Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

Kesi kaanzisha Kubenea mzee wa shanga. Respondents ni Makonda,DCI na DPP.
Hamna kesi hapo,na mlalamikaji asipoangalia ataingia hasara na fidia. Simtetei Bashite ila hii ni "miscalculation".
Huyo boya ilia afungwe kesi ianzishe yenyewe serikali ndo patamu.
Du kama ndivyo hivyo basi hakuna kipya. Au inaweza kuwa kuna mambo mawili: 1. Kubenea anatumika kuzima kelele za wananchi za kutaka Makonda afikishwe mahakamani. 2. Kubenea anatumika na timu Msoga ku-frustrate Makonda na kumpa mateso ya kisaikolojia.
 
Ila Wabongo tunashida sana nyakati zake amefutilia mbali wauza ngada thkampigia makofi na kusema ameokoa vijana wetu kubebeshwa unga kwenye masoko ya kimataifa leo hii ndio sisi tunaonunua mchele na kuku ili tufanye sherehe ya yaya kukamatwa. Ajabu sana hii duni ni ndogo sana sina nikijuwacho
 
Ila Wabongo tunashida sana nyakati zake amefutilia mbali wauza ngada thkampigia makofi na kusema ameokoa vijana wetu kubebeshwa unga kwenye masoko ya kimataifa leo hii ndio sisi tunaonunua mchele na kuku ili tufanye sherehe ya yaya kukamatwa. Ajabu sana hii duni ni ndogo sana sina nikijuwacho
Bongo nyosso,bongo balaa
 
Ila Wabongo tunashida sana nyakati zake amefutilia mbali wauza ngada thkampigia makofi na kusema ameokoa vijana wetu kubebeshwa unga kwenye masoko ya kimataifa leo hii ndio sisi tunaonunua mchele na kuku ili tufanye sherehe ya yaya kukamatwa. Ajabu sana hii duni ni ndogo sana sina nikijuwacho
Hata saa mbovu kuna wakati inasomeka sawa.
 
Wanamsimbazi hiyo siku tujitokeze kwa wingi kumpa moyo mwanachama na mlezi wa timu yetu.

Yeye ndiye ameifanya Utopolo kudorora kwa vitimbwi alivyowafanyia ikiwemo kwa aliyekuwa Mwenyekiti wao kumpatia kesi na kumweka mahabusu na kumyumbisha ambapo ilichangia Utopolo kuyumba na timu yetu kuweza kuchukua chati.

Ndio maana tulikuwa tunatamba tutachukua ubingwa kwa miaka 20 kwasababu yake ila Mungu si Athumani akaiondoa ile awamu.
 
Ujinga, anayeshitaki ni mtu binafsi, cloud hawatoa ushahidi, wanaoongoza huu ujinga ni wauza madawa ya kulevya na wajinga wengine wengine. Ndiyo Makonda alikosa adabu ila wauza madawa waliipata kweli kweli. Na kingine, mleta kesi anataka kuhongwa hela ili asifungue kesi. Yaani bongo kuna watu wamelaaniwa akili ni kama mavi kichwani, yaani mtu unashabikia ujinga ujinga, we have moved from reality tunaangalia eti ushabiki wa kijinga. I wish Mungu angewaua wote wajinga wanaoshabikia mambo ambayo hana tija kwa taifa letu ili tubaki wale ambao tuna nia ya dhati kwa maendeleo ya nchi yetu. We need our country back ili isonge mbele kwa ajili ya vizazi vijavyo.
 
View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December

Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?

Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Ni wakati wa kuelewa Maovu yote ya huyu Makonda
 
View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December

Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?

Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Mwenye clip ya yule mwana hiphop wa Ilala Child Benz aliyemwambia Makonda kuwa atengeneze magereza kwanza kwa kuwa hata yeye aweza kuwa mfungwa atuwekee hapa
 
The validity of the magazine content can be proved with time as per raised issue.

Subiri hadi hiyo tar 3 ya kesi inayozungumziwa ndipo useme kuwa content ya gazeti ni kweli au la.

Wewe umehukumu kabla ya kuthibitisha,hapa ndipo poor intellectual inapoonekana.
Nasema toka huko nyuma, siyo kwa hii ya tarehe 3, kumbe uelewa wako ni mdogo
By the way poor intellectual ndiyo nini
 
View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December

Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?

Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Mwenzio akinyolewa wewe ficha kiwembe na uondoke eneo la tukio.

Hata MwenyeziMungu alisema tufanye kila jambo kwa kiasi. Makonda alizifisha kipimo, na Mungu sio mnafiki, alianza na shina yeye mwenyewe sisi akatuachia matawi tuhangaike nayo sisi wenyewe.

Kila anaeutendea umma ubaya kwasababu anazozifahamu yeye mwenyewe Iko siku Mungu atashuhulika nae.
 
Poor intellectual capacity
You mental ability to comprehend issues is very low, you can not judge a person on a single and unsubstantiated issue. Inakunyesha ulivyo na maono hafifu ya ku integrate issue and put them in their right perspective.
 
Back
Top Bottom