Very interesting story..... Bila ya mwendelezo.
Nina mpango wa kuitembelea Congo hasa Yale maeneo ya Kivu kusini au Goma kwa ujumla, mpaka sasa naendelea kukusanya taharifa za kiintelejensia kuhusu ayo maeneo, ingawa naambiwa kuna watu makatili sana lkn Mimi uwa napenda sana awo watu makatili kwa maana ndiyo watu ambao ukiibahatika kuzoeana nao wakakubali basi utakuwa unaweza kutimiza lengo lako kiuraisi sana,Congo ni taiga ambalo limejaa rasilimali kibao unaambiwa kuna maeneo nyumba zimekandikiwa udongo wa dhaabu ukiweka Mashine kwenye kuta zao ngoma inasoma PPM za kutosha, na kwa wale wazee wa Carbon uko ndo balaa unaambiwa mkamuo moja tu wa tani moja ya Carbon unaweza toka na 1.5 kg ya gold...unaambiwa mzigo upo wa kutosha.
Vijana tupunguze uoga, twende tukapambane....