Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka huu uzi umetugusa wengi mno😆😆😆Jomba huu uzi ni wa mambo ya utani. Ukweli sana sio poa. 🤣
😂😂 kitu siwezi tumia sana ni protectorKama mimi tu juzi ndio nimenanadilisha Protector imechoka balaa......cracks kama zote.
Heey😂😂 kitu siwezi tumia sana ni protector
Kuna namna naona simu inakuwa na siifagilii. Nikiweka nakaa nayo kidogo natoa.
Je, unajua ukilipa mkopo wako leo, utaweza kukopa zaidi….. ongeza salio sasa.Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.
1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.
2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.
3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.
4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.
5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.
.... mengine mtaongezea.
🤭🤗😁Heey
afu imekua diluted haina povu🤣Pia ukienda kula kwenye mgahawa au baa unaletewa sabuni iliyowekwa kwenye chupa ya maji iliyokwisha tumika na kutobolewa kwa juu
M pawa 🤣🤣🤣Je, unajua ukilipa mkopo wako leo, utaweza kukopa zaidi….. ongeza salio sasa.
cc mr pipaKuweka mia kwenye mkeka kutegemea kushinda milion mia mwisho unajikuta wewe ndio umeliwa milion mia
Hapo namba 2 imenigusa,Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.
1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.
2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.
3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.
4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.
5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.
.... mengine mtaongezea.
Unakumbushwa kurejesha deni lako la Tsh 1500 la SONGESHA. Ili kulipa deni weka pesa kwenye akaunti yako au Piga *150*00#>Huduma za Kifedha>SONGESHA>LIPA DENI.Je, unajua ukilipa mkopo wako leo, utaweza kukopa zaidi….. ongeza salio sasa.
😅Kila muda unabonyeza *102#.
Sitaacha kuuliza…. Hapo kale nilikula kistaa sehemu ambako wanalipa kwa bufee’self service.. as long as uligusa kitu chao, ule sana ama kidogo. Wote mnalipa sawa.Hapo namba 2 imenigusa,