Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

Mleta uzi mwezi ukiandama nyuzi zake hapa Jf hua hazieleweki
jamaa anakwambia eti putin alikasirika naada ya kombora kushindwa kufyetuka ishiiii unaona hizo akili mpauko
wakati baiden mwenyewe alivokuwa kyev alikiri kusikia vishindo vya makombora tena mazito mazito alafu mtu anakwambia eti marekani alijam hayo makombora khiiii aisee
 
𝐍𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐤𝐮𝐣𝐚.𝐤𝐮𝐢𝐬𝐢𝐟𝐢𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐞𝐤𝐚𝐧𝐢 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 𝐜𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐭 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞𝐰𝐞
 
Kijana anahitaji elimu kubwa sana. Mjuze kuwa yule ni kiongozi wa kisiasa na anakinga ya kidiplomasia, Mjuze vita zina kanuni zake na haki zake kwa viongozi.
Mjuze kuwa Biden Kabla hajaingia Ukraine alitoa taarifa kwa Putin kuwa angekwenda Ukraine.
 
Mleta maada anai-praise USA 😁😁😁

Kuna vitu kibao ambayo Russia iko mbele ya USA kama unavyosema.

Mfano teknolojia Makombora ya ICBM tangu yameanzwa kuundwa na USSR mwaka 1955 mpaka leo hakuna nchi yeyote ya NATO imewahi kuizidi Russia kwenye missiles zenye ubora.

Mfano sasahivi kwenye makombora ya Hypersonic ambayo yanaenda kwa kasi karibu mara 27 zaidi ya kasi ya sauti, ni mrusi pekee ndiyo yuko ahead mpaka sasa,akifatiwa labda na mchina ila NATO kwenye hii tasnia bado sana.

Kuna kitu cha mrusi kinaitwa Sarmat missile au wamagharibi wameki-nick name kama Satan II, hili goma mziki wao haufai.

Linaweza kufika London,Paris na Berlin ndani ya dakika 2 tu tangu limerushwa kutoka Russia, but Marekani linatumia dakika almost 18 kufika Washington.


Na hapo bado Avarngard n.k

Mimi huwa naawaambia watu, the level of military strength kati ya NATO nzima na RUSSSIA huwa ni almost the same tu hasa in case of Nuclear weapons.

Hii issue ya number of soldiers,tanks, ndege za kivita,manuwari sijui ni sawa watamzidi Russia kwa kiasi chake, lakini Je, linapokuja suala la Nuclear weapons hizo number of soldiers zinakuwa hazina maana tena
 
Hii ni theory tu
 
Na urusi akianguka Asia yote inaingia pangoni. Hakuna atakaetoa pua wala meno nje U-milele ote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza leo ninatabiri juu ya Vita hii. Kwa kuwa aliyeanzisha hii vita iliyogharimu maisha ya watu wengi Duniani, kuondoa furaha, utulivu, amani, uchumi kuyumba na hata viongozi waovu kutumia kigezo cha vita kuiba na kuhujumu nchi wanazoongoza, si mwingine ni mrusi.

Ivyo Ni lazima Ataanguka. Na ninaomba outcome hii isichukue muda mrefu kuonekana.

Itakuwa ni Anguko au mauti ya usoviet kwa mara ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni protocal ya usalama ili Isitokee sababu ya kusema sikujua. Lakin pia kumuua Rais wa marekani ni sawa na kumkata nyoka ncha ya mkia wake maana mikakati, na sera za marekani ziko pale karne, miongo kwa miongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tokea uzaliwe uliwahi kusikia mmarekani kapigana vita peke yake bila ya kolabo???taifa kubwa linapigana peke yake ,marekani hawezi kupigana peke yake
 
Your lost.

Jitafte mpala ujipate
 
Umetabiri upuuzi hautatokea
 
amka utakunya kitandani kumekucha nenda chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…