Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ungeomba na BAN kabisa kusindikiza haja ya moyo wako..!! Sema upigwe BAN kwa kipindi gani ili kuufurahisha moyo wakoGood Bye Yanga !! Mpaka mwakani.
Njia pekee ya Yanga kushinda mechi zote zilizobaki 😃😃 Yani amfunge Al Hilal Nyumbani kwao na amfunge Mwarabu kwa Mkapa,
Walichobakiza Yanga ni kukamilishe Ratiba
View attachment 3193688