Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

Mleta uzi mwezi ukiandama nyuzi zake hapa Jf hua hazieleweki
jamaa anakwambia eti putin alikasirika naada ya kombora kushindwa kufyetuka ishiiii unaona hizo akili mpauko
wakati baiden mwenyewe alivokuwa kyev alikiri kusikia vishindo vya makombora tena mazito mazito alafu mtu anakwambia eti marekani alijam hayo makombora khiiii aisee
 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
𝐍𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐤𝐮𝐣𝐚.𝐤𝐮𝐢𝐬𝐢𝐟𝐢𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐞𝐤𝐚𝐧𝐢 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 𝐜𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐭 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞𝐰𝐞
 
MLeta mada walau ungekuwa na elimu ndogo sana ya kijeshi na vifaa vya kijeshi na vinavyofanya kazi usingeleta mada hii.

Pili ungekuwa unachosema ni sahihi Crimea ingesharudi Ukraine na si ajabu millitary bases za NATO zingekuwa zipo tayari Urusi.

Tatu sijui hata kana unafahamu sababu ya vita hii kubwa na tishio kwa USA kuliko kwa Ukraine. Angekuwa na silaha ya aina hiyo angashamailiza vita.

Mwisho, Urusi kwenye tecnolojia za kivita sio kama DR Congo wako ahead of US in some cases tena mbali sana. When it come to combat readiness amd experinces, wanawazidi hata NATO armed forces combined. Utapenda nikupe link(neutral) ujifunze zaidi badala ya kuwa praise team
Kijana anahitaji elimu kubwa sana. Mjuze kuwa yule ni kiongozi wa kisiasa na anakinga ya kidiplomasia, Mjuze vita zina kanuni zake na haki zake kwa viongozi.
Mjuze kuwa Biden Kabla hajaingia Ukraine alitoa taarifa kwa Putin kuwa angekwenda Ukraine.
 
MLeta mada walau ungekuwa na elimu ndogo sana ya kijeshi na vifaa vya kijeshi na vinavyofanya kazi usingeleta mada hii.

Pili ungekuwa unachosema ni sahihi Crimea ingesharudi Ukraine na si ajabu millitary bases za NATO zingekuwa zipo tayari Urusi.

Tatu sijui hata kana unafahamu sababu ya vita hii kubwa na tishio kwa USA kuliko kwa Ukraine. Angekuwa na silaha ya aina hiyo angashamailiza vita.

Mwisho, Urusi kwenye tecnolojia za kivita sio kama DR Congo wako ahead of US in some cases tena mbali sana. When it come to combat readiness amd experinces, wanawazidi hata NATO armed forces combined. Utapenda nikupe link(neutral) ujifunze zaidi badala ya kuwa praise team
Mleta maada anai-praise USA 😁😁😁

Kuna vitu kibao ambayo Russia iko mbele ya USA kama unavyosema.

Mfano teknolojia Makombora ya ICBM tangu yameanzwa kuundwa na USSR mwaka 1955 mpaka leo hakuna nchi yeyote ya NATO imewahi kuizidi Russia kwenye missiles zenye ubora.

Mfano sasahivi kwenye makombora ya Hypersonic ambayo yanaenda kwa kasi karibu mara 27 zaidi ya kasi ya sauti, ni mrusi pekee ndiyo yuko ahead mpaka sasa,akifatiwa labda na mchina ila NATO kwenye hii tasnia bado sana.

Kuna kitu cha mrusi kinaitwa Sarmat missile au wamagharibi wameki-nick name kama Satan II, hili goma mziki wao haufai.

Linaweza kufika London,Paris na Berlin ndani ya dakika 2 tu tangu limerushwa kutoka Russia, but Marekani linatumia dakika almost 18 kufika Washington.


Na hapo bado Avarngard n.k

Mimi huwa naawaambia watu, the level of military strength kati ya NATO nzima na RUSSSIA huwa ni almost the same tu hasa in case of Nuclear weapons.

Hii issue ya number of soldiers,tanks, ndege za kivita,manuwari sijui ni sawa watamzidi Russia kwa kiasi chake, lakini Je, linapokuja suala la Nuclear weapons hizo number of soldiers zinakuwa hazina maana tena
 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
Hii ni theory tu
 
Maneno ya kwenye karatasi haya:

Huyo putin hata kutoka nje ya urusi anaogopa wanaume wameenda pale pale jirani kwake na wameondoka salama.

Urusi ni mwepesi mno, kujitoa vitani anaona aibu, kuendelea amezidiwa kabisa. Jana miji minne ya urusi imeshambuliwa kwa drones zisizo na rubani. Warusi wanashangaa inakuwaje.

Hii vita inaweza kuwa ndio anguko la urusi mazima, awe makini.
Na urusi akianguka Asia yote inaingia pangoni. Hakuna atakaetoa pua wala meno nje U-milele ote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza leo ninatabiri juu ya Vita hii. Kwa kuwa aliyeanzisha hii vita iliyogharimu maisha ya watu wengi Duniani, kuondoa furaha, utulivu, amani, uchumi kuyumba na hata viongozi waovu kutumia kigezo cha vita kuiba na kuhujumu nchi wanazoongoza, si mwingine ni mrusi.

Ivyo Ni lazima Ataanguka. Na ninaomba outcome hii isichukue muda mrefu kuonekana.

Itakuwa ni Anguko au mauti ya usoviet kwa mara ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haikuwa siri kihivyo. Waliwaambia Russia tutakuja Ukraine at such and such time and place

Na haikuwa safari salama na ya kujiamini sana. Waliogopa kutunguliwa ndo maana wakatoa taarifa mapema. Kwamba Russia msije kusema sikujua.

Which means, hawana uwezo wa kuja na kuondoka salama kimya kimya. Wakienda kwenye makambi yao Uarabuni katikati ya vita huwa hawamwambii Mwarabu. Russia is a different kettle of fish.
Hiyo ni protocal ya usalama ili Isitokee sababu ya kusema sikujua. Lakin pia kumuua Rais wa marekani ni sawa na kumkata nyoka ncha ya mkia wake maana mikakati, na sera za marekani ziko pale karne, miongo kwa miongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tokea uzaliwe uliwahi kusikia mmarekani kapigana vita peke yake bila ya kolabo???taifa kubwa linapigana peke yake ,marekani hawezi kupigana peke yake
 
Maneno ya kwenye karatasi haya:

Huyo putin hata kutoka nje ya urusi anaogopa wanaume wameenda pale pale jirani kwake na wameondoka salama.

Urusi ni mwepesi mno, kujitoa vitani anaona aibu, kuendelea amezidiwa kabisa. Jana miji minne ya urusi imeshambuliwa kwa drones zisizo na rubani. Warusi wanashangaa inakuwaje.

Hii vita inaweza kuwa ndio anguko la urusi mazima, awe makini.
Your lost.

Jitafte mpala ujipate
 
Kwa mara ya kwanza leo ninatabiri juu ya Vita hii. Kwa kuwa aliyeanzisha hii vita iliyogharimu maisha ya watu wengi Duniani, kuondoa furaha, utulivu, amani, uchumi kuyumba na hata viongozi waovu kutumia kigezo cha vita kuiba na kuhujumu nchi wanazoongoza, si mwingine ni mrusi.

Ivyo Ni lazima Ataanguka. Na ninaomba outcome hii isichukue muda mrefu kuonekana.

Itakuwa ni Anguko au mauti ya usoviet kwa mara ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetabiri upuuzi hautatokea
 
Kwa mara ya kwanza leo ninatabiri juu ya Vita hii. Kwa kuwa aliyeanzisha hii vita iliyogharimu maisha ya watu wengi Duniani, kuondoa furaha, utulivu, amani, uchumi kuyumba na hata viongozi waovu kutumia kigezo cha vita kuiba na kuhujumu nchi wanazoongoza, si mwingine ni mrusi.

Ivyo Ni lazima Ataanguka. Na ninaomba outcome hii isichukue muda mrefu kuonekana.

Itakuwa ni Anguko au mauti ya usoviet kwa mara ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
amka utakunya kitandani kumekucha nenda chooni
 
Back
Top Bottom