Safari yako ya mafanikio bado ndefu

Safari yako ya mafanikio bado ndefu

Yote mliyoyaeleza kwenye comments hamna hata Moja linalonihusu lkn binafsi Bado na safari ndefu vbaya saaana!

Kwa kuongezea
Kama unapenda ID za kike humu blaza una zaidi ya safari ndefu

Kama unafanya kazi kwenye taasisi/kampuni ambyao HR wake mi mtu mweusi kulaaNinaA ni zaidi ya safari ndefu
 
Ukizaliwa katika koo iliyolaaniwa hutoboi kamwe! Labda Mungu wa walokole baaasi! Nje ya hapo ponda mali kufa kwaja!
Mungu hayupo.

Walokole hao wanao jifanya kumjua sana Mungu, Ndio Maskini choka mbaya.

Kutwa kuchwa kukesha makanisani wakipayuka kama mbayuwayu "Napokea, Napokea, Napokea" Mwisho wa siku wanapokea UMASKINI.
 
Matatizo yoote ya waafrika yanatokana na mila na desturi za koo walikozaliwa! Unazaliwa katika koo iliyolaaniwa kamwe hutoboi! Labda uokoke na mpaka huyo Mungu wa walokole akuelewe utoboe kama ni kijana wa 20s utamuelewa ukiwa 50s umeishazeeka! Ndo maana waanzilishi wa makanisa ni wazee wakidhani kumtumikia Mungu ni mpaka huwe muubiri au mchungaji wakati ni kuenenda katika misingi ya neno tangu ujanani!
Mungu hayupo.

Hakuna uhusiano wowote wa matatizo ya waafrika na Mungu.

Matatizo ya waafrika yana tokana na upumbavu wa waafrika.

Walokole wengi ni maskini choka mbaya, kazi yao kuu ni kukesha makanisani wakipayuka kama mbayuwayu
"Napokea Napokea Napokea"

Mwisho wa siku wanapokea UMASKINI.

Poverty strikes hard when laziness is combined with prayers.
 
Mungu hayupo.

Walokole hao wanao jifanya kumjua sana Mungu, Ndio Maskini choka mbaya.

Kutwa kuchwa kukesha makanisani wakipayuka kama mbayuwayu "Napokea, Napokea, Napokea" Mwisho wa siku wanapokea UMASKINI.
Aliyepandikiza roho ya kujifanya mlokole ni baba yako shetani! Wako watu wengi wanajifanya walokole na makanisa feki yakijifanya walokole na watu wanakaa njiani na kupayukapayuka wakijifanya walokole kumbe sio! Walokole halisi wapo na wewe unawafahamu! Hakuna mlokole fukara kwa taarifa yako. Mlokole ana fikra, mawazo, busara, na akili! Is a supernatural being na kwa taarifa yako ni wachache! Wengine ndio wameokoka lakini wanaharibikia njiani kwa mashambulizi ya baba yako shetani hata hivyo roho zao zitaurithi ufalme Yesu
 
Aliyepandikiza roho ya kujifanya mlokole ni baba yako shetani!
Shetani huyo hayupo.

Mungu na Shetani Hawapo.
Wako watu wengi wanajifanya walokole na makanisa feki yakijifanya walokole na watu wanakaa njiani na kupayukapayuka wakijifanya walokole kumbe sio! Walokole halisi wapo na wewe unawafahamu! Hakuna mlokole fukara kwa taarifa yako. Mlokole ana fikra, mawazo, busara, na akili! Is a supernatural being na kwa taarifa yako ni wachache! Wengine ndio wameokoka lakini wanaharibikia njiani kwa mashambulizi ya baba yako shetani hata hivyo roho zao zitaurithi ufalme Yesu
Ufalme wa Yesu Haupo.
 
Back
Top Bottom