaji, wakati mkristo wa kawaida anaweza kua wa kiroho zaidi hata ya mchungaji.
 
Ukristo hauNa shida, shida ni sisi tumekua wajinga,
Hatuwezi kabisa kuchanganua Mambo.

Ukitenga Muda wako kosoma biblia, kuna vingi utajua kuliko kusubiri mahubir ya Mchungaji.
Ukiristo unashida hao wanaoomba hizo sadaka wanatumia quran?
Dini zote maandiko yanawa taka waumini wake wasikilize maelekezo ya viongozi wao
hakuna mtu atakuambia utoe sadaka bila nukuu ya bible.
 
Ukiristo unashida hao wanaoomba hizo sadaka wanatumia quran?
Dini zote maandiko yanawa taka waumini wake wasikilize maelekezo ya viongozi wao
hakuna mtu atakuambia utoe sadaka bila nukuu ya bible.
Biblia inaweza kutumika kukushauri Kuwa mlevi, na baya lolote lile.
Yani unaweza somewa andiko kwenye biblia linasupport hata ushoga na ukaamini.

Kwahiyo Mtafute Mungu kwa roho na kweli. Usiende kanisani kutafuta miujiza, wala msaada fulani wa kimaisha.

Kutoa sadaka ni makubaliano ya Mungu na Binadamu, atakwambia ukatoe wapi, nani sh. Ngap.
Sasa wewe hata kuzungumza na Mungu hujui, tayari shobo za kupeleka sadaka zinakuijia.

Hay maandiko yanasema mtolee Mungu kila ulicho nacho.
Ni nani kafaya hivo kanisani???? Atoe kila alicho nacho?
 
Toa sadaka bhna sadak Ni sadaka kweli unavyotoa nenea wew toa Kam sadak usitoe ilimradi ..Tena kwa moyo huo mkunjufu ndio sadak inakuwa nzur sana
 
Nimebahatika kupita Roma a few weeks ago kucheki utaratibu ila dah nilichokutana nacho ni balaa!
1.Kapu la kwanza general sadaka ya misaa
2.Kapu la pili mtolee mungu kwa kibahasha cha kaki
3.Kapu la 3 kumuunga mkono baba paroko
4.Mchango wa ujenzi wa kanisa hapa ilikuwa inatakiwa laki 6 asubuhi sana na mapema. Mwenye elfu 10 yeyote alitakiwa anyooshe kidole na kufuatwa alipo.

Kwa hali hio sikuitarajia ndani ya kanisa takatifu kama Roma! Kumbe wahuni tu kama akina Gwajima🤩
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 afu hata mi nilijua upigaji upo kwa akina nabii frola kumbe hadi uko
 
Nimebahatika kupita Roma a few weeks ago kucheki utaratibu ila dah nilichokutana nacho ni balaa!
1.Kapu la kwanza general sadaka ya misaa
2.Kapu la pili mtolee mungu kwa kibahasha cha kaki
3.Kapu la 3 kumuunga mkono baba paroko
4.Mchango wa ujenzi wa kanisa hapa ilikuwa inatakiwa laki 6 asubuhi sana na mapema. Mwenye elfu 10 yeyote alitakiwa anyooshe kidole na kufuatwa alipo.

Kwa hali hio sikuitarajia ndani ya kanisa takatifu kama Roma! Kumbe wahuni tu kama akina Gwajima🤩
Gwajima fundi wewe.. huwa anaongea ma fact sana 😁
 
Kkkt kimara ina Zaid ya sadaka Saba HV au nane ckozei ila kila inapotajwa sadak fln watu wananyanyuka harak Sana kwenda kutoa na Hakuna anae lalamika ...kuwa cko nyingi ..ipo ahadi na kollect,shukrn ya week ,shukran ya pekee ,malimbuko ,zaka, jengo, 10% sadaka za Siri jmn Ni nyingi ila naona watu wananyanyuka karibia sadaka zote ...Sasa wew lalamika tu ..


Ipo nguvu kubwa na ushindi ktk sadak
 
Nimebahatika kupita Roma a few weeks ago kucheki utaratibu ila dah nilichokutana nacho ni balaa!
1.Kapu la kwanza general sadaka ya misaa
2.Kapu la pili mtolee mungu kwa kibahasha cha kaki
3.Kapu la 3 kumuunga mkono baba paroko
4.Mchango wa ujenzi wa kanisa hapa ilikuwa inatakiwa laki 6 asubuhi sana na mapema. Mwenye elfu 10 yeyote alitakiwa anyooshe kidole na kufuatwa alipo.

Kwa hali hio sikuitarajia ndani ya kanisa takatifu kama Roma! Kumbe wahuni tu kama akina Gwajima[emoji2956]
Yani kusali Hadi uwe na 20,000

Si watuue

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Nimebahatika kupita Roma a few weeks ago kucheki utaratibu ila dah nilichokutana nacho ni balaa!
1.Kapu la kwanza general sadaka ya misaa
2.Kapu la pili mtolee mungu kwa kibahasha cha kaki
3.Kapu la 3 kumuunga mkono baba paroko
4.Mchango wa ujenzi wa kanisa hapa ilikuwa inatakiwa laki 6 asubuhi sana na mapema. Mwenye elfu 10 yeyote alitakiwa anyooshe kidole na kufuatwa alipo.

Kwa hali hio sikuitarajia ndani ya kanisa takatifu kama Roma! Kumbe wahuni tu kama akina Gwajima[emoji2956]
Mimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
 
Back
Top Bottom