makondekoujiji
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 384
- 499
Mkuu tupo wote hapa capetown,nakushauri usipite Zimbabwe,pitia botwasa to Zambia.Pia nami ninampango wakurejea bongo hapo january naweza kuungana na wewe mkuu.Wakuu, mwaka huu mwishoni nimepanga kufanya safari kuendesha hiyo ndinga kwenye picha kutoka Cape Town South Africa mpaka Dar es Salaam Tanzania karibia Kilomita 5,000.
Kuna yeyote yaliyewahi fanya safari ya namna hiyo, nipate mawili matatu ya barabara na usalama.
View attachment 2325827
Ukipata nafasi unistue nitachangia wese from CapetownHii safari ipo in my bucket list in the near future. Pembeni mtoto mkali na cruser LC200 stick shift itakua safi sana. Natafuta nafasi
Unaushitua umaskiniDah mkuu matola umenitisha kidogo. Nilikuwa na mpango wa kutinga hapo Sauz kuchukua huyo mnyama hapo chini McLaren Senna 2020 1.5 million USD 30M SRand nimeghairi.
View attachment 2325932View attachment 2325933View attachment 2325934View attachment 2325935View attachment 2325936
Wakuu, mwaka huu mwishoni nimepanga kufanya safari kuendesha hiyo ndinga kwenye picha kutoka Cape Town South Africa mpaka Dar es Salaam Tanzania karibia Kilomita 5,000.
Kuna yeyote yaliyewahi fanya safari ya namna hiyo, nipate mawili matatu ya barabara na usalama.
View attachment 2325827
True kuna kampuni ilikuwa ikiuza trekta tena kwa bei ya mbuzi nikajua lazima watakuwa kina hushpapIla msinunue gari mtandaoni SA watu wametapeliwa sana matrekta na gari mnaambiwa sijui bank repo pana utapeli sana hapo siku ntaanzisha uzi wake njia salama ya kununua na kusafirisha gari kutoka ZA...
Inawezekana hata zanzibar kwa gari ni wewe tuNa mimi nataka nitoke madagascar kuja Tz kwa gari ushauri wenu
Ukipata nafasi unistue nitachangia wese from Capetown
Hio ndo ilikua nyuma ila sasa hivi wanakupa mwezi mmoja ukitaka kuextend una extend mjini hapo(dar)...Hizi wanatoa mpaka miezi mitatu ila ikiisha yakupasa gari itoke ndani ya nchi au uisajili
Mimi nimekuuliza tu swali...Wewe jamaa unauliza ufundishwe au nina miaka zaidi ya 20 nafanya kazi za magari na vitu vingine SA matakataka yote na sheria nyingi zinabadilika tupo kwenye gemu...humu nipo kuwaeleza wengine wasione ugumu wewe unaleta mambo yenu ya Kitanzania kuwa haiwezekani unafaidika nini wakati gari za Gauteng zipo nyingi Daslm na mikoa mingine..
Poapoa mkuu[emoji23][emoji23]Ni Mimi na pisi tu Braza hata kandokando ya barabara napunguza uzito afu safari inaendelea. Plan ni kumaliza wk nzima njiani.
Hio ndo ilikua nyuma ila sasa hivi wanakupa mwezi mmoja ukitaka kuextend una extend mjini hapo(dar)...
Mimi nimekuuliza tu
Ilirudi SA maana hawawezi kuchukua na kuuza gari yenye umiliki wa mtu mwingine ilirudi SA naifahamu hiyo gari ni wasanii wawili imewatokea hiyo ishu..sema vijana ni kama waliwakopa wale wasanii kwa kuwapa gari ambazo ilikua ngumu kwa wasanii kuzilipia kodi wakijua zitarudi tuu nyumbani...Msanii mmoja alihongwa gari toka sauzi akashindwa kulipia ushuru wakaibeba.
Msalimie zarithebosslady
Mimi nimekupa utaratibu wa kisheria ila naona wewe umeleta mazoea ya miaka 20 kwaio siku jambo hilo likikukuta usishangae kabisa mzee...hayo magari yenye namba za kigeni yamekua yamoto DSM... labda kama hio gari ni van...etc...Ilirudi SA maana hawawezi kuchukua na kuuza gari yenye umiliki wa mtu mwingine ilirudi SA naifahamu hiyo gari ni wasanii wawili imewatokea hiyo ishu..sema vijana ni kama waliwakopa wale wasanii kwa kuwapa gari ambazo ilikua ngumu kwa wasanii kuzilipia kodi wakijua zitarudi tuu nyumbani...
Watafute wa kuwafundisha sikumbuki idadi ya gari nilizoleta na pia mimi ni mhasibu sidhani kama pana kitu kipya ntapata kutoka kwako kwa ishu za sheria za kodi iwe Tanzania au SA...Mimi nimekupa utaratibu wa kisheria ila naona wewe umeleta mazoea ya miaka 20 kwaio siku jambo hilo likikukuta usishangae kabisa mzee...hayo magari yenye namba za kigeni yamekua yamoto DSM... labda kama hio gari ni van...etc...
Ego is real in human being. Samahani mkuu mie Kuna emotions za binadamu najifunza sio kuwa Ni wewe hata mie pia Nina ego. So Kuna kitu nakisoma kwa human behaviorpana kitu kipya ntapata kutoka kwako
Kwanini nisipite Zimbambwe? Kuna changamoto gani hiyo nchi kama ni mgeni?Mkuu tupo wote hapa capetown,nakushauri usipite Zimbabwe,pitia botwasa to Zambia.Pia nami ninampango wakurejea bongo hapo january naweza kuungana na wewe mkuu.
Ahadi hii huwa hutimizi mkuuIla msinunue gari mtandaoni SA watu wametapeliwa sana matrekta na gari mnaambiwa sijui bank repo pana utapeli sana hapo siku ntaanzisha uzi wake njia salama ya kununua na kusafirisha gari kutoka ZA...
Uzoefu mzuriNimeendesha mara tatu kutokea Cape Stad huwa tunapita Namibia,Zambia,Tanzania ukipita kuitafuta Pretoria Kilomita ni nyingi sana kutoka Cape Town mpaka Johanesburg ni 1500Km kwa usafiri wa bus likitoka leo asubuhi linafika tena kesho asubuhi Johanesburg.
Kuingia Namibia utapitia mpaka wa Sesheke kuingia Zambia unakua umefika Living stone hapo mpaka Lusaka ni kama mia sita naa Km na Lusaka mpaka Nakonde ni 1100Km sema gari nyingi zipo Johannesburg kuliko huko Cape Town na pia kutoka Jozi sio mbali kuja Tanzania ila pia Cape pana gari nyingi bei nafuu kuliko Gauteng Province shida ni huo umbali.