Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Mbona gafra au ndo kakutana naza kichwa🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe ulijua mambo uko ni km mdembwedo bin urojo.....uko ndiko waliko wanaume, ukitoboa umetoboa kiwelikweli.Usifikiri huwa wanataka mazoea kirahisi rahisi ukikutana nao kuna mawili au manne utoke salama, utoke na ulemavu, wakuunganishe uwe Askari wao au wakuue mambo siyo rahisi kama kwenye movie
Mbona hazionekani page ya kwanza?Picha zipo page ya kwanza mie nilifanya uungwana kuicopy kule na kuipaste kwenye kurasa zinazoendelea ili watu waisome vinginevyo mleta mada angekuwa ashatukanwa sana
Wako watu msituni zaidi ya miaka 10+ na bado hawajatoboa usitegemee kwnda kutoboa kimdebwedo bin urojoSasa wewe ulijua mambo uko ni km mdembwedo bin urojo.....uko ndiko waliko wanaume, ukitoboa umetoboa kiwelikweli.
Itakuwa simu yako inatatizo page ya 1 ukifungua tuu yz hzo picha unazoziona ndio hzo unazosema hazifungukiMbona hazionekani page ya kwanza?
Naomba muendelezo ukiwepo unitag,shukrani mkuu.Itakuwa simu yako inatatizo page ya 1 ukifungua tuu yz hzo picha unazoziona ndio hzo unazosema hazifunguki
Jamaa katekwa na wahasi wa M23.Naomba muendelezo ukiwepo unitag,shukrani mkuu.
Hamna bana kafutaItakuwa simu yako inatatizo page ya 1 ukifungua tuu yz hzo picha unazoziona ndio hzo unazosema hazifunguki
Okay nimekupata. Lakini ukisoma reply yako #245 chini kuna picha nyingi zimeshikana na hazfunguki. Soma namba #15 uone kama kuna picha halafu ulinganishe na yako #245. Hapo ndo ukakasi ulipojitokeza. Nadhani utanielewa.
Mkuu watoto wa kizazi cha singeli ni wajuaji sana,youtube na google wanadhani zinaweza kuwapa majibu yote!Wanapiga chale za huko,zinapatikana Sana morogoro
Wakati nacopy nicopy uwanja mzima na ndio nikaanza kufuta yasiofaa hzo video na picha ukiendelea kufungua page utakutana nazo pia hyo video n mtu alishea mji wa GomaOkay nimekupata. Lakini ukisoma reply yako #245 chini kuna picha nyingi zimeshikana na hazfunguki. Soma namba #15 uone kama kuna picha halafu ulinganishe na yako #245. Hapo ndo ukakasi ulipojitokeza. Nadhani utanielewa.
Wapi mkuu. Kaendelea na simulizi?Jamaa katekwa na wahasi wa M23.
Mkuu na nimepiga screenshots kutoka YouTube hizi picha ni za juzi hapo Kitchanga mwamba mleta mada alipolala pekee yake kwa kutaa kulala na huyo demu.Story za ukwel hua na mafunzo sio Yale mastory ya kuburudisha ...jamaa kanipa somo sio kila mwanAmke Ni wa kumla kimasihara yeye yuko kikazi .ujasiri wa kuchukua chumba kingine na kuacha mwanamke chumba kingine .
Bado kimya.Wapi mkuu. Kaendelea na simulizi?