Sadio Mane amruhusu mkewe kwenda kusoma chuo, siku chache tu baada ya ndoa. Tumwambie au tumwache?

Sadio Mane amruhusu mkewe kwenda kusoma chuo, siku chache tu baada ya ndoa. Tumwambie au tumwache?

Wewe utakuwa ni mwalimu mkuu huko Namtumbo halafu unamsomesha mkeo chuo, anakudanganya kwamba siyo kila mwanamke anachakatwa.

Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anaingia na kuhitimu chuo bila kuchakatwa....awe mke wa tajiri ama maskini lazima achakatwe.
😆😆.mara Namtumbo mara mwalimu..Ewe uliyechakazwa huko chuoni acha fikra potofu.kama ww ulikuwa unachakazwa,sawa

Usi-generalize tabia zako ukadhani na wenzako wako hivyo.
 
Screenshot_20240125-130042.png
 
. Nick wa 2 ni maarufu na anapesa na alitombew(a) kwa mwanamke mwenye CPA (msomi)
2. Haji manara ana umaarufu na pesa alitombew(a)
3. Diamond ni maarufu na pesa kibao ila alitombew(a)
4. Watu maarufu kibao ulaya walivunja ndoa na mahusiano sababu ya kutombew(a)
5. Masanja Mkandamizaji maarufu na an pesa lkn mkewe alogongwa na kizalswa na mfanyakazi wa Masanja mwenyewe.
6. Dr. Mwaka ni maarufu na ana pesa lkn mkewe aliliwa na shekhe asiye na kitu zaidi ya kanzu anayovaa.
7. Mbasha na umaarufu wake wote mkewe Flora Mbasha alitafunwa na Gwajima .

N.k . Mwingine aendeleze orodha hii
 
5. Masanja Mkandamizaji maarufu na an pesa lkn mkewe alogongwa na kizalswa na mfanyakazi wa Masanja mwenyewe.
6. Dr. Mwaka ni maarufu na ana pesa lkn mkewe aliliwa na shekhe asiye na kitu zaidi ya kanzu anayovaa.
7. Mbasha na umaarufu wake wote mkewe Flora Mbasha alitafunwa na Gwajima .

N.k . Mwingine aendeleze orodha hii
Kiungopunda

#YNWA
 
5. Masanja Mkandamizaji maarufu na an pesa lkn mkewe alogongwa na kizalswa na mfanyakazi wa Masanja mwenyewe.
6. Dr. Mwaka ni maarufu na ana pesa lkn mkewe aliliwa na shekhe asiye na kitu zaidi ya kanzu anayovaa.
7. Mbasha na umaarufu wake wote mkewe Flora Mbasha alitafunwa na Gwajima .

N.k . Mwingine aendeleze orodha hii
TANESCO umeme umekatika huku 😬 msifanye hivyo basi
 
Kila mwanamke mnafananisha na hizo takataka zenu za Daslam zinazotembea bila kuvaa nguo za ndani. Zimevaa vijora ambavyo wanavipandisha kwa sababu ya uzinzi na umaskini. Hivi kuna mwanamke anayeweza msaliti mane kwa visharobaro vichonga nyusi na vilamba mdomo kwa mkwanja na umaarufu alionao? Huyo binti jamaa alikuwa anamsomesha huko huko chuo na mara baada ya kufunga ndoa akamruhusu aendelee na masomo.

Huyo sio sawa na hao wanuka midomo na wenye harufu ya visamaki wa huko daslama.
Mwanamke ni mwanamke tu hana guarantee.
 
Kina Manara (Mafuska) tuko wengi mno hapa duniani, tunasubiri tu kina Zaylisa waolewe ama kuchumbiwa kisha tunatupa nanga na kufumua malinda kisha tunawaachia kina Manara wasiojitambua akili (Manara original) na kuoa.
 
Wake za watu vyuoni wanabanduliwa sana sana yaani.
Mimi kuna mmoja alikua anasoma na mumewe alikua anamtembelea Pete 2 alizozivaa ya uchumba na ya ndoa zile ndio zilikua zinanizuia nisimvue chupi nimpige miti bila hivyo ningekua nammega
 
Anachokifanya Sadio Mane kwa mkewe kinaweza kumgharimu sana. Maana dunia hii ni tambara bovu, linaweza kuchanika mahala asipotarajia.

Eti kamruuhusu mkewe aende chuo akaendelee na masomo ili hali wamefunga ndoa hivi majuzi tu. Na mke hana mimba wala nini.

.
Vyuoni kuna wakware waliopinda wakapinduluka. Atapigwa tukio huyu Mane mpaka aachane na soka kabisa.

Yule mkewe siyo malaika na wala hana moyo wenye wema kuwazidi Delila na Eva .
Nilikuwa nakuamini kumbe wewe hovyo kabisa, huwezi heshimu maisha yako kisa tamaa.
 
5. Masanja Mkandamizaji maarufu na an pesa lkn mkewe alogongwa na kizalswa na mfanyakazi wa Masanja mwenyewe.
6. Dr. Mwaka ni maarufu na ana pesa lkn mkewe aliliwa na shekhe asiye na kitu zaidi ya kanzu anayovaa.
7. Mbasha na umaarufu wake wote mkewe Flora Mbasha alitafunwa na Gwajima .

N.k . Mwingine aendeleze orodha hii
Mabeste katombewah, stamina katombewah.
 
Tatizo chuo kuna Uhuru flani hivi, Yani ukitaka kutulia utulivu unakuja.....unakataaa.

Imagine upo na bae wako jioni kwenye zile gardens, upepo mwana.....hamzungumzii bills wala malezi ya watoto, mnazungumzia mapenzi tu ( the feeling ni Kama mpo Eden)🤣🤣🤣, hamna kupika....mnakula mgahawani.....every evening is a date night🤣🤣🤣

Akili inakuja kurudi Sawa ushamaliza chuo ndo unakumbuka Una mke/mume....hapo GPA inaning'inia Kwa kuendekeza mapenzi.
 
Sasa hao ni wanawake? Hao ni maarufu na wana pesa kuliko Mane?
1. Hao sio wanawake ni wakina nani?
Kwamba mke wa Masanja, Nick wa 2, na hao wengine sio wanawake?

2. Kuhusu umaarufu,.
wanawake ni wanawake.
Hebu soma hiii uone wanawake wa wachezaji wanavyogongwa.
Tena waume zao ni wachezaji maarufu kuliko Mane.
Unaikumbuka skendo ya John Terry? Soma humo 👇👇


#YNWA
 
Back
Top Bottom