Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

B
Simulizi zipo RFA(Radio Free Africa) jumapili sasa nne asubuh kipindi Sitosahau na Clouds fm jumapili saa nane mchana kipindi njia pandaa
Bado mnasikiliza tu huo udwanzi!?
 
Sana tu,nakumbuka 2011 nilkuwa na ngoma zao nyingi tu kwenye simu na nilikuwa nikisikiliza ile ngoma yao ya mchizi wangu hadi napagawa
Jamaa walikuwa poa sana wale aisee

"Kama unafeel hip hop we ndo mchizi waaangu, we ndo mchizi weeetu 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶"

Au Hawatuweziiii itakuwa ngumu, kutusikia chini, Hawatuweziiii aaa uuu aaa ingawa gemu ni ngumu ........Hawatuweziiii 🎶🎶🎶🎶"
 
Jamaa walikuwa poa sana wale aisee

"Kama unafeel hip hop we ndo mchizi waaangu, we ndo mchizi weeetu 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶"

Au Hawatuweziiii itakuwa ngumu, kutusikia chini, Hawatuweziiii aaa uuu aaa ingawa gemu ni ngumu ........Hawatuweziiii 🎶🎶🎶🎶"
Madogo zangu wa Arusha miaka hiyo Arusha kuna wagumu. Siku hizi nasikia hata machoko wapo Arusha...hasa Kilimanjaro. Walikuwepo na X Plastaz pia
 
Hawa majamaa wakiachwa waendelee na hizi tabia zao watasababisha kudhalaulika ama kupuuzwa kwa stori za watu wengine wasio na tabia Kama zao...

Ni vyema mleta stori aweke wazi kuwa mwendelezo wa stori yake utakuwaje kwamba ni kila baada ya masaa/siku,/wiki/ miezi mingapi ili kumuondolea usumbufu msomaji...

Kisingizio cha kuwa mtu uko na majukumu mengine kinakosa mashiko kwani hakuna member aliyoko humu jf halafu akakosa majukumu mengine...
Kwani asipomalizia hii stori unaugua/ kufa?

Jaribu kujicontrol.
Tatizo liko kwako, sio kwa mwenye stori.
 
Kuna watu hamna akili na mnaonyesha n jinsi GANI uelewa kwenu n mdogo yan ujinga umewatawala alafu kuna mwingine kila Uzi lazima alete kujuana na watu.

ELEKEZO - elewa mada husika changia kama mada inavyosema huna cha kuchangia Kaa kimya mambo ya kijinga ya kujuana na kukumbushana ujinga wenu angalia juu ya simu Yako kulia kuna kibahasha bonyeza hicho na umwandikie huo ujinga mwenzako.

Mjue mnaharibu Uzi za watu
Kila sehemu hapa JF hao wapuuzi wapo. Wataanza itana na kuanza chats zao za ngono na mizaha. Wanaboa na kila nyuzi lazima waingie na kuja kujibebisha. Wapumbavu kabisa
 
Near death experience Mkuu!


Utaishi Maisha marefu Sana jamaa!

Katika wasiwasi mwingi vile mliamua kulala KILA mmoja chumba chake uamuzi mgumu Sana huo!

Mngekuwa wawili wakati Risasi zinapigwa usiku mngekumbatiana Ili kupeana moyo na uhai wa Maisha!ukirudi tena usilale mwenyewe Mkuu!ni kosa la kimkakati Hilo!
 
Kama uko serious tufanye mchakato twende. Huko kwenye ugumu ndio kuna hela
Hii n stori ya kiume yaan ukisikia uanaume ndo mambo yake Yako hapa sio mtu anafanya vikaz vyake vyakikekike anakukuta upo baa unapiga zako bia eti anakwambia bia zitakufilisi.

Pumbavuu yan aisee mwenye yupo tayari twende Lubumbashi aisee anyoshe kidole.

Justine Marack lete vitu vya kiume boss wangu
 
Kwahiyo kule ukipeleka chumvi unapiga hela?
Kila nikisoma nilikuwa nasimama na kujiuliza. Huyu aliyeandika ndie muhusika mwenyewe. Sasa jinsi simulizi ya safari inavyotisha nabaki kujiuliza sasa huyu jamaa alifanikiwa kurudi au ndio keshakufa.

Very interesting. Nilikuwa na plan ya kutaka kwenda Congo kupitia Rwanda kutafuta soko LA chumvi.

Story inanipa nguvu, ramani na uhalisia. Lkn sijapanga kubadili mawazo yangu.

Swali sisi tunaoonekana kama wapemba usalama ukoje huko
 
Tupatikane vijana 5 tulio serious twende huko.
Very interesting story..... Bila ya mwendelezo.
Nina mpango wa kuitembelea Congo hasa Yale maeneo ya Kivu kusini au Goma kwa ujumla, mpaka sasa naendelea kukusanya taharifa za kiintelejensia kuhusu ayo maeneo, ingawa naambiwa kuna watu makatili sana lkn Mimi uwa napenda sana awo watu makatili kwa maana ndiyo watu ambao ukiibahatika kuzoeana nao wakakubali basi utakuwa unaweza kutimiza lengo lako kiuraisi sana,Congo ni taiga ambalo limejaa rasilimali kibao unaambiwa kuna maeneo nyumba zimekandikiwa udongo wa dhaabu ukiweka Mashine kwenye kuta zao ngoma inasoma PPM za kutosha, na kwa wale wazee wa Carbon uko ndo balaa unaambiwa mkamuo moja tu wa tani moja ya Carbon unaweza toka na 1.5 kg ya gold...unaambiwa mzigo upo wa kutosha.
Vijana tupunguze uoga, twende tukapambane....
 
Kumbe huyu mzee ni tatizo kwetu kwa kumuangalia kama mtu flani mbadi sana!.

Although inafahamika nabii huwa hakubariki eneo analotoka!.
Hilo nilisha lifuatilia mapemaa, nikawa na Visa ya Dola100 nikapita Rwanda. Kuna mengi hapa Rwanda lakini kwakua sio mada ya Leo itoshe kusema ni Dunia tofauti sana. Tuishi bongo tu, amani inatosha.

Natamani siku moja asimulie pia hapa. Inaonekana mleta mada alikutana na mambo ya ajabu sana Rwanda.
 
Back
Top Bottom