gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
17Kwani dar to Mwanza ni masaa mangapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
17Kwani dar to Mwanza ni masaa mangapi
Aah wapi,mwakani karibu,mpaka ifike tabora!!Mwakani SGR ataanza safari Rasmi to mwanza
Kelele zote toka 2018 hadi 2021 alishindwa kufikisha sgr moro, alifanya 30+% tu,kizimkazi miaka mitatu kapiga percent zilizobakiYule mwamba angekuwepo sasa hivi SGR ingekuwa Mwanza. Masaa 7-8 uko Mwanza.
Hii meona sehemu inaongeza libido automatically sio nzuri ni km enhacement drugs (Viagra)View attachment 3085342View attachment 3085342mkuu ukifika stend ya mabas nzega, nisitue nikuuzie hii hautajutia safari Yako utafika mwisho wa safari Yako uko fiti sana
Wanapanda isamilooPanda Ally’s luxury coach hutajuta
Hapana. Kesho nawasha Fuga Geita nakuja kuizimia Dar.Mwamba hata wewe safari ya mwanza inakuchosha?
Pole.Kelele zote toka 2018 hadi 2021 alishindwa kufikisha sgr moro, alifanya 30+% tu,kizimkazi miaka mitatu kapiga percent zilizobaki
Mboni kawaida tu uzuri wa hio Safari usafiri usiku ndio utaona raha yake, nimetoka Dar saa 2 Asubuhi nimefika Shinyanga saa 12:30 Asubuhi kesho yake halafu safi kabisa Mwadela MamaUmasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Preparation, na procurement process sio mchezo,Kelele zote toka 2018 hadi 2021 alishindwa kufikisha sgr moro, alifanya 30+% tu,kizimkazi miaka mitatu kapiga percent zilizobaki
Nime mshangaa Sana, naonaga kawaida mno.Mwanaume kabisaa analalamika kusafir kwa bas eti mwanza dar very sad na watu wanampa pole. Na huna hela. Hawa watoto siku hiz sijui ni vip yan....anyways ndio generational evolution i think maana kadir siku ziendavyo kizaz dhaifu sana kinazid ongezeka
Achana na mpumbavu huyo. Magufuli alizindua hadi tunnel zile baada ya Morogoro,amedanganywa hata kufanya utafiti haweziPreparation, na procurement process sio mchezo,
Mwenzake kakuta hayo yamefanyika
Mnampa sifa asizostahili kabisa.Yule mwamba angekuwepo sasa hivi SGR ingekuwa Mwanza. Masaa 7-8 uko Mwanza.
Magu hawahi kufuata hizo taratibu. Kamuulize CAG Assad.Preparation, na procurement process sio mchezo,
Mwenzake kakuta hayo yamefanyika
Zimeongezeka kilometa ngapi??Bado haiondoi umbali.
Mwanza-Dar siku hizi pamekuwa parefu tofauti hata zamani. Tulikuwa tunafika siku hiyohiyo kwenye saa 1 jioni au saa2 na Zuberi.
Leo hii masaa yameongezeka, mnasafiri njiani hadi unahisi kizunguzungu.
Ungepanda luxury bus, kuchoka kupo ila afadhali unaweza kujinyoosha.Umasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania