Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Unanisema ama? 🤣Kama unaela alafu unalala njaa.... pia kutoboa ni ngumu
Nje mvua inanyesha.. naona soo kushika chochote… karibu tulalie chocolate 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanisema ama? 🤣Kama unaela alafu unalala njaa.... pia kutoboa ni ngumu
Kristooo!! 🤣🤣 kava hapana jamaniKuweka simu protector na kava mi naona ni sign ya umasikini
Kuna mmoja huyo aliagiza wali na samaki pale villa wakati huo, akaletewa samaki kweli mkubwa, pindi amemaliza kuletewa bill alipaliwa na mfupa wa samaki.Sitaacha kuuliza…. Hapo kale nilikula kistaa sehemu ambako wanalipa kwa bufee’self service.. as long as uligusa kitu chao, ule sana ama kidogo. Wote mnalipa sawa.
Nilijifunza 😂😂
apo kutoboa ni ngumu 🤓Unanisema ama? 🤣
Nje mvua inanyesha.. naona soo kushika chochote… karibu tulalie chocolate 🤣🤣
naskia hadi kutumia vocha za kukwangua ni sign ya umaskiniKuweka simu protector na kava mi naona ni sign ya umasikini
😂😂😂 siku hizi tunacheza nao mpaka upatuNi mambo ya fezea chalyangu. Mwanaume kucheza kikoba haipendezi, 🤣🤣🤣
Kwanini sasa 🤣apo kutoboa ni ngumu 🤓
😅😅naskia hadi kutumia vocha za kukwangua ni sign ya umaskini
mkuu mimi sikusaidia ili kuja kusaidiwa. Ulikuwa ni msaada genuine kabisa. Lakini kibinadamu mara kadhaa nikiwa nahitaji jambo kwao wamekuwa wakijitoa na kusaidia wanavyoweza. Tunasaidiana hapa na pale.wamekusaidia nini broo?
🤓 tafakari ntakutafu_niaje kila kitu bhanaKwanini sasa 🤣
Siku ya kuvunja kikobamkianza kuvaa nao madera msisahau kututaarifu
😂😂 hii imekataa bwana. Nitafunie tu🤓 tafakari ntakutafu_niaje kila kitu bhana
Huyu jamaa kashaharibu na kitenge na pochi lake dah🤣Siku ya kuvunja kikoba
View attachment 2773959
Aaiiiii kulanina! Unataka kusemaje!?Kama bado unasomesha wadogo zako
Baba na sponsor wa mtu huyo 😂Siku ya kuvunja kikoba
View attachment 2773959
umejibu vyema ungejichanganya ungeona kisa cha chura kutosugua mwili japo mawe anayo humohumo kwenye maji mkuu we ni jinnhazi, sana haya tuma salamu kwa watu sita ujumbe waambie likizo unaenda, bado mwezi unusumkuu mimi sikusaidia ili kuja kusaidiwa. Ulikuwa ni msaada genuine kabisa. Lakini kibinadamu mara kadhaa nikiwa nahitaji jambo kwao wamekuwa wakijitoa na kusaidia wanavyoweza. Tunasaidiana hapa na pale.
Anatafuta hela kwa fedheha mno...hapa hawezi kutoboa🤣Huyu jamaa kashaharibu na kitenge na pochi lake dah🤣