Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Ndio hapo hapo ninapicha nilipiga kama kumbukumbu, ukweli Rwanda mtanzania anaogopwa sana wanahisi kila mmoja ni mpelelezi hivo wanakufuatilia hadi unapolala na kama unavuka nchi kama ulitiliwa shaka utapewa mtu kama abiria ahakikishe umevuka harakati za utafutaji ni ngumu sana basi tu,
Dah!
Wakuu mmepitia mengi.
You are real apha man[emoji123]
 
Mkuu nmependa sana simulizi ila nmejiuliza tu hao samaki ambao hawajaoza safari yote hyo. Mie nmetoka nao tu hapo ferry kufika magomeni kwisha habari yao
Watakua samaki wa Moshi,
Wanaweza kukaa Hata mwezi[emoji4]
 
Jamaa walikuwa poa sana wale aisee

"Kama unafeel hip hop we ndo mchizi waaangu, we ndo mchizi weeetu 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶"

Au Hawatuweziiii itakuwa ngumu, kutusikia chini, Hawatuweziiii aaa uuu aaa ingawa gemu ni ngumu ........Hawatuweziiii 🎶🎶🎶🎶"
DEmu aliyepewa kiitikio nae aliuwa sana
 
Back
Top Bottom