Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Labda Congo ya kariakoo🤣🤣🤣Kwenye avatar picha Yako tu hapo muonekano wako ni wa kmayai mayai utaweza moto wa congo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Congo ya kariakoo🤣🤣🤣Kwenye avatar picha Yako tu hapo muonekano wako ni wa kmayai mayai utaweza moto wa congo?
Mashoga mmeshakuja mnataka kuharibu uzi. Unatangaza biashara ya kishetaniHiyo safari bila hirizi inayopumua au chale 7 mkunduni siendi.
Kwahiyo kule ukipeleka chumvi unapiga hela?
Nimeshtuka kidogo na sentes yakeMashoga mmeshakuja mnataka kuharibu uzi. Unatangaza biashara ya kishetani
Mkurya mjinga sana yule.Hahahaaa!! Humuogopi mkurya yule??
Labda kashagongwa shaba si unajua alikuwa anatusimulia huku akiwa uwanja wa vitaNaona hakuna muendelezo hapa... Ndio mwisho
Dah!Ndio hapo hapo ninapicha nilipiga kama kumbukumbu, ukweli Rwanda mtanzania anaogopwa sana wanahisi kila mmoja ni mpelelezi hivo wanakufuatilia hadi unapolala na kama unavuka nchi kama ulitiliwa shaka utapewa mtu kama abiria ahakikishe umevuka harakati za utafutaji ni ngumu sana basi tu,
Kabisa mkuu,Ukimuona mwanaume anatumia pesa zake kaa pembeni, usimfundishe cha kufanya. Watu wanapambana sana.
Watakua samaki wa Moshi,Mkuu nmependa sana simulizi ila nmejiuliza tu hao samaki ambao hawajaoza safari yote hyo. Mie nmetoka nao tu hapo ferry kufika magomeni kwisha habari yao
Nasubiri mkuu[emoji4][emoji123]Nadhan huyu jamaa akimaliza ntasimulia ya mgodin
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa bhanaAlafu kuna mtu kakaa dukani anabangaiza mia mia eti anajiita mpambanaji[emoji1787][emoji1787]
Sawa sawaUyo ni lwanda magere alikimbiza watu teregram kwa mchango na alienda simulia rfa pia
DEmu aliyepewa kiitikio nae aliuwa sanaJamaa walikuwa poa sana wale aisee
"Kama unafeel hip hop we ndo mchizi waaangu, we ndo mchizi weeetu 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶"
Au Hawatuweziiii itakuwa ngumu, kutusikia chini, Hawatuweziiii aaa uuu aaa ingawa gemu ni ngumu ........Hawatuweziiii 🎶🎶🎶🎶"
Chumvi wanategemea kutoka tz na ke. Lkn ukaribu uko tz. Lkn waliokamata soko inasemekana ni wa ke tena wanachukua chumvi ya tanga