Sadio Mane amruhusu mkewe kwenda kusoma chuo, siku chache tu baada ya ndoa. Tumwambie au tumwache?

Sadio Mane amruhusu mkewe kwenda kusoma chuo, siku chache tu baada ya ndoa. Tumwambie au tumwache?

Watu mna mambo... Kukojoa anakojoa mane!.... Kikojoleo kinachowashwa Kiko Tanzaniaz!

Kwani huyo demu akikojozwa huko chuoni.... Huyo mkojozaji anaondoka na hicho kikojoleo!?
Aliens jamani msipende kucomment mambo ya binadamu wa kawaida .mbona sisi hatuzungumzii mambo ya sayari mlizotoka.huku kuna mapenzi .wivu chuki ni bidhaa kwenu pluto hazipo
 
Chuoni kuna ndoa zisizo rasmi lakini ndio zenye kudumu.baada ya chuo, Huyu kaeda kuoa kule, huyu kaenda kuolewa kule. Lakin ndoa yao ipo
 
Aliens jamani msipende kucomment mambo ya binadamu wa kawaida .mbona sisi hatuzungumzii mambo ya sayari mlizotoka.huku kuna mapenzi .wivu chuki ni bidhaa kwenu pluto hazipo
Alaaa! Kumbe!.... Basi nimedondokea mahala siko!

🏃🏃🏃🏃🏃
 
Kale katoto cha miaka 18 usifananishe na magube gube tena ya bongo!
 
Back
Top Bottom