Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Mimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
Hahhahaah

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
🔥😁😅😂 Sema yote mkuu.

Wenzio Kanisa tumeamishia Nyumbani. Kristo tupo nae.
 
Mfia dini katika ubora wako..
Vip waislamu wote wakiwa matajiri wewe ni maskini inakusadia nin?
Nyie mlikumbatia madrasa elimu mkasema ya makafiri mmeanza kushtuka mna bweka wanapendelewa.
Mpaka mzee makamba akawachana msomeshe watoto sio kulia lia wakristo wanapendelewa.
Siwapendi wafia dini wote kwa sababu huwa dini na viongozi wao ndio wamewakabidhi akili zao.
Umempa majibu mazuri sana.
 
Lazima mtoe povu kama mnaviela vyenu vya mawazo, kingine mnasali makanisa gani nyie, mfano luther sadaka sio lazima na fungu la kumi ukipeleka hata 5000 kutoa tena inaweza kupita hata miiezi, katika ukristo kuna fundisha watu kufanya kazi na kutafuta pesa ndio maana ukiona michango ujue unaamshwa upambane ndio maana matajiri wengi ni wakristo duniani hao wengine ni mmoja moja fanya utafiti uone waislam wengi ni masikini kinomaa coz din yao kila kitu ni simple sasa hapo inafundisha utafutaji kuwa chini mfano angalia nchi za kiislam africa ni masikin zakutupa, angalia sasa za wakristo wengi mfano south africa au nigeria pande za lagos matajiri kibao nenda kule kaskazin kwa waislam masikin kibao so kama vp hamieni huko kwenye usimple mnakotaka
Bado unasafari ndefu sana ya Kiroho.
Kuwa Uyaone.

'I LOVE JESUS'
 
Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi,niende moja kwa moja kwenye mada.

Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)

Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.

Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.
Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?

Nawasilisha.
Leo nimewakatalia wana kanisa walikuja nyumbani kuniomba msaada tena,kuna wakati niliwasaidia sasa imekuwa nongwa ,wanataka kunifanya BOT
 
Makanisa mengi ya “kiroho” kiukweli yanaoperate kama business entities flani hivi.

Niliwahi kumsikia mtumishi mmoja akijustify hela anazotoza watu wanaokwenda kumuona ili waponywe kwa kudai kwamba mbona hawalalamiki pale wanapotozwa hela hospital?😊. Hata hawa wanaorusha mahubiri kwenye radio na TVs, emphasis in most cases huwa ipo kwenye miamala.

Ili mtu usipate stress na kuishia kumkufuru Mungu wa kweli, ni bora kutoa sadaka kwa utashi wako binafsi na sio kwa pressure au influence ya mtu flani (kuona aibu, watanichukuliaje etc) huku ukilalamika na kutukana moyoni
 
Huku msikitini kwetu sadaka yetu tunalipia maji na umeme ambavyo hivyo vitu tunavitumia sisi wenyewe,, imamu/kiongozi wetu yeye mitikasi yake fundi ujenzi sio kwamba anategemea sadaka ka mzee wa upako,, na mara nyingine imamu wetu akipiga mishindo yake kwenye mitikasi yake ya ujenzi shoo ya umeme na maji anamaliza yeye mwenyewe so atuchangishwi,, huu ndo uislam
 
Biblia inaweza kutumika kukushauri Kuwa mlevi, na baya lolote lile.
Yani unaweza somewa andiko kwenye biblia linasupport hata ushoga na ukaamini.

Kwahiyo Mtafute Mungu kwa roho na kweli. Usiende kanisani kutafuta miujiza, wala msaada fulani wa kimaisha.

Kutoa sadaka ni makubaliano ya Mungu na Binadamu, atakwambia ukatoe wapi, nani sh. Ngap.
Sasa wewe hata kuzungumza na Mungu hujui, tayari shobo za kupeleka sadaka zinakuijia.

Hay maandiko yanasema mtolee Mungu kila ulicho nacho.
Ni nani kafaya hivo kanisani???? Atoe kila alicho nacho?
Hiyo kwa roho na kweli unamtaftia wap?
Bible inataka ubatizwe stil utaingia tu kwenye makanisa
na ukiilewa bible tofauti na ilivyokubalika na wengi tuna ku-label huna roho mtakatifu.
 
Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi,niende moja kwa moja kwenye mada.

Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)

Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.

Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.
Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?

Nawasilisha.
Hata nabii Tito, yule shoga mlevi, naye alikuwa anakusanya sadaka!!!
 
Navyozidi kutumia logic.. naona mapungufu mengi sana makanisani na mazuri mengi sana dini ya wenzetu waislamu..

Sadaka kwenye ukrito imekaa kipigaji pigaji sana hasa fungu la kumi na sadaka zingine kibao. Angalau waislam sadaka inasisitizwa itolewe kama zaka kwa maskini, wajane, wagonjwa, na makundi mengine yenye shida ,,katika nguzo zao za uislam.

Nimeshauguza sana mama yangu muhimbili na moi.. kila mara akilazwa nikienda asubuhi kumuona naona makundi ya waislam wanatembelea wagonjwa waliolazwa na kuwapa uji na vyakula asubuhi .. sio ndugu zao bali ni utaratibu wa dini yao wanasaidia wagonjwa ambao hawana wa kuwapa vyakula.. mimi ni mkristo sijawai kuona kundi la wakristo likifanya hivyo hata siku 1 katika siku zote nilizokuwa naenda moi na muhimbili kumuona mama.

Makanisani mahubiri yanasisitiza sadaka tu na hizo sadaka hazijulikani zinaenda wapi? Maana hata shule za kanisa zilizojengwa kwa sadaka zetu bila kulipa ada mwanao anafukuzwa
Ukristo unahubiri kusaidia wajane na wenye uhitaji utakua husomi biblia wewe..halafu uislam ni dini inayoamini kuokolewa kwa matendo..hawana neema wala haki ya kuokolewa...hivyo hudhani matendo yanatosha kiwaokoa kitu ambacho sicho..mana asili ya mwanadamu ni dhambi hivyo hata ufanyeje huwezi ishinda zambi kwa matendo.

Njia pekee ya wokovu ni kupitia imani na haki ya kristo Yesu.

Usipotoke ndugu..shetani anamitego mingi..hata hivyo sadaka hujalazimisha kutoa..toa kadri ulivyobarikiwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
Hii mbanga imekuwa serious, nilitaka nihamie huko ila kumbe nako jau u?😂😂😂 lunch na bwana yesu nimeipenda!
 
Back
Top Bottom