Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Mumunya kidogo then TAFUNA😂😂 hii imekataa bwana. Nitafunie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mumunya kidogo then TAFUNA😂😂 hii imekataa bwana. Nitafunie tu
Haya banaMumunya kidogo then TAFUNA
Ukiona imegoma kabisa meza ivyo ivyoHaya bana
kama unajua jagwamasta safari bado unayo😂😂 hii imekataa bwana. Nitafunie tu
😂 si maji ya baridi lakini hayokama unajua jagwamasta safari bado unayo
Mungu hayupo.Ukizaliwa katika koo iliyolaaniwa hutoboi kamwe! Labda Mungu wa walokole baaasi! Nje ya hapo ponda mali kufa kwaja!
Mungu hayupo.Matatizo yoote ya waafrika yanatokana na mila na desturi za koo walikozaliwa! Unazaliwa katika koo iliyolaaniwa kamwe hutoboi! Labda uokoke na mpaka huyo Mungu wa walokole akuelewe utoboe kama ni kijana wa 20s utamuelewa ukiwa 50s umeishazeeka! Ndo maana waanzilishi wa makanisa ni wazee wakidhani kumtumikia Mungu ni mpaka huwe muubiri au mchungaji wakati ni kuenenda katika misingi ya neno tangu ujanani!
Aliyepandikiza roho ya kujifanya mlokole ni baba yako shetani! Wako watu wengi wanajifanya walokole na makanisa feki yakijifanya walokole na watu wanakaa njiani na kupayukapayuka wakijifanya walokole kumbe sio! Walokole halisi wapo na wewe unawafahamu! Hakuna mlokole fukara kwa taarifa yako. Mlokole ana fikra, mawazo, busara, na akili! Is a supernatural being na kwa taarifa yako ni wachache! Wengine ndio wameokoka lakini wanaharibikia njiani kwa mashambulizi ya baba yako shetani hata hivyo roho zao zitaurithi ufalme YesuMungu hayupo.
Walokole hao wanao jifanya kumjua sana Mungu, Ndio Maskini choka mbaya.
Kutwa kuchwa kukesha makanisani wakipayuka kama mbayuwayu "Napokea, Napokea, Napokea" Mwisho wa siku wanapokea UMASKINI.
Shetani huyo hayupo.Aliyepandikiza roho ya kujifanya mlokole ni baba yako shetani!
Ufalme wa Yesu Haupo.Wako watu wengi wanajifanya walokole na makanisa feki yakijifanya walokole na watu wanakaa njiani na kupayukapayuka wakijifanya walokole kumbe sio! Walokole halisi wapo na wewe unawafahamu! Hakuna mlokole fukara kwa taarifa yako. Mlokole ana fikra, mawazo, busara, na akili! Is a supernatural being na kwa taarifa yako ni wachache! Wengine ndio wameokoka lakini wanaharibikia njiani kwa mashambulizi ya baba yako shetani hata hivyo roho zao zitaurithi ufalme Yesu
kitanda kikae katikati..Vipi kama kitanda changu kinagusa ukutani nimeumaliza mwendo au bado nina safari ndefu?