Safari yako ya mafanikio bado ndefu

Safari yako ya mafanikio bado ndefu

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.

1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.

2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.

3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.

4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.

5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.

.... mengine mtaongezea.
 
Matatizo yoote ya waafrika yanatokana na mila na desturi za koo walikozaliwa! Unazaliwa katika koo iliyolaaniwa kamwe hutoboi! Labda uokoke na mpaka huyo Mungu wa walokole akuelewe utoboe kama ni kijana wa 20s utamuelewa ukiwa 50s umeishazeeka! Ndo maana waanzilishi wa makanisa ni wazee wakidhani kumtumikia Mungu ni mpaka huwe muubiri au mchungaji wakati ni kuenenda katika misingi ya neno tangu ujanani!
 
Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.

1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.

2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.

3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.

4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.

5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.

.... mengine mtaongezea.
Kama bado unasomesha wadogo zako
 
Back
Top Bottom