TuliaUkiwa zuzu kama Kubenea lazima uwe mwendawazimu haishagi kufanya personal attack kipindi Fulani alimfuatilia sana Chenge na ujinga ujinga anaoendelea nao dhidi ya Makonda
WATANGANYIKA KWA KUTETEA MAMBO YA KIPAMBAFU HAMJABO!NANI HAJUI MATENDO MAOVU YA MAKONDA?Hizo za Kubenea ni Kiki tu na kutafuta Fursa.
Anachokifanya sasa hivi hakina hata harufu ya kufanikiwa.
Ni utoto utoto tu na kupotezeana muda kujadili upumbavu.
===≠=======
Halafu ikumbukwe hata kama Kubenea ataruhusiwa kushtaki, DPP anakuwa bado ana mamlaka ya kuingilia shauri hilo muda wowote anaotaka na kutumia kifungu pendwa cha 98 (a) au (b) cha Sura ya 20 ya Sheria zetu kuondoa shauri kwa NOLE.
Sio kazi rahisi kama inavyotamkwa magazetini
Kumbe na wewe umeshikiwa akili na raia mwema?Hata lenyewe hakuamini amini
Unamzungumzia Kubenea huyu huyu alitaka "kumshughulikia" Mwenuekiti wake Gaidi Mbowe akaishia kuomba msamaha au unamaanisha Kubenea mwingine?Unamuelewa vizuri Kubenea au unamuona magazetini tu?
Kuna usemi wa kiswahili kuwa ukimuona ngedere kariakoo basi ujue kuwa kuna mtu amemleta mjini
Ushabiki unakufanya uwe na akili za kukuHizo za Kubenea ni Kiki tu na kutafuta Fursa.
Anachokifanya sasa hivi hakina hata harufu ya kufanikiwa.
Ni utoto utoto tu na kupotezeana muda kujadili upumbavu.
===≠=======
Halafu ikumbukwe hata kama Kubenea ataruhusiwa kushtaki, DPP anakuwa bado ana mamlaka ya kuingilia shauri hilo muda wowote anaotaka na kutumia kifungu pendwa cha 98 (a) au (b) cha Sura ya 20 ya Sheria zetu kuondoa shauri kwa NOLE.
Sio kazi rahisi kama inavyotamkwa magazetini
Tafuta shuka ujifunike acha kujiaibisha. MAKONDA alipambana na madawa ya kulevya au alikamata watu kiholela apate hongo? Kwa mamlaka gani Mkuu wa mkoa anaanzisha ukamataji na upelelezi yeye mwenyewe na kisha kufunga kesi yeye mwenyewe?Mm nahisi Hawa watu wenye mlengwa kama wakina Kubenea ni watu hatari sana kwa mstakabali wa Nchi,maana Leo watasema ashtakiwe huyu kesho yule mwisho wa siku Kila mtu atakuwa mshitakiwa Kwa chuki zisizokuwa na maana.Najua Makonda alipambana sana Madawa ya kulevi kwa mstakabali wa vijana wetu ambao walijiingiza kwenye biashara hiyo hatari
Serikali ni mshstakiwa mojawapo. Hujaona hati ya mashtaka?Kesi nyingi za jinai tumezoa Jamhuri akichukua uongoz na siyo mtu binafsi. Katika kesi ya jinai iliyofunguliwa dhidi Makonda, Kubenea ndiyo mlalamikaji. Hoja anazolalamikia zinahusu uvamizi wa Clouds ambapo waiovamiwa walishasema awahusiki, silaha zilizotumika ni za serikali na serikali haijawahi kusema zilitumika kinyume cha sheria. Waliotumika ni Watumishi wa umma na walipongezwa kwa kazi nzuri iliyopelekea Waziri kufutwa kazi.
Leo tunaona magazeti yanaweka hii case Frontline, social media zinajadili, wapinzani nao wanaunga mkono; je kama Jamhuri haijaona kona Kubenea atathibitishaje ? Kama waliovamiwa wamejiweka pembeni kubenea Ali uchunguzi Mwenyewe? Kumbukeni tumeambiwa loudly kwamba Mahakamani siyo kwa Mama zenu, tunajichosha nn na agenda mfu za Kubenea?
CMG & Serikali wamekataaTafuta shuka ujifunike acha kujiaibisha. MAKONDA alipambana na madawa ya kulevya au alikamata watu kiholela apate hongo? Kwa mamlaka gani Mkuu wa mkoa anaanzisha ukamataji na upelelezi yeye mwenyewe na kisha kufunga kesi yeye mwenyewe?
Mwacheni mwenye kesi anajua anachofanya. Mnadhani kufungua kesi ni kama kuteka na kuua watu?CMG & Serikali wamekataa
Mahakama waliipokea hiyo misc criminal application tar 27?Gazeti la tarehe 27, na linatoka mapema saa 12 lipo mtaani haiwez kuwa 27😀 zoom vizuri
Ni kweli tuwaachie mahakamaWewe ndio mahakama??--- kwani unaingilia mambo ya mahakama??, kesi ipo huko acha tusikie hukumu ikitoka huko.