Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Daadeki! Mkuu na maeneo ya kuuza hao samaki ni huko huko ndani ndani kabisa? Kwa maelezo ya mleta mada ama kuna maeneo tofauti unaweza peleka samaki.
Maeneo yenye waasi na machafuko na kambi zilizotelekezwa na UNIHCR Ndizo Zina pesa zaidi
Anaposimulia mdau kote nimekanyaga kwahiyo naelewa anachosema,
Japo mdau inaonesha kalowea Kongo hata rafudhi ka adapt ya huko
 
Huko ndio pa kwenda sasa
Maeneo yenye waasi na machafuko na kambi zilizotelekezwa na UNIHCR Ndizo Zina pesa zaidi
Anaposimulia mdau kote nimekanyaga kwahiyo naelewa anachosema,
Japo mdau inaonesha kalowea Kongo hata rafudhi ka adapt ya huko
 
Hiyo safari bila hirizi inayopumua au chale 7 mkunduni siendi.
Hakuna mwanaume rijali anaweza andika maneno kama haya. Huyu ni shoga anataka kuja tangaza biashara yake na kuchafua uzi wa wanaume. Hawa watu siku hizi kila sehemu wanajitokeza na kuanza kutangaza biashara zao.

Kaa mbali sisi hapa tunapata stories za ki hustler siyo hizo zako za kutaka uchanjwe njia ya haja kubwa. Tunaelewa unaposema uchanjwe.... Humu tunapambana halafu tunaenda kula mademu wakali siyo mashoga wachafu nyie. Faggots.stay away from this thread.
 
Hakuna mwanaume rijali anaweza andika maneno kama haya. Huyu ni shoga anataka kuja tangaza biashara yake na kuchafua uzi wa wanaume. Hawa watu siku hizi kila sehemu wanajitokeza na kuanza kutangaza biashara zao.

Kaa mbali sisi hapa tunapata stories za ki hustler siyo hizo zako za kutaka uchanjwe njia ya haja kubwa. Tunaelewa unaposema uchanjwe.... Humu tunapambana halafu tunaenda kula mademu wakali siyo mashoga wachafu nyie. Faggots.stay away from this thread.
Ahaaaa Ila Chizi Maarifa
 
Asee ni noma ,kabla mwaka 2023 haujachanganya vizur binafsi hii naona ni story ya huu mwaka mzima haitokuja kuizid hii kwa huu mwaka jf waipe tuzo kbsa na mm nataka niende huko nikatest my luck if possible
 
Hivi samaki Congo hawategemei Zambia, nilikuwa lubumbashi nimeona chakula Cha bei rahisi Ni samaki
Sisi tunazunguzmia Kongo ya goma ambayo IPO mkabala na Rwanda na ndipo kwenye machafuko Hadi uvira na kitshanga huko.

Kongo ya lubumbashi ni Kama ya Kinshasa haina machafuko Sanaa..

Zingatia.
Njia za Kongo zipo 2.
1)Goma kupitia Rwanda
2) Lubumbashi kupitia Zambia
 
Daadeki! Mkuu na maeneo ya kuuza hao samaki ni huko huko ndani ndani kabisa? Kwa maelezo ya mleta mada ama kuna maeneo tofauti unaweza peleka samaki.
Tatizo sasa pesa za congo chafu zina miielea na magonjwa funza.
 
Iam deeply sorry my boss Bantu Lady, dah fanya mpango hao ndugu zako uwahamishie hata kigoma. maana huko Congo sio safe sanam
Mkuu maneno meeengiiiii sijui iam deeply sorry, yaani unaaanzaa mbali kwa uwoga. Si umuambie tuuu. Sijui awahamisha ndugu zake sijui congo siyo safe. Muambiee tuu acha uwoga wewe ni mwanaume bana.
 
Back
Top Bottom