Safari ya Mwisho ya Abdallah Kassim Hanga Kabla ya Safari ya Mwisho

Safari ya Mwisho ya Abdallah Kassim Hanga Kabla ya Safari ya Mwisho

Baada ya mapinduzi Babu yeye alipelekwa bara na kupewa cheo cha uwaziri. Lakini alituhumiwa kuwa yeye ndiyo organiser wa lile kundi lililomuua Karume.

Alisalimika (yeye na Ali Mahfoudh) kwa vile walikamatwa bara na walifungwa bara.
Lakini Kassimu Hanga alipotea kabla ya mauaji ya Karume. What happened?
 
Lakini Kassimu Hanga alipotea kabla ya mauaji ya Karume. What happened?

..nitaeleza kwa kifupi.

..ukitaka kisa kizima tafuta maandiko ya Mohamed Said au Ahmed Rajab.

..Abdulah Kassim Hanga alikamatwa na vyombo vya dola aliporejea D'Salaam toka ughaibuni.

..siku moja kukawa na mkutano wa hadhara jijini D'Salaam ambao mgeni rasmi alikuwa Rais Mwalimu Nyerere.

..Hanga alitolewa mahabusu alipokuwa anashikiliwa na kuletwa ktk mkutano huo na kupandishwa jukwaani.

..baada ya hapo Mwalimu Nyerere alitoa maneno makali dhidi ya Abdulah Kassim Hanga akimuelezea kama mtu wa hovyo na asiyefaa.

..taarifa zinasema baada ya mkutano huo Hanga alisafirishwa kwa ndege kwenda Zanzibar ambako alikabidhiwa kwa wanausalama wa Serikali ya Zanzibar.

..Abdulah Kassim Hanga hajaonekana tena tangu aliporejeshwa Zanzibar.

..Wengi wanauliza, Abdulah Kassim Hanga na wenzake wako wapi?

Mohamed Said kwasababu umeandika kuhusu suala hili, kama kuna mahali nimekosea naomba urekebishe.
 
Back
Top Bottom